hata marekani trump alibadili vitu kibao ila biden amerudisha... yale yale ya matokeo ya mitihani sekondari kuacha kutolewa ilivyozoeleka A, B, C, D, F badala yake yakatolewa kwa mtindo wa GPA halafu akaja mtawala mwingine akarudisha A, B, C, D, F! Bila kuwa na proper instruments and mechanisms to control, regulate and balance powers za viongozi na mihimili tutapata tabu sana.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nimependa hapo hawakuchaguliwa na wananchi.
Uzuri wa huyu Mjomba huwa hanaga siri kabisa.
Nimependa hapo hawakuchaguliwa na wananchi.
Uzuri wa huyu Mjomba huwa hanaga siri kabisa.
🤣🤣🤣... Rais wetu ana changamoto kwenye kubwa kwenye choice of what to speak, when and where. Hii huwa inamkost sanaNimependa hapo hawakuchaguliwa na wananchi.
Uzuri wa huyu Mjomba huwa hanaga siri kabisa.
Napata taabu Tu kuvunja jiji lite na kuacha ilala... wala usipate tabu, ni concept rahisi sana. Ili uipate vizuri, tuchuke mji ambao jina lake sio jina la mkoa mfano Moshi...
Wew hakunaga hata kitu ulichowahi kukikubali kilichofanywa na serikali.
Yeye mwenye hakuchaguliwa na mtu lakini NEC CCM wanakwambia uchaguzi ulikuwa huru na haki. shameNimependa hapo hawakuchaguliwa na wananchi.
Uzuri wa huyu Mjomba huwa hanaga siri kabisa.
Mzee anataka Shato ikawe manispaa soonNapata taabu Tu kuvunja jiji lite na kuacha ilala
Kuna hadji za majjji na zinalindwa na certain standards
My expectations ni Kwamba tungekomaa kufanya far nzima owe jiji la viwango na sio kuchagua kasehemu madogo Ka dar
Nadhani tutakua tunamiss opportunity ya kuiweka dar kimataifa zaidi
Nadhani kuna vitu jiwe alipaswa kuviacha kama vilivyo mojawapo ni Dar kuwa Jiji, Tena alipaswa aliongezee eneo kwa kumega mkoa wa pwani na kuiweka Dar ili kuiongezea eneo la wananchi kujenga kuendeeza ukanda huu fasta
Nadhani kuna vitu jiwe alipaswa kuviacha kama vilivyo mojawapo ni Dar kuwa Jiji, Tena alipaswa aliongezee eneo kwa kumega mkoa wa pwani na kuiweka Dar ili kuiongezea eneo la wananchi kujenga kuendeeza ukanda huu fasta
Angekuwa habani matumizi kwa kubaki nchini mwake Dar es Salaam, Dodoma na Chato, ingekuwa hakuna haja ya kumega Mkoa mwingine ili kuongeza eneo la Dar, angekwenda tu Uholanzi kwa Watalaamu wa kuongeza eneo la nchi yao kwa kusogeza bahari irudi ndani. Hapo Chato kweli ingekuwa Amsterdam!Nadhani kuna vitu jiwe alipaswa kuviacha kama vilivyo mojawapo ni Dar kuwa Jiji, Tena alipaswa aliongezee eneo kwa kumega mkoa wa pwani na kuiweka Dar ili kuiongezea eneo la wananchi kujenga kuendeeza ukanda huu fasta
I will be the last person to understand what it means by his statement.Kwahiyo madiwani walichaguliwa na nani? (Anathibitisha wizi wa kura kufanyika?)
Kwahiyo jiji la Dar Es Salaam linaenda kuwa historia? (Dar inakuwa ya "mikoani")
Ikiwa Jiji la Dar linaenda kufa, jiji kubwa kuliko yote Tz linaenda kuwa Mwanza.... (ok ok ok inaeleweka)
Ukienda kutafuta majiji makubwa East Africa, Nairobi anakosa mpinzani rasmi.
Unafikiri Kila mtu anampinga?Namfatilia?
Nigga I just clicked the link to see if walao kama hata kwa bahati mbaya kaongea kitu cha maana,still,same old shit...
hapana amesema Dsm itabaki kuwa jiji lkn kutakuwa na halmashauri moja tuu ndiyo itakayobeba jiji haalmashauri nyingine zote zitaondolewa hadhi ya jiji... Dar-es-Salaam utabaki kuwa mkoa ambao utakuwa na jiji la Ilala na manispaa za Ubungo, Temeke, Kinondoni na Kigamboni.
Kwa hiyo Kama hakuna mwananchi alimpigia Kura mtu kuwa diwani wa DCC huyo diwani anakosa sifa ipi kias Cha kusutwa kuwa hakuchaguliwa na wananchi?!!Jiulize, ni nani kaamua mtu gani awe diwani wa DSM City Council? Bila shaka, madiwani wa DCC wanachaguliwa na madiwani wa zile manispaa sita za mkoa wa DSM. Kwa maneno mengine, hakuna mwananchi aliyempigia kura mtu fulani kuwa diwani wa DCC. Hapo ndipo kauli “...hawakuchaguliwa na wananchi...” inapoanzia!
Haiathiri dar kuwa jijiMzee anataka Shato ikawe manispaa soon
dar es salaam itabaki kama mkoa lkn jiji litakua ilala (feri to chanika)Na ndo nilivyo elewa mie.
kutakua sawa na kibaha tuKwahyo ubungo kutakuwa mkoani😂