Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

Mabeberu hawajawahi kukasrika kuitwa hivyo

Ila nyie Chadema mnawatetea Mabeberu bila shaka mmnamatatizo makubwa
 
Hoja yako ni ipi hasa?

Rangi inahusianaje na samples au Corona?
 
Hotuba imenifikirisha kufika hatua ya kuwaza kwamba watanzania ni maboya mnoo
Wataalamu wa Maabara si mpo huku ndani? Internal Quality Control (IQC) na External Quality Control (EQC) huwa zinafanyikaje? Si unapeleka Known POSITIVE na Known NEGATIVE sample then kuona kama utapata majibu accordingly Hii yakupeleka sample za oil chafu si kutaka kuua machine😅

Naendelea kuchili Zangu makazi mapya, si Urussi Tena
 
Yupo sahihi,kwani wana ruhusa ya Spika? Atawalipa Mwenyekiti wao,kila kitu/sehemu kuna utaratibu na ni lazima ufuatwe.

macson
Hujamwelewa alichomaanaisha, yeye amegundua kuwa kumbe bunge linaendeshwa na magufuli sio spika ndio kilichooonekana, maana yake magufuli amejichanganya katamka ile ni kosa la kikatiba na anaweza kushitakiwa kuwa anaongoza mhimili ile kauli ni ushahid tosha unaweza kutumika popote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa watu wwnazngua wanataka kuendelea kusikia habar za kina mange,kigogo na kina mdude

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili la kuhoji uhalali takwimu maabara zetu !? Nakubaliane nae kwamba tatizo lipo na miili yetu itajenga kinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni hv:- Papai likiiva sana linakuwa na rangi nyekundu kama damu sasa unakamua maji yake mekundu km damu unapeleka kama sample
 
Bado sijaelewa, ila muda utasema kila kitu.
 
Na ni kivipi tuhangaike kupima mapapai wakati dunia nzima wanahangaika kufanya mass testing na kuboresha huduma za afya?
Ilikua ni katika kuangalia accuracy na competency ya maabara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…