Rais Magufuli: Lukuvi hawezi kuwa Mgombea urais wa CCM 2025 kwa sababu ana umri mkubwa. Ni fursa ya Vijana

Tatizo anajiona yeye ndio Mungu wa Tanzania chochote anachosema ni sahihi walishindwa kina Nyerere kuwrka mtu aliyemtaka sembuse yeye
 
Mtu akila nyama ya mtu haachi-mwl.Nyerere
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€jamaa anawakatisha tamaa
 
Mbona unaonekana uelewa wako ni mdogo sana? Hajakataza mtu kugombea yeye amesema kwenye chama chake itakuwa vigumu kupita kama wewe una umri mkubwa. By the way kwani chama hakina vijana wanaoweza kugombea mpaka mzee wa miaka 70 agombee? Mshauri mgombea wako akagombee upinzani CCM hataweza kupita kuna vijana wa kutosha kugombea Urais.
 
Huyo anaandaa mbeleko ya kubebea mtu wake kuwa Rais ajaye kama yeye alivyobebwa ili muda ukifika atuletee tumchague kuendeleza utamaduni wa CCM wa kupata viongozi. Ingawa yeye alibeba mtu wake akatuletea, ni JK pekee ndo hakubebwa na kiongozi yeyote. Nyerere alimbeba Mwinyi kwa maneno mawili tu: "Mwinyi je?" na Mkapa kwa maneno: "Huyu ndio Rais wenu" akawa. Lukuvi ni wa Nyanda za Juu hata angekuwa kijana hatabebeka!
 
kwanza kabisa mkwe wake si mwafrika mtu huyo hafai kabisa kupewa mafasi
 
Kumbe mgombea urais wa ccm huteuliwa na Rais?

Kama ndivyo,huwa kuna sababu gani ya kukusanya wajumbe kupiga kura?Au wanapigia kura machaguo ya rais?
 
Alipoomba urais kundi kubwa la vijana lilikuwa asilimia ngapi? Tunapata rais wa nchi kwa legal processes na uwezo wa mtu kiutawala

Ujana tu hauwezi kuwa qualifications - anyway remain silent huenda nikawa mimi
ukawa wewe kabende msakila et
πŸ˜‚
 
Naona CCM mnazungumza Jambo na mungu wenu.

Hakuna ajuae kesho yake, na Wala usiseme ww hauwezi kuwa rais au Nani.

Who are you?
 
πŸ™„πŸ™„πŸ™„ Mjomba mbona hueleweki
 
Kwa bahati Mbaya wengi wa wanaomzunguka ni waoga na wanafki kama akina Mwingulu. Hawana uwezo wa kumwambia ukweli pale Mhe. anapotoka nje ya Mstari.

So, usitegemee kama kuna atakaye weza kumshauri vinginevyo. Mana washauri wake wanaoshia kichekacheka hovyo na kumwambia you are the best ever.
 
Hii nchi ina watu wengi sana wanaofaa kuwa viongozi.
Yeye ni nani aanze kuzuia watu kugombea?
Huyu mzee namkubali sana ila anaboa sometimes
Haya maneno hata Jakaya aliyaongea na ikawa alikataa kumuachia mtu wa umri zaidi yake.Unachosahau ni kwamba ccm ndiyo chama kinachotoa rais wengine wasindikizaji.Rejea chaguzi za 1995 2000,2005,2010 na 2015
Leo alikuwa anaongea kama mwenyekiti wa ccm.Nani anaweza kubishana na mwenyekiti?????????? Hiyo ndiyo ccm chama chenye mifumo thabiti
 
Kwel ccm wanawaza mbali ,yaan shv wanaoanga ya 2025 wakati vijana ajira hawana ,mishahara midogo,katiba mpya haisemwi .wao wanawaza nan atakuwa rais .mtakuja kuroganaa muuwaneee kisa uraisi
 
Kwanza anaongea tu hapo. Hachomoki huyo kwenye hicho kiti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…