Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

Duuuh! sasa mananasi na mafenesi yana damu au hizo sampuli zake zilipenyezwa vipi ina maana hao waliokuwa wakipima walikuwa hawaoni kuwa hizi sampuli siyo za binadamu jamani??

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliekwambia corona inapimwa kwa damu ni nani aisee, umekariri mno maisha.
Corona inapimwa kwa kuingizwa kifaa mfano wa kijiti kirefu kwa njia ya puani...kinaingizwa mpaka kinagusa kuta na kwenye koo ndani kabisa...alafu kinazungushwa zungushwa kukusanya ule tuseme ute kwa lugha nyepes alafu ndio hiyo sample inakwenda kupimwa maabara....hakuna cha damu wala nini...ndio maana imewezekana kuchukua fenesi,papai,mbuzi nk na ikaweza kufanana na sample ya binadamu.
 
2015 lilifanyika kosa kubwa sana

jk nafsi inakusuta sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika Mkuu. Siamini kama maneno haya yametoka kinywani mwa Rais. Yaani ameamua kuidhalilisha Maabara Kuu ya Serikali anayoiongoza kiasi kile?? Kwamba haijui watendalo hata wakiletewa papai wanasema kuna corona??

Hili siyo lakuchukulia poa kuna shida mahali kwa Kiongozi huyu. Atawafanya Watendaji wa Wizara ya Afya wanaofanya kazi ktk mazingira magumu kukata tamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Nani ni mmiliki wa hivyo vifaa hapo maabara..??
 
Hicho kijiji kiko nchi gani? Swala la kupeleka boga ukaambiwa unasafura ni kitu cha kawaida hapa kwetu. Mimi nimeuliza nchi nyingine, wewe unasema udhaifu wa vipimo.
 
AISEE HADI PAPAI LINAPIMWA???BADALA WABORESHE VIPIMO VYA RAIA WAO WANAPIMA KONDOO
mzee kumbuka vipimo vyote vya korona tumeletewa toka nje, utajiridhisha vipi juu ya sensitivity na specificity ya vipimo hivyo ulivyopewa kama msaada. SIKU ZOTE USIAMINI MSAADA AMBAO HUJAUOMBA
 
Ahahhahahahahaa leo ndio kanichekesha ni kama ze comedy show huyu mzee anaongea huku haamini alichotamka yani ili mradi tu upoyoyo huu jamani hahahhaha.Cha msingi watu washampuuza saiz
Bado muda wa kuhama nchi mnao.
 
Unandugu yako au jiran yako kafa kwa corona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata Kinjekitile alipowaambia watu kuwa risasi ikipigwa sema maji na yenyewe itageuka kuwa maji watu walimuamini. Yani siku hizi kila mtu atumie akili zake. Kutegemea za mwenzako utakufa badala yake ooohooo.
 
mzee kumbuka vipimo vyote vya korona tumeletewa toka nje, utajiridhisha vipi juu ya sensitivity na specificity ya vipimo hivyo ulivyopewa kama msaada. SIKU ZOTE USIAMINI MSAADA AMBAO HUJAUOMBA

Na hapohapo kumbuka muamba ngozi huvutia kwake. Wanasiasa sio wakuwaamini

Mara zote hututoa kwenye mstari kwa malengo yao
 
Huoni kwamba kile kitu wanasema Kuingilia muhimili wa Bunge?
Mimi sina maneno kuhusu ruhusa ya speka au laaa,ninacho shangaa nikwamba Rais wako anaonyesha wazi kwamba yeye ndiye analiamrisha Bunge nini chakufanya,umeelewa?
Yupo sahihi,kwani wana ruhusa ya Spika? Atawalipa Mwenyekiti wao,kila kitu/sehemu kuna utaratibu na ni lazima ufuatwe.

macson

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upuuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…