Rais Magufuli leo anamuapisha Kamishna wa Maadili Jaji Mwangesi

Rais Magufuli leo anamuapisha Kamishna wa Maadili Jaji Mwangesi

Sawa lakini umeshajua maana yake....hilo ndio la msingi
Kupendapenda kwenu Publicity na huyo Bosi Wenu kuna Siku mtakosa vya Kutuonyesha Watanzania mtaomba tuwaone hadi mkiwa mnajisaidia.
 
Jomba maliza shule kwanza...Achana na hizi mambo ingine

Unajua maana ya shule, au ukisikia shule akili yako inakutuma ni primary schools tu? Ingia hapo UDSM watu wanapiga shule na ni waajiriwa na wafanyabishara.
 
Tume hii ya maadili haina meno , tulitaraji iwe na nguvu zaidi ya Takukuru kwa watumishi wa umma. Watumishi wa umma wengi hubadilika kiuchumi na kuwa matajiri gafla rejea ya Makkonda,Mnyetti ...
 
Hafla hiyo itafanyika Ikulu , Chamwino jijini Dodoma saa 4 kamili asubuhi.

Tukio litarushwa mubashara TBC, Channel ten na ITV.

Updates;

======

Rais Magufuli ameingia ukumbini na zoezi la kiapo limeanza.

Kiapo kimekamilipa na sasa Naibu waziri wa Utumishi mh Ndejembi anatoa salamu za wizara.

Rais Magufuli ameanza kuhutubia kwa kuwataka viongozi wote kujaza fomu za maadili kwani zimebaki siku saba tu muda wa kisheria kujaza fomu hizo kukamilika.

===
RAIS MAGUFULI: ASHUKU USIRI WA KURUDISHA FOMU KWA NJIA YA MTANDAO

Katika kumuapisha Kamishna wa Maadili, Sivangilwa Sikalalilwa Mwangesi, Rais John Magufuli amesema fomu za maadili zisirudishwe kwa njia ya mtandao

Amesema mtu akirudisha fomu kwa njia ya mtandao na akawepo mtu anayejua ‘passwords’ anaweza kuangalia fomu hizo na kujua siri za mtu husika na kuharibu kwa kuwa wadukuzi wako wengi

Amesema ni muhimu watu kudownload mtandaoni lakini warudishe fomu hizo kwa kuzipeleka tume ya maadili na sio kutumia njia ya mtandao

Amesema njia ya mtandao ni hatari kwa sababu wadukuzi wanaweza kubadili hata viwango vya fedha ambavyo vimeandikwa
Inatuhusu nini sisi?
 
Hafla hiyo itafanyika Ikulu , Chamwino jijini Dodoma saa 4 kamili asubuhi.

Tukio litarushwa mubashara TBC, Channel ten na ITV.

Updates;

======

Rais Magufuli ameingia ukumbini na zoezi la kiapo limeanza.

Kiapo kimekamilipa na sasa Naibu waziri wa Utumishi mh Ndejembi anatoa salamu za wizara.

Rais Magufuli ameanza kuhutubia kwa kuwataka viongozi wote kujaza fomu za maadili kwani zimebaki siku saba tu muda wa kisheria kujaza fomu hizo kukamilika.

===
RAIS MAGUFULI: ASHUKU USIRI WA KURUDISHA FOMU KWA NJIA YA MTANDAO

Katika kumuapisha Kamishna wa Maadili, Sivangilwa Sikalalilwa Mwangesi, Rais John Magufuli amesema fomu za maadili zisirudishwe kwa njia ya mtandao

Amesema mtu akirudisha fomu kwa njia ya mtandao na akawepo mtu anayejua ‘passwords’ anaweza kuangalia fomu hizo na kujua siri za mtu husika na kuharibu kwa kuwa wadukuzi wako wengi

Amesema ni muhimu watu kudownload mtandaoni lakini warudishe fomu hizo kwa kuzipeleka tume ya maadili na sio kutumia njia ya mtandao

Amesema njia ya mtandao ni hatari kwa sababu wadukuzi wanaweza kubadili hata viwango vya fedha ambavyo vimeandikwa
Jambo jema.
 
Hafla hiyo itafanyika Ikulu , Chamwino jijini Dodoma saa 4 kamili asubuhi.

Tukio litarushwa mubashara TBC, Channel ten na ITV.

Updates;

======

Rais Magufuli ameingia ukumbini na zoezi la kiapo limeanza.

Kiapo kimekamilipa na sasa Naibu waziri wa Utumishi mh Ndejembi anatoa salamu za wizara.

Rais Magufuli ameanza kuhutubia kwa kuwataka viongozi wote kujaza fomu za maadili kwani zimebaki siku saba tu muda wa kisheria kujaza fomu hizo kukamilika.

===
RAIS MAGUFULI: ASHUKU USIRI WA KURUDISHA FOMU KWA NJIA YA MTANDAO

Katika kumuapisha Kamishna wa Maadili, Sivangilwa Sikalalilwa Mwangesi, Rais John Magufuli amesema fomu za maadili zisirudishwe kwa njia ya mtandao

Amesema mtu akirudisha fomu kwa njia ya mtandao na akawepo mtu anayejua ‘passwords’ anaweza kuangalia fomu hizo na kujua siri za mtu husika na kuharibu kwa kuwa wadukuzi wako wengi

Amesema ni muhimu watu kudownload mtandaoni lakini warudishe fomu hizo kwa kuzipeleka tume ya maadili na sio kutumia njia ya mtandao

Amesema njia ya mtandao ni hatari kwa sababu wadukuzi wanaweza kubadili hata viwango vya fedha ambavyo vimeandikwa
Njia rahisi ni kuondoa usiri na fomu zote ziwe wazi kwa jamii. Mtu asiyetaka mambo yake yawekwe wazi asikubali cheo cha uongozi.

Amandla...
 
Huu utafiti ulifanyia wap na watu wanagapi uliwafanyia utafiti ukaja na haya majibu acha kupotosha uma na Watanzania.
Umeufanyika hapahapa Tanzania tatizo tukiuweka wazi wapuudhi Kama wewe walioko madarakani ambao hawapenendi kusikia ukweli
hawachelewi kutufanyia Kama walivyofanya kwa TWAWEZA
 
Njia rahisi ni kuondoa usiri na fomu zote ziwe wazi kwa jamii. Mtu asiyetaka mambo yake yawekwe wazi asikubali cheo cha uongozi.

Amandla...
Sio kila jambo unakuwa unapinga. Kama mnadukua dukua mausuala nyeti ya watu kuna ubaya kuchukua tahadhari?
 
Taarifa hizo ziwekwe wazi ili Kama kiongozi akidanganya wanachi tuishtue sekretarieti
Manake huku mitaani tunaona viongozi wengine wanakuja kukagua mijengo yao usiku kwa kificho inaonyesha kuna taarifa wanaficha
Unakuta kiongozi ameandika ananyumba moja wakati tunajua ana nyumba nyingi
 
Back
Top Bottom