Asante na Mungu akubariki sana, huyu Rais kuna baadhi ya Mambo anaudhi sana na anatengeneza chuki za bure asisahau vyeti veki, darasa la saba, dhuluma kwa wazabuni, hasara ya mahindi mwaka jana, nyongeza za mshahara, nyongeza ya mwaka, kutopanda vyeo na kutolipwa mishahara mipya kwa waliopanda vyeo, malimbikizo, na hawa wastaafu wengi kiafya hawakosi changamoto, kura yangu simpi na nitawapa sababu huwezi kunadi maendeleo wakati unawaongezea watu wako huzuni kila siku. Anajijengea maadui wengi acha jeshi,usalama na polisi wamrudishe madarakani, Nimekuwa mfuasi wake miaka yote sasa basi.