Rais Magufuli kuvunja Jiji la Dar es Salaam

Jiwe hivi huwa anafanya economic impact ya decisions zake anazochukua?

Ilala ina adminstrative area kubwa kiasi gani?

Je maamuzi yake hayo yatakuwa na impact kiasi gani kwa wakazi wa Ilala vs wakazi wa let say Temeke, Kinondoni etc

Naona anataka Kuiinua Dodoma kwa kuharibu status ya Dar

Huyu mzee ni mharibifu azuiwe!
 
Exactly!

New York City inside New York.

Manchester City inside (Great) Manchester.

Cairo inside (Great) Cairo.
 
Mwanza Mwanza Mwanza Mwanza Mwanza Mwanza Mwanza Mwanza

Kanda peeendwaaaaaaaaa
 

Nimeshangaa sana kwa maneno haya kwasababu,Wananchi ndo wanachagua Madiwani,halafu Madiwani wanachagua Meya wa Manispaa halafu Mameya na wajumbe wengine kutoka Halmashauri zoote ndo wanamchagua Meya wa Jiji la Dar......sasa inanichanganya kwa mtu mzoefu wa maswala ya Uongozi kuwa haoni umuhimu wa Halmashauri hii
 
Mkuu kwa maana hii kuna siku tutaona jiji la Moshi, Bukoba, Kahama, Chato au Sumbawanga ndio maana yake?
 
Upuuzi tu wa kuongeza gharama za uendeshaji za Serikali. Husikii huu upumbavu nchi zilizoendelea wa kuongeza idadi ya mikoa au majimbo.
 
Dah....

wanakula posho na hawakuchaguliwa na watu
 
Ohoo kwahiyo pale ufipa panabakia kua mkoani?? Duh.
 
Yan akivunja maana yake kutakuwa hakuna Dar es Salaam.. Au nimeelewaje!!. Badala yake ilala ndo itakuwa jiji kama sasa tunavosema jiji la dar es salaam.. Niko sahihi au.
Anataka avunje Dar es Salaam ili ndani ya miaka 5 ya Kipindi cha Pili cha uongozi wake ajenge upya iwe kama Chato aliyoijenga miaka 5 mpaka imekuwa kama Ulaya. Hongereni Wakazi wa Dar kupata Mkazi anayewajali!
 
"hawakuchaguliwa na watu" Ahsante sana Magu you are my hero. Vunja hilo jiji la viongozi wavamizi waliochakachua uchaguzi! Vunja haraka sana. Vunja hata bunge tafadhali sana
 
Nimependa hapo hawakuchaguliwa na wananchi.
Uzuri wa huyu Mjomba huwa hanaga siri kabisa.

Jiulize, ni nani kaamua mtu gani awe diwani wa DSM City Council? Bila shaka, madiwani wa DCC wanachaguliwa na madiwani wa zile manispaa tano za mkoa wa DSM. Kwa maneno mengine, hakuna mwananchi aliyempigia kura mtu fulani kuwa diwani wa DCC. Hapo ndipo kauli “...hawakuchaguliwa na wananchi...” inapoanzia!
 
wakuu mnashidwa kuelewa nini mwanza kuna jiji la mwanza ambayo ni nyamagana madiwan wake wamechaguliwa na wanachi na Arusha hivyo hivyo na majiji mengne kwa nn dar tu jiji la dar es salaam lisiwe liko katika halmashauri yoyote
 
Upuuzi tu wa kuongeza gharama za uendeshaji za Serikali. Husikii huu upumbavu nchi zilizoendelea wa kuongeza idadi ya mikoa au majimbo.
Wew hakunaga hata kitu ulichowahi kukikubali kilichofanywa na serikali.
 
Hapana Dar litakuwa Jiji kibiashara na siyo kiutendaji! Alyetia uzi huu hakufafanua sana alivyoeleza Mhe Rais! Litabaki jiji la Dar lakini kihalmashauri hakutakuwa na halmashauri ya Jiji la Dar!
Afafanue nini wakati maelezo ya mkulu yako wazi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…