MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kupendapenda kwenu Publicity na huyo Bosi Wenu kuna Siku mtakosa vya Kutuonyesha Watanzania mtaomba tuwaone hadi mkiwa mnajisaidia.Sawa lakini umeshajua maana yake....hilo ndio la msingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupendapenda kwenu Publicity na huyo Bosi Wenu kuna Siku mtakosa vya Kutuonyesha Watanzania mtaomba tuwaone hadi mkiwa mnajisaidia.Sawa lakini umeshajua maana yake....hilo ndio la msingi
Jomba maliza shule kwanza...Achana na hizi mambo ingineUkisoma hulipi kodi, ama hujui kodi ni nini?
Hizo hisia zako za kimashetani tu..dua la kukuKupendapenda kwenu Publicity na huyo Bosi Wenu kuna Siku mtakosa vya Kutuonyesha Watanzania mtaomba tuwaone hadi mkiwa mnajisaidia.
Ni jambo jema akitupa salamu za Christmas!
Jomba maliza shule kwanza...Achana na hizi mambo ingine
Huwezi kumjua fulani ni Shetani kama na Wewe pia siyo Shetani Mkomavu.Hizo hisia zako za kimashetani tu..dua la kuku
Inatuhusu nini sisi?Hafla hiyo itafanyika Ikulu , Chamwino jijini Dodoma saa 4 kamili asubuhi.
Tukio litarushwa mubashara TBC, Channel ten na ITV.
Updates;
======
Rais Magufuli ameingia ukumbini na zoezi la kiapo limeanza.
Kiapo kimekamilipa na sasa Naibu waziri wa Utumishi mh Ndejembi anatoa salamu za wizara.
Rais Magufuli ameanza kuhutubia kwa kuwataka viongozi wote kujaza fomu za maadili kwani zimebaki siku saba tu muda wa kisheria kujaza fomu hizo kukamilika.
===
RAIS MAGUFULI: ASHUKU USIRI WA KURUDISHA FOMU KWA NJIA YA MTANDAO
Katika kumuapisha Kamishna wa Maadili, Sivangilwa Sikalalilwa Mwangesi, Rais John Magufuli amesema fomu za maadili zisirudishwe kwa njia ya mtandao
Amesema mtu akirudisha fomu kwa njia ya mtandao na akawepo mtu anayejua ‘passwords’ anaweza kuangalia fomu hizo na kujua siri za mtu husika na kuharibu kwa kuwa wadukuzi wako wengi
Amesema ni muhimu watu kudownload mtandaoni lakini warudishe fomu hizo kwa kuzipeleka tume ya maadili na sio kutumia njia ya mtandao
Amesema njia ya mtandao ni hatari kwa sababu wadukuzi wanaweza kubadili hata viwango vya fedha ambavyo vimeandikwa
Lazima ataongea tuMjiandae kupata Jambo jipya la kujadili kutoka ulimini mwake leo, labda asiongee baada ya kuapishwa.
Hahahahahahahhaaha nikweli kabisaHotuba za JPM mara zote zina mvuto, uwe mvuto mzuri au mbaya...
Leo VXR V8 zinachambuliwa.
Asisahau kutaka yale magorofa ya NIC aliyonunua kwa bei ya kutupwa kule Area D dodoma.Ni jambo jema akitupa salamu za Christmas!
Acha tabia za shoga zako etwege na bia yetu, Ufipa inahusikaje hapa?! Unaanzisha uzi wa taarifa, afu unaweka tena umbeya wa Lumumba?!!Uongozi ni kuonyesha njia siyo kama pale Ufipa kila mtu kambale!
Jambo jema.Hafla hiyo itafanyika Ikulu , Chamwino jijini Dodoma saa 4 kamili asubuhi.
Tukio litarushwa mubashara TBC, Channel ten na ITV.
Updates;
======
Rais Magufuli ameingia ukumbini na zoezi la kiapo limeanza.
Kiapo kimekamilipa na sasa Naibu waziri wa Utumishi mh Ndejembi anatoa salamu za wizara.
Rais Magufuli ameanza kuhutubia kwa kuwataka viongozi wote kujaza fomu za maadili kwani zimebaki siku saba tu muda wa kisheria kujaza fomu hizo kukamilika.
===
RAIS MAGUFULI: ASHUKU USIRI WA KURUDISHA FOMU KWA NJIA YA MTANDAO
Katika kumuapisha Kamishna wa Maadili, Sivangilwa Sikalalilwa Mwangesi, Rais John Magufuli amesema fomu za maadili zisirudishwe kwa njia ya mtandao
Amesema mtu akirudisha fomu kwa njia ya mtandao na akawepo mtu anayejua ‘passwords’ anaweza kuangalia fomu hizo na kujua siri za mtu husika na kuharibu kwa kuwa wadukuzi wako wengi
Amesema ni muhimu watu kudownload mtandaoni lakini warudishe fomu hizo kwa kuzipeleka tume ya maadili na sio kutumia njia ya mtandao
Amesema njia ya mtandao ni hatari kwa sababu wadukuzi wanaweza kubadili hata viwango vya fedha ambavyo vimeandikwa
Njia rahisi ni kuondoa usiri na fomu zote ziwe wazi kwa jamii. Mtu asiyetaka mambo yake yawekwe wazi asikubali cheo cha uongozi.Hafla hiyo itafanyika Ikulu , Chamwino jijini Dodoma saa 4 kamili asubuhi.
Tukio litarushwa mubashara TBC, Channel ten na ITV.
Updates;
======
Rais Magufuli ameingia ukumbini na zoezi la kiapo limeanza.
Kiapo kimekamilipa na sasa Naibu waziri wa Utumishi mh Ndejembi anatoa salamu za wizara.
Rais Magufuli ameanza kuhutubia kwa kuwataka viongozi wote kujaza fomu za maadili kwani zimebaki siku saba tu muda wa kisheria kujaza fomu hizo kukamilika.
===
RAIS MAGUFULI: ASHUKU USIRI WA KURUDISHA FOMU KWA NJIA YA MTANDAO
Katika kumuapisha Kamishna wa Maadili, Sivangilwa Sikalalilwa Mwangesi, Rais John Magufuli amesema fomu za maadili zisirudishwe kwa njia ya mtandao
Amesema mtu akirudisha fomu kwa njia ya mtandao na akawepo mtu anayejua ‘passwords’ anaweza kuangalia fomu hizo na kujua siri za mtu husika na kuharibu kwa kuwa wadukuzi wako wengi
Amesema ni muhimu watu kudownload mtandaoni lakini warudishe fomu hizo kwa kuzipeleka tume ya maadili na sio kutumia njia ya mtandao
Amesema njia ya mtandao ni hatari kwa sababu wadukuzi wanaweza kubadili hata viwango vya fedha ambavyo vimeandikwa
Umeufanyika hapahapa Tanzania tatizo tukiuweka wazi wapuudhi Kama wewe walioko madarakani ambao hawapenendi kusikia ukweliHuu utafiti ulifanyia wap na watu wanagapi uliwafanyia utafiti ukaja na haya majibu acha kupotosha uma na Watanzania.
Inawahusu wala wabunge wenu 20!Inatuhusu nini sisi?
Sio kila jambo unakuwa unapinga. Kama mnadukua dukua mausuala nyeti ya watu kuna ubaya kuchukua tahadhari?Njia rahisi ni kuondoa usiri na fomu zote ziwe wazi kwa jamii. Mtu asiyetaka mambo yake yawekwe wazi asikubali cheo cha uongozi.
Amandla...
Wapi nimepinga ?Sio kila jambo unakuwa unapinga. Kama mnadukua dukua mausuala nyeti ya watu kuna ubaya kuchukua tahadhari?
Huoni?Wapi nimepinga ?
Amandla...