Uchaguzi 2020 Rais Magufuli lipa Mafao ya Wastaafu kabla ya Uchaguzi Oktoba 2020

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli lipa Mafao ya Wastaafu kabla ya Uchaguzi Oktoba 2020

Fedheha Ni pale mifuko inapokataa kumlipa mafao mstaafu sababu tu mwajiri (serikali) alikuwa hapeleki michango ya mstaafu huyo au pale ambapo mwajiri alimbadilishia mstaafu daraja na hivyo kutokumrekebishia mshahara.
Adha Ni nyingi na kibaya watumishi wengi wanaishi mbali na ziliko ofisi za Psssf. Kila Mara unspofanya ufuatiliaji hupati jibu la uhakika mbali ya kuambiwa, inashughulikiwa, network hakuna, file limesajiliwa, subiri mwezi ujao na majibu mengine mengi tu.
Kweli inaboa na Cha kushangaza wabunge wetu wako kimya Sana kuhusu Hili. Hakuna kiongozi mkuu wa kitaifa anayeguswa na mateso ya wastaafu. Hakuna bodi inayomwakilisha mstaafu. Maisha Ni magumu huku jamani

Eti ni kiongozi wa wanyonge huyo,ni utani anafanya.
 
Kulingana na report ya Ukaguzi ya CAG 2019/20 Serikali inadaiwa na Mifuko ya Jamii PSSSF kiasi cha zaidi ya Tshs. 700 Bilioni ambazo Serikali imekopa toka PSSSF na haijarudisha/kulipa fedha hizo.

Kuna Habari za kuaminika kwamba fedha hiyo imekopwa kwenda kujengea miradi mikubwa ya Serikali kama SGR na Stieglers Gorge(Bwawa la Nyerere).

Tunajua Bunge linamaliza muda wake na kuvunjwa June hii,2020. Kwa uhakika Wabunge na Mawaziri wote watalipwa mamia ya mamilioni ya Shilingi baada ya kulitumikia Bunge kwa miaka 5 tu!

Kinachosikitisha kuna wazee Wastaafu wamelitumikia Taifa hili kwa uaminifu na kwa miaka mingi kati ya 25~40 lakini mpaka sasa wengi wao hawajalipwa mafao yao tangu Wastaafu.

Wengine wana miaka 3,2,1 na wengine wana miezi kadhaa. Wazee hawa wanapofika PSSSF hupewa Majibu yaliyojaa visingizio vya uchelewesho wa malipo ya michango toka kwa Waajiriwa au makosa ya ujazaji wa fomu, majina au tarehe za kuzaliwa ilhali Ukweli ni kwamba Mifuko haina Fedha ya kuwalipa wazee hao.

Kama Hali itaendelea kuwa hivo Rais Magufuli ajue kuwa hatopata kura hata moja toka kwa hao wazee Wastaafu pamoja na familia zinazowategemea.

Wazee hao wamepigika sana hasa kipindi hiki cha Covic-19 maana hawana kipato chochote, hawana mishahara, hawana malipo ya pensheni na hawawezi kukopesheka popote.

Chondechonde Rais Magufuli toa maelekezo kwa Hazina ilipe Deni Hilo la PSSSF ili mfuko uwalipe Wastaafu hao wanyonge.
Hata MIRATHI imekuwa tabu kulipwa
 
Masikini Wazee wetu Wastaafu wanaishi kwa dhiki kubwa huku Mafao yao wakizungushwa wakati waliitumikia Nchi hii kwa Uaminifu mkubwa mpaka Wakastaafu.Enyi Viongozi waoneeni huruma Wazee hawa.
Sio huruma ni jasho lao.
 
Kulingana na report ya Ukaguzi ya CAG 2019/20 Serikali inadaiwa na Mifuko ya Jamii PSSSF kiasi cha zaidi ya Tshs. 700 Bilioni ambazo Serikali imekopa toka PSSSF na haijarudisha/kulipa fedha hizo.

Kuna Habari za kuaminika kwamba fedha hiyo imekopwa kwenda kujengea miradi mikubwa ya Serikali kama SGR na Stieglers Gorge(Bwawa la Nyerere).

Tunajua Bunge linamaliza muda wake na kuvunjwa June hii,2020. Kwa uhakika Wabunge na Mawaziri wote watalipwa mamia ya mamilioni ya Shilingi baada ya kulitumikia Bunge kwa miaka 5 tu!

Kinachosikitisha kuna wazee Wastaafu wamelitumikia Taifa hili kwa uaminifu na kwa miaka mingi kati ya 25~40 lakini mpaka sasa wengi wao hawajalipwa mafao yao tangu Wastaafu.

Wengine wana miaka 3,2,1 na wengine wana miezi kadhaa. Wazee hawa wanapofika PSSSF hupewa Majibu yaliyojaa visingizio vya uchelewesho wa malipo ya michango toka kwa Waajiriwa au makosa ya ujazaji wa fomu, majina au tarehe za kuzaliwa ilhali Ukweli ni kwamba Mifuko haina Fedha ya kuwalipa wazee hao.

Kama Hali itaendelea kuwa hivo Rais Magufuli ajue kuwa hatopata kura hata moja toka kwa hao wazee Wastaafu pamoja na familia zinazowategemea.

Wazee hao wamepigika sana hasa kipindi hiki cha Covic-19 maana hawana kipato chochote, hawana mishahara, hawana malipo ya pensheni na hawawezi kukopesheka popote.

Chondechonde Rais Magufuli toa maelekezo kwa Hazina ilipe Deni Hilo la PSSSF ili mfuko uwalipe Wastaafu hao wanyonge.
Hao hawatalipwa kwa kuwa hawana la kumfanya.

Labda kama wangekuwa na uwezo wa kumrushia covid 19 angewaogopa kidogo
 
kwakweli wastaafu hawa wamelitumikia taifa hili kwa uaminifu na uzalendo mkubwa katika hali ngumu za kimaisha wengi wao wakitokea vijijini hebu wapewe stahiki hizo ambazo ni jasho lao

Is Very unfortunate that kuna baadhi yao kwasababu ya kucheleweshwa kwa mafao yao wanakufa kwa msongo wa mawazo hivo kupoteza Haki ya Mafao hayo hivo kuishia kwenye mirathi bila ya wao kufaidi jasho lao!
Inasikitisha sana kwa Utawala huu wa kinazi!
 
Hao hawatalipwa kwa kuwa hawana la kumfanya.

Labda kama wangekuwa na uwezo wa kumrushia covid 19 angewaogopa kidogo

Hicho ni kiburi na jeuri. Rais Magufuli lazima ajue Kuna Mungu aliye Mkuu kuliko Urais wake na huyo Mungu anaweza kumshughulikia Magufuli mpaka atakapolipa mpaka senti ya Mwisho. Mungu hadhihakiwi!
 
Hii nchi imejaa viongozi wakatili sana. Hata kuwalipa wastaafu mafao yao mpaka mtu mmoja ajisikie kweli?

Kama kweli baada ya maisha haya kuna moto, hawa jamaa wote itabidi wageuke kuni za kuwashia huoo moto!
 
Hicho ni kiburi na jeuri. Rais Magufuli lazima ajue Kuna Mungu aliye Mkuu kuliko Urais wake na huyo Mungu anaweza kumshughulikia Magufuli mpaka atakapolipa mpaka senti ya Mwisho. Mungu hadhihakiwi!
Meko hana hofu hiyo
 
Kwakweli swala la wastaafu ni dosari kubwa kwa serikali.
Wanasiasa wanajipendelea wao tu,bunge likivunjwa wabunge wataondoka na zaidi ya mil 200 kwa miaka mitano tu.
Halafu wazee walitumika kwa miaka zaidi ya 30 wanaishia kudhalilika,hata stahiki zao mpaka wapige magoti.

Wastaafu wengi baada ya kustaafu na kukaa zaidi ya mwaka bila kulipwa kiinua mgongo wala pensheni,wanaishia mikononi mwa taasisi za mikopo zakitapeli zinazomilikiwa na hao hao wanasiasa.

Yaani Mzee anapigwa njaa,anaamua akakope mil 1 ili alipe mil 7 siku akilipwa,

Wengine kiinua mgongo chote kimaishia kulioa madeni yenye riba ya mwendo kasi.
 
Nimenunua dream liner kwa cash wakati hata makampuni makubwa ya ndege ya nchi tajiri yanakopa, kumbe kachota mafao ya wastaafu! Kilangila.
 
Back
Top Bottom