issa yurry
JF-Expert Member
- Apr 20, 2014
- 626
- 818
Kwahiyo watu milioni 57 Tanzania mzima umemuelewa ww pekeyakoWatu wengi hawajaelewa hii kitu kabisa mkuu.
Ni kwamba TISS walichukua sample ya kamasi za mbuzi, sample ya ute ute wa papai, alafu wakapeleka maabara DSM.
Zote hizo zikakutwa zina corona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unadhani watu waliozoea kusiliza nyimbo za mipasho na magazeti ya udaku kila saa wana uwezo wa kufuatilia mambo na kuanalyze? UMEBEA NA USHABIKI WA KISIASA NDIYO USIO NA TIJA NDIYO UMETAMALAKI HAPA TZ!Acha kukariri nani kakuambia sampuli ya kupima covid 19 ni damu?
Sampuli inayotumika ni nasal swabs na si damu, ambapo majimaji huchukuliwa katika pua za mnyama kwa kutumia kitu kama pamba na kisha hupelekwa maabara kuchunguzwa kwa kutumia PCR...
Watanzania embu tujifunze ku reason kabla ya kuchangia mada, pia niwaase vijana tumieni muda wetu wa akiba kujifunza vitu vipya ambavyo vitawaongezea kitu katika bongo zenu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais anafanya kila njia ili ionekane Coronavirus haipo. Ukweli Coronavirus ipo na ndo maana yeye kakimbia miji mikubwa.
Jiwe akiongea maneno kumi unakuta moja tu ndio la kweli, angekuwa kama anavyosema corona ni ugonjwa mdogo angekuja zake dodoma aendelee kuchapa kazi.
Kwamba unapima mananasi wakati watu wanalalamika vipo havitoshi sababu maabara ni moja watu wapo Arusha wanatuma sumpuri Dar halafu wewe unaweka jam kupima mananasi!
Ni upumbavu, narudia tena ni upumbavu kuapisha waziri kwenye makazi binafsi ya Rais wakati Ikulu ipo Geita, Mwanza.
Taasisi ya urais sio mali ya mtu binafsi.
Tatizo lako umesoma post yangu ukiwa na mtizamo fulani dhidi yangu.
Huna hoja weye, ila bk 7 utalipwa mara H.Polepole akirudi toka mafichoni.Mkuu andika habari kwa kumnukuu kama alivyosema.
Ulichofanya hapa ni kupotosha mengi kwa kujaribu kutafsiri alichosema.
Angalia unaweza kujikuta matatizoni ikitokea ukaandika hivi sehemu nyingine ambazo wanaweza kukupata.
Hapa kwa uandishi kama huu hauchomoki ukifikishwa kwenye mahakama yoyote ya kisheria duniani.
Nakushauri mnukuu neno kwa neno na siyo hivi.
Utafiti ulishaonyesha kwamba hata wanyama wanaambukizwa Corona. Marekani wali report kwamba Chui-milia Tiger mwenye umri wa miaka minne alikutwa na CIVID-19 wakati ufaransa nao wali report kumkuta swala ameambukizwa CoronaViongozi wetu, wa kisiasa pamoja na hao wa Usalama wanaoelekea kuaminiwa sana wakati huu, Inaonekana hawana taarifa zote kuhusu Virus wa Corona..
Tumeambiwa na wataalam kuwa asili ya kirusi Huyu ni wanyama, na hata WHO Mwanzo hawakuamini kuwa kulikuwa na maambukizi miongozi mwa wanadamu(human to human transmission), bali kulikuwa na maambukizi kutoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu..
Sasa kama ndivyo, Kuna Ajabu gani Rais kushangaa Mbuzi na Sungura kutest positive?
Aisee, ni ajabu, amesema ametoa maelekezo kwa bunge kuwa hakuna kuwalipa posho wabunge waliojiweka caranteenHii vita ni kali ya corona alafu bunge ni muhimili unaojitegemea why aupande kichwani kwa kuwapa maagizo
Teh..angalau wangepeleka na chai ya siturungi, ina ka-rangi kama damu kwa mbaali...Kumbe maabara za Tanzania unaweza peleka mafenesi ukawadanganya ni sample ya damu wakakubali.