Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili nyingine hizi, asali lita moja 12,000 sasa kwenye familia ya watu 6 mtatumia siku ngapi?Sukari siyo nzuri kwa afya ya binadamu. Tutumie asali.
Taarifa ni kuwa Tanzania nzima hamna sukari.
Et sintowaangusha!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna akiliBinafsi sukari ya kiwandani kwangu sio kipaumbele kabisa, sukari kidogo inayopatikana wakati ni bora ielekezwe viwandani kutengeneza vinywaji laini.
Now nikitaka kitu kitamu nakula matunda au asali na nikitaka kitamu zaidi namla mke wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Na watumishi hawafanyi hujuma kwa serikali ili wananchi waichukie kuitikia wito wako.Taarifa ni kuwa Tanzania nzima hamna sukari.
Et sintowaangusha!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Jf ina majibu!Hakuahidi kupambana na ishu ya sukari. Hilo ni jambo la waziri na lilisumbua tangu enzi za awamu ya kwanza sema wewe ulikuwa bado kwenye kiuno cha mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe hapo unanunua sh ngapi kwa kilo?.. au ndo msuli wa shemeji na jeuri ya kiuno cha dada?. .. MAELEKEZO YAKE YA KUKURUPUKA NDO HUA YANA HARIBU ,,,,YAAN JAMAA YENU ANAROPOKWA TUHakuahidi kupambana na ishu ya sukari. Hilo ni jambo la waziri na lilisumbua tangu enzi za awamu ya kwanza sema wewe ulikuwa bado kwenye kiuno cha mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Km 3?Kweli hakuna sukari.
Hapa kijijini kwetu hakuna nimejaribu kuagiza bodaboda mwendo wa 3 kgs kutoka hapa hamna sukari.
Ni kibaha, mkoa wa Pwani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wanaume mabachela majirani zako wakikosa matunda na asali wanaangalia mke wa mtu aliye jiraniNow nikitaka kitu kitamu nakula matunda au asali na nikitaka kitamu zaidi namla mke wangu
Halafu tunafikiri ataweza corona?Najiuliza ni nini tatizo?
Rais Magufuli alipoingia ikulu mgogoro namba moja aliouanzisha ni sukari. Sukari ghafla ikapanda bei, ikapotea mitaani.
Ilifikia hatua akatoa vitisho kuwa ataliruhusu jeshi likamate sukari iliyofichwa liigawe bure. Nakumbuka hii kauli wapiga zumari waliishangilia sana ila ilikopotelea anakujua mwenyewe.
Kwa miaka yote mitano ya utawala wake sukari haijawahi kupata suluhu na sasa imepotea tena sokoni. Nini tatizo? Mbona huu mgogoro kama una kitu nyuma ya pazia?
Sasa kama kwa miaka yote mitano sukari tu kashindwa kuipatia ufumbuzi, sijagusia sarakasi zake za makinikia? Inakuwaje hili la Corona?
Hata corana hakuahidi kupambana nayo, ndiyo maana kajichimbia kijijini.Hakuahidi kupambana na ishu ya sukari. Hilo ni jambo la waziri na lilisumbua tangu enzi za awamu ya kwanza sema wewe ulikuwa bado kwenye kiuno cha mtu
Sent using Jamii Forums mobile app