Rais Magufuli: Lukuvi hawezi kuwa Mgombea urais wa CCM 2025 kwa sababu ana umri mkubwa. Ni fursa ya Vijana

Unachopaswa kufanya ni kumnyima kura
 
Magufuli yuko sahihi kabisa, najua behaviour ya wasaka urais, awamu ya pili huwa wanakosa focus ya kuwatumikia wananchi badala yake wanaanza kampeni za urais.Safari hii kibano hadi mwisho,akiwalegezea hawatamsaidia watabaki kujipalilia njia.SAFI SANA JPM, BANA MPAKA 2025 TUMEZOEA KUPATA SURPRISE YA MGOMBEA URAIS SIYO HAWA WASAKA TONGE
 
Joe Biden Ana 77, Sasa kwanini jakaya kikwete asigombee Tena kisa anamzidi Magufuli?
 
Hii nchi ina watu wengi sana wanaofaa kuwa viongozi.
Yeye ni nani aanze kuzuia watu kugombea?
Huyu mzee namkubali sana ila anaboa sometimes
kama angekuwa hazuii watu kugombea, basi kusingekuwa na watu kupitishwa pasipo kupingwa, wapinzani kutiwa vilema, kuuwawa na kutekwa..bora mkoloni mzungu kuliko mkoloni mweusi.
 
Afu chandimu wapo bize ICC, ccm ishaanza kujiandaa, unafikiri chandimu watashinda kweli?
 
kama angekuwa hazuii watu kugombea, basi kusingekuwa na watu kupitishwa pasipo kupingwa, wapinzani kutiwa vilema, kuuwawa na kutekwa..bora mkoloni mzungu kuliko mkoloni mweusi.
Mzee amezingua kwenye hili
 
Jamaa ni wa hovyo sn anafikiria madaraka tu.. 🤔🤔
 
Jamaa ni mbabe na kwa maneno yake inamaanisha kuwa hao Marais hawachaguliwi na wananchi bali na system. Hivyo kwa wale wanaojiandaa kugombea, hakuna cha bahati bali kuna mpango tayari ......!!
 
Leo umeeongea point mzee point tupu

Sio kwamba tunakupinga pinga tu

Ila pia Kuna wakati unaongea vinavyoleta mantiki

Kwa Leo Nimekukubali sio kesho utakujaje[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Yeye alivyooendekezwa na Mzee Mkapa alikuwa kijana??
 
Katika Hilo kundi la vijana mtu Ninaye muona afadhali humo ndani ya CCM labda januari makamba na ana nguvu kubwa Sana

Na ana presidential charisma kuliko hawo wengine vichwa maji .

Japo nayeye Ni mchimbachumvi fulani hivi Ila katika CCM yeye ndio ana afadhali

Na naona atakuwa back up kubwa Sana labda wampishe mwinyi

Otherwise January atawafaaa

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…