Uchaguzi 2020 Rais Magufuli lipa Mafao ya Wastaafu kabla ya Uchaguzi Oktoba 2020

Hata asipowalipa hawana watalofanya
 
Hawa hata wasipopewa kabisa siwezi umia kabisa,

You're correct! You know what?
Mapoliccm wana maroho yaleyale yaliyoko Marekani yaliyo mwua George Floyd kwasababu za ubaguzi wa rangi tu!
Policcm Tanzania wanawaua Watanzania wasio na hatia kwa vile tu WAKO UPINZANI. Huu Ni ubaguzi Kama ubaguzi mwingine wowote...To hell with Tanzania Police Force under IGP Simon Zero brain!
 
Fedheha Ni pale mifuko inapokataa kumlipa mafao mstaafu sababu tu mwajiri (serikali) alikuwa hapeleki michango ya mstaafu huyo au pale ambapo mwajiri alimbadilishia mstaafu daraja na hivyo kutokumrekebishia mshahara.
Adha Ni nyingi na kibaya watumishi wengi wanaishi mbali na ziliko ofisi za Psssf. Kila Mara unspofanya ufuatiliaji hupati jibu la uhakika mbali ya kuambiwa, inashughulikiwa, network hakuna, file limesajiliwa, subiri mwezi ujao na majibu mengine mengi tu.
Kweli inaboa na Cha kushangaza wabunge wetu wako kimya Sana kuhusu Hili. Hakuna kiongozi mkuu wa kitaifa anayeguswa na mateso ya wastaafu. Hakuna bodi inayomwakilisha mstaafu. Maisha Ni magumu huku jamani
 
Hata asipowalipa hawana watalofanya

Atakosa KURA zao na za familia zao.
Mind you, hizo siyo kura kidogo zinaweza KUBADILISHA matokeo ya Udiwani, Ubunge na Urais kwa kiwango kizuri tu!
 

Onjwayo,
I can feel your expressions. Pole sana Mzee. Umeongea hoja mtambuka kweli hapa! Ni kweli kabisa Wastaafu hawana chombo cha kuwasemea na hao Wabunge wao wako Kimya Bungeni wakisubiri mafao yao tarehe 19/6/2020 Bunge litakapovunjwa na Jiwe!!
Ushauri kwa Wastaafu wajikusanye wakae na waweke mkakati wa kwenda kum-face Rais Magufuli Dodoma kujua hatima ya Mafao yao!
Pengine inaweza kusaidia ingawa huyu jamaa hatabiriki!
 
Duuh . . .hii mbona ni hatari ? kuna ukweli hapa? Na kama ni kweli basi mzigo wa Pension katika madeni ya serikali unazidi kutuelemea
 
Halafu Rais Magufuli huyu huyu anajiita RAIS WA WANYONGE!

Fedha za kujenga SGR, FLY OVERS na GORGE zipo lakini za kuwalipa wazee hazipo...huyu Rais ni tatizo!
Raisi anapenda maendeleo ya kuruka,lakini hizo megaproject anazotamani zianze mara mmoja kwa pammoja zinahitaji pesa nyingi na sidhani kama ana hata robo yake.
 
Magufuli nitamtumbuwa mwaka huu bila huruma. Naomba nieleweke hivyo.
 
kwakweli wastaafu hawa wamelitumikia taifa hili kwa uaminifu na uzalendo mkubwa katika hali ngumu za kimaisha wengi wao wakitokea vijijini hebu wapewe stahiki hizo ambazo ni jasho lao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…