Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

Kwahiyo ni ajabu papai kuwa na corona, ila kitasa, sakafu, nguo, paka, petty sio ajabu?

Mimi nimemsikiliza mtukufu lakini nimegundua hayupo knowledgeable, kama kitasa, kiti cha Gari, na wanyama wa kufugwa wanaweza kuwa na virus wa corona, mbona alivyoviongea vinaweza pia provided viko exposed kwa virus?

Watanzania wengi including viongozi sio watafiti they are leaders who aren't reading!!
 
Akili Kama za mweka mada ni za kupuuza kenge wewe
 
Ninajiuliza kuwa tungekuwa na maaambukizi mengi Kama kenya Au Africa kusini Au zile nchi za ulaya ingekuaje?
Tuwe na maambukizi mengi mara ngapi?
Wewe umefichwa takwimu sahihi. Hao wanaozikwa usiku kama uchafu unajua idadi yake hadi sasa kwa mikoa yote?

No Transparency.
 
Kuna baadhi ya watu mnapenda kusikia habari mbaya tu kuhusu corona.

Mkisikia corona imeua watu sabini kwa mpigo basi roho zenu kwatu!

Hakuna cha corona. Watu wafanye kazi na maisha yaendelee.

Ujuaji tu!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ishu ni wewe kuogopa kuchekwa na wakenya?

Kama vipi hamia kenya basi.
 
Ni hatari sana, tuna kiongozi ambaye nadhani anaishi akijisemea "...pumbavu tu haya, yatanifanya nini..."
Ahaaahhaaaaaaaaaaa. Wafugaji ni wafugaji tuuu, corona ipo mpaka kwenye mbuzi, mabeberu, kondoo, nk. Walah kipindi hiki tunae mtu wa ajabu, jamani tusirudie kosa hili.
 
Usingekuwa binti tungekupasha! Zungusha ubongo wako
 
Unajua magufuli hana akili, anashindwa kuelewa kwamba alichokisema kina kinyume chake yan haelewi hiyo ya kipimo kudanganya ni hatari kuliko hata hatari yenyewe. Yeye kaongelea upande mmoja wa watu kuwa negative na vipimo kuonyesha positive anasahau pia kama kipimo kinafanya hivyo hich kipimo ni rahis sana kuja na negative kwa watu positive na inawezekana kabisa ndio wengi wapo mtaan ambao wamepimwa na wameonekana negative wakati wapo positive na tunaish nao mtaani, no wonder the number is spiking up day after day.

Awadanganye mbumbumbu wa ccm ambao hawawez kufikiria


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Muongozo unasemaje kuhusiana na hizi kits za kupimia Covid19 hasa pale zinapotumika kupima sampuli ambayo siyo ya binadamu?
 

Hahahahha!!!
 
Kama kitu hukijui usioongee utaonekana kilaza tu.

Ni nani alikwambia wanachukua sample ya damu?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri issue hapa ni kukuza jambo hili kwa kiwango cha juu kuliko uhalisia pamoja na janga hili tunatakiwa kufanya uchunguzi wa mambo sisi wenyewe kwani kunauwezekano wa kutemper na vifaa na madawa kwa manufaa ya watu binafsi wenye roho mbaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…