Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

inakuwaje mashine za kupima corona zinaonyesha +ve kwa vitu amabvyo havina DNA ya mwanadamu...kama ni kweli sasa tutaanzaje kuwa na imani na majibu kutoka kwenye hizo maabara...Mungu atusaidie
 
Tunaomba wataaalamu wa maabara watusaidie kwenye hili!!!inawezekana vipi?
 
Kama kweli maambukizi yamepatikana katika sample ya vitu hivi..please kaa mbali na vitu vifuatavyo:

MBUZI!

PAPAI!

FENESI!

Popote vilipo keep your distance..........
Stupid upuuzi
 
Kama hili jambo tulilotangaziwa leo ni kweli sio cheap politics kuna maswali mengi sana ya kujibu. Ambayo mimi kwa hekima yalitakiwa yafanyiwe uchunguzi wa kisanyasi kwanza kabla yakutangazwa kwa umma maana madhara yake yanaweza kuwa mengi kuliko faida. Swala lolote la kitaalamu ni muhimu sana kutafuta majibu yakitaalamu kabla hayajatangazwa kwa umma.



inakuwaje mashine za kupima corona zinaonyesha +ve kwa vitu amabvyo havina DNA ya mwanadamu...kama ni kweli sasa tutaanzaje kuwa na imani na majibu kutoka kwenye hizo maabara...Mungu atusaidie
 
Watu wamaabara zetu wamenunuliwa na mabeberu ili wapotoshe Taifa sisi hatuna Covid19
Nawaza sana juu yakauli za baba saaingine nabaki tu sina majibu
1.Tengua uteuzi wa Waziri na Naibu wake
2.Tengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Maabara
3.Nunua Mashine mpya yakupimia japo hata ukinunua utanunua kwa mabeberu haohao
Kabla ya kuongea hebu tufikirie juu ya haya

4 Mm nashukuru kwa mambo matatu hivi ameongea Leo
1.Kusema Ligi anafikiria ianze
2.Marufuku kuzika usiku
3.Watu kuruhusiwa kusafirisha misiba yao
Haya na pongeza sana ila yale juu pale tujadili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui watu wanapata faida gani juu ya huu upotoshaji,nyie watu bwana!

Alichokimaanisha rais ni kutaka kuonesha madhaifu ya hivi vipimo au wapimaji ,yaani haiwekani papai .mbuzi au kuku kuwa na corona

Na rais alifanya hivi ili kutaka kubaini ubora wa hivi vipimo vya korona ikiwezekana pia wapimaji


Sent using Jamii Forums mobile app
 

upo sawa kabisa kiongozi
 

sasa wewe haujaelewa nini hapo....
 
Kipimo cha ukimwi ukapimie malaria unatazamia kikupe majibu gani?
Mambo mengine magufuli anajidhaliisha sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…