Rais Magufuli kwa miaka yote mitano sukari tu imemshinda

Rais Magufuli kwa miaka yote mitano sukari tu imemshinda

Huku niliko tangu juma pili sukari ni shida, na mpaka Leo hakuna kabisa sukari, watu wanaishije?
 
Najiuliza ni nini tatizo?

Rais Magufuli alipoingia ikulu mgogoro namba moja aliouanzisha ni sukari. Sukari ghafla ikapanda bei, ikapotea mitaani.

Ilifikia hatua akatoa vitisho kuwa ataliruhusu jeshi likamate sukari iliyofichwa liigawe bure. Nakumbuka hii kauli wapiga zumari waliishangilia sana ila ilikopotelea anakujua mwenyewe.

Kwa miaka yote mitano ya utawala wake sukari haijawahi kupata suluhu na sasa imepotea tena sokoni. Nini tatizo? Mbona huu mgogoro kama una kitu nyuma ya pazia?

Sasa kama kwa miaka yote mitano sukari tu kashindwa kuipatia ufumbuzi, sijagusia sarakasi zake za makinikia? Inakuwaje hili la Corona?
Moja ya vitu vilivyomshinda Magufuli ni suala la sukari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, hapa Mimi ni mshabiki wa JPM Sana!! Ila katika hili, sipepesi macho mkuu, hapana, mbona sukari ni tatizo na hakuna maelezo? Ina maana watu wote wa Dar wawe wanaenda kununua sukar ShopRite mlimani siyo?
Mimi sio JPM au mwakilishi/mfuasi wake,nimemjibu aliyekuwa anahitaji sukari hapa DSM
 


The testing kit and reagents were meant for Covid 19 testing and not otherwise, thus testing any stuff different from samples bearing Covid -19 is miss treatment and abuse of the kit function for which it was made resulting into erred outcomes, and that is what happened in the case of Goat, paw paw etc samples sent to the Tz Government lab.

The only good method, I suppose, to test the kit efficacy is to take human samples, dividing them into several parts and distribute to other testing centre/ labs in or outside the country and make comparison from the results of the respective labs.
 
Ulivyompumbavu unadhani sukari imeadimika kwajili ya kuwakomoa walioko kwenye mfungo.

Hili tatizo limekuwepo toka awamu ya tano imeingia madarakani kila kitu kimekuwa cha kubahatisha bahatisha tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
mpumbavu ni wewe na ukoo wako hili tatizo huwa linajitokeza zaidi vipindi vya mfungo
 
Leo nimezunguka sehemu kibao kutafuta sukari hakuna. Watawala hawajui demand and supply? Hata kama Serikali inatakiwa kuingilia ila sio kurukia.
This look like failed state, serikali inaongozwa na mabumunda?
Hawazalishi ila wanalazimisha bei elekezi.
Sitaki kuonge sana but we are doomed.

Lawama zote kwa JK na Mkapa. Na pia TISS tutawalaumu mpaka kufa.
Hao ni wanufaika wa kodi zetu na si waathirika
 
Najiuliza ni nini tatizo?

Rais Magufuli alipoingia ikulu mgogoro namba moja aliouanzisha ni sukari. Sukari ghafla ikapanda bei, ikapotea mitaani.

Ilifikia hatua akatoa vitisho kuwa ataliruhusu jeshi likamate sukari iliyofichwa liigawe bure. Nakumbuka hii kauli wapiga zumari waliishangilia sana ila ilikopotelea anakujua mwenyewe.

Kwa miaka yote mitano ya utawala wake sukari haijawahi kupata suluhu na sasa imepotea tena sokoni. Nini tatizo? Mbona huu mgogoro kama una kitu nyuma ya pazia?

Sasa kama kwa miaka yote mitano sukari tu kashindwa kuipatia ufumbuzi, sijagusia sarakasi zake za makinikia? Inakuwaje hili la Corona?
Ngoja Mwezi October mwaka huu ndiyo uwe na sauti ya kusema ila usije ukalalama tu.
 
Hivi huu uhaba wa sukari nchi nzima Kipindi hiki na Bei kupanda mpaka 5000 kwa kilo ,kweli serikali ya awamu ya Tano imeshindwa kupambana na Corona hata sukari?

Ugelikuwa ni wewe ungefanya kipi ambacho yeye hajakifanya? Nani kafanikiwa kuliko yeye? Mwache rais wetu, wewe sema utakalo.
 
Serikali hii imejikita katika kupambana na Chadema pekee

Ile kauli ya Serikali ya Viwanda hata ventilators wameshindwa

Wakati Rwanda,Kenya na Uganda wanatengeneza Vents zao
 
Back
Top Bottom