Rais Magufuli kwa miaka yote mitano sukari tu imemshinda

Rais Magufuli kwa miaka yote mitano sukari tu imemshinda

Najiuliza ni nini tatizo?

Rais Magufuli alipoingia ikulu mgogoro namba moja aliouanzisha ni sukari. Sukari ghafla ikapanda bei, ikapotea mitaani.

Ilifikia hatua akatoa vitisho kuwa ataliruhusu jeshi likamate sukari iliyofichwa liigawe bure. Nakumbuka hii kauli wapiga zumari waliishangilia sana ila ilikopotelea anakujua mwenyewe.

Kwa miaka yote mitano ya utawala wake sukari haijawahi kupata suluhu na sasa imepotea tena sokoni. Nini tatizo? Mbona huu mgogoro kama una kitu nyuma ya pazia?

Sasa kama kwa miaka yote mitano sukari tu kashindwa kuipatia ufumbuzi, sijagusia sarakasi zake za makinikia? Inakuwaje hili la Corona?
Huyo anaweza tu kutumbua wale ambao hawamsifiii na kutoa vitisho hana lolote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ALISHAWAHI KUDANGANYA KWAMBA WAKATI ANAINGIA MADARAKANI NAULI YA DSM-MWANZA ILIKUWA 800,000 NA WAPIGA VIGELEGELE WAKSHANGILIA NDIYO MAANA HAONI TABU KUDANGANYA ANAJUA NI LINCHI LA MAZUZU
 
Acha uwongo! Wakati wa Mkapa sukari ilikuwa sh. 400 kwa kilo. Enzi ya uwaziri wa Iddi Simba bei ikapanda hadi 600 kwa kilo. Hiyo tu ikasababisha aSimba ajiuzulu.c

Wakati wa JK sukari ikapanda hadi 2,000 kwa kilo. Kipindi hicho enzi za Operesheni Sangara ya CHADEMA. Baadae ikashuka hadi 1,800.

Alipoingia Magu ndio ikawa unstable mpaka leo. Magu amevuruga kabisa.
Magu hakuwahi kufanya bei ya sukari ikawa stable! Hawezi....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najiuliza ni nini tatizo?

Rais Magufuli alipoingia ikulu mgogoro namba moja aliouanzisha ni sukari. Sukari ghafla ikapanda bei, ikapotea mitaani.

Ilifikia hatua akatoa vitisho kuwa ataliruhusu jeshi likamate sukari iliyofichwa liigawe bure. Nakumbuka hii kauli wapiga zumari waliishangilia sana ila ilikopotelea anakujua mwenyewe.

Kwa miaka yote mitano ya utawala wake sukari haijawahi kupata suluhu na sasa imepotea tena sokoni. Nini tatizo? Mbona huu mgogoro kama una kitu nyuma ya pazia?

Sasa kama kwa miaka yote mitano sukari tu kashindwa kuipatia ufumbuzi, sijagusia sarakasi zake za makinikia? Inakuwaje hili la Corona?

Kwani kuna kitu alichowahi kufanikiwa huyu kiumbe zaidi ya kumpata spika dhaifu ndani ya himaya yake!!!
 
Najiuliza ni nini tatizo?

Rais Magufuli alipoingia ikulu mgogoro namba moja aliouanzisha ni sukari. Sukari ghafla ikapanda bei, ikapotea mitaani.

Ilifikia hatua akatoa vitisho kuwa ataliruhusu jeshi likamate sukari iliyofichwa liigawe bure. Nakumbuka hii kauli wapiga zumari waliishangilia sana ila ilikopotelea anakujua mwenyewe.

Kwa miaka yote mitano ya utawala wake sukari haijawahi kupata suluhu na sasa imepotea tena sokoni. Nini tatizo? Mbona huu mgogoro kama una kitu nyuma ya pazia?

Sasa kama kwa miaka yote mitano sukari tu kashindwa kuipatia ufumbuzi, sijagusia sarakasi zake za makinikia? Inakuwaje hili la Corona?
Siku sio nyingi nilitoa hoja kama hii.

Kwenye kupanga bei ya Sukari kuna Suala nadhani haliko sawa. Tutafakari Upya - JamiiForums

Nadhani Rais ambae ni Mhe. John Magufuli na Urais ambapo inabeba taasisi, hawawezi ku-solve kila kitu japo wanawajibika kuhakikisha kila kitu kinachogusa maslahi ya Taifa kiwe sawa.

Ni nani yuko nyuma ya mabadiliko ya bei na nani anafaidika toka aliekuwa waziri wa viwanda na biashara Idd Simba kuanguka akiwa Waziri enzi Mkapa akiwa Rais wa nchi.

Suluhisho la muda wa kati, iwepo haja ya kutafuta watu credible na wasio na tamaa ili kusimamia "shoo" hii na wahakikishiwe ulinzi. Maana wanaohusika na hujuma ya kupotea kama wapo sio "andunje".

Kwa kaulii hii hapa chini, hata mimi niko tayari kuwekeza chini ya consulting firm kwenye sugar industry kama tu udhamini wa Serikali unapatikana.
TIC, PMO-Uwekezaji, TIB/TABD, BoT wakihusika kwenye mchakato ndani ya miezi 18 ijayo, mfuko wa kwanza wa sukari unaingia Tanzania kama sehemu ya kuziba pengo la imports ya sukari.
Rais hajashindwa bado.
Aige tu business model ya Farao kumtafuta Yusuf kama visionary wa food security project kule Misri.
Akina Yusuf wa sugar production kwa soko lililopo tunaweza kutokea hapa. Haitakuwa kushika premiership ila kwa kuzalisha sukari kwa soko la ndani.
 
Poleni na pilikapilika za maisha.
Naomba serikali ya mkoa mkoa chini ya uongozi wa Makonda na uongozi wa kanda maalum ya polisi mkoa wa Dar es Salaam waachane na kulazimisha watu wazima kuingia bungeni. DAR hivi sasa kuna uhaba mkubwa wa bidhaa ya sukari madukani haipo na haipatikaniki. Hivi kuhangaika na Wabunge wa upinzani ni vyema wavamie maghala ya kuhifadhi sukari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni na pilikapilika za maisha.
Naomba serikali ya mkoa mkoa chini ya uongozi wa Makonda na uongozi wa kanda maalum ya polisi mkoa wa Dar es Salaam waachane na kulazimisha watu wazima kuingia bungeni. DAR hivi sasa kuna uhaba mkubwa wa bidhaa ya sukari madukani haipo na haipatikaniki. Hivi kuhangaika na Wabunge wa upinzani ni vyema wavamie maghala ya kuhifadhi sukari.

Sent using Jamii Forums mobile app

Usipende kuabudu sukari si kitu kizuri, ukikosa sukari huwezi kufa, hizo sukari ndo chanzo kikuu Cha vifo vya korona kwani huleta diabetes, hypertension, cancer, immune deficiency, tuwaambie watu wetu waachane na masukari masoda majuice ya makopa
 
Poleni na pilikapilika za maisha.
Naomba serikali ya mkoa mkoa chini ya uongozi wa Makonda na uongozi wa kanda maalum ya polisi mkoa wa Dar es Salaam waachane na kulazimisha watu wazima kuingia bungeni. DAR hivi sasa kuna uhaba mkubwa wa bidhaa ya sukari madukani haipo na haipatikaniki. Hivi kuhangaika na Wabunge wa upinzani ni vyema wavamie maghala ya kuhifadhi sukari.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri wa kipumbavu kwa kiwango cha hali ya juu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bei ya sukari unaijua?au unafikili inauzwa kama madafu.
Sukari au asali? Bei ya sukari ninayoifahamu ni Ile elekezi iliyotolewa na serikali. Kama unanunua zaidi ya hapo unaibiwa. Petroli ni cheap Kuliko sukari. Sukari anasa.
 
Ni Kama sigara tu mkuu. It's a business.
Bado hujajibu swali. Mfano sigara uliyosema, uvutaji wake kwa baadhi ya watu husababisha uharibifu kwenye mapafu. Sasa nahitaji madhara mabaya ya sukari ya mezani
 
Back
Top Bottom