wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Fedheha Ni pale mifuko inapokataa kumlipa mafao mstaafu sababu tu mwajiri (serikali) alikuwa hapeleki michango ya mstaafu huyo au pale ambapo mwajiri alimbadilishia mstaafu daraja na hivyo kutokumrekebishia mshahara.
Adha Ni nyingi na kibaya watumishi wengi wanaishi mbali na ziliko ofisi za Psssf. Kila Mara unspofanya ufuatiliaji hupati jibu la uhakika mbali ya kuambiwa, inashughulikiwa, network hakuna, file limesajiliwa, subiri mwezi ujao na majibu mengine mengi tu.
Kweli inaboa na Cha kushangaza wabunge wetu wako kimya Sana kuhusu Hili. Hakuna kiongozi mkuu wa kitaifa anayeguswa na mateso ya wastaafu. Hakuna bodi inayomwakilisha mstaafu. Maisha Ni magumu huku jamani
Eti ni kiongozi wa wanyonge huyo,ni utani anafanya.