Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

assuming hajatulisha matango pori....yeye ni mkemia ina maana hajui kitu inaitwa "cross contamination" kwenye sample handling??
 
AISEE HADI PAPAI LINAPIMWA???BADALA WABORESHE VIPIMO VYA RAIA WAO WANAPIMA KONDOO
Kikanuni, lab tests zinapofanyika, sampuli husika huwa zinafanyika against quality control (QC) samples ili kuwa na uhakika na majibu unayotafuta. QC samples huwa majibu yake yanajulikana, kwa hiyo majibu ya QC yakiwa mabaya lazima majibu yote yatiliwe shaka. QC husaidia kujua aidha maabara nzima ni tatizo, au kifaa kinachotumika kufanya analysis ni mbovu, au wataalam ni mbumbumbu. Kwa maelezo hayo ya Rais, manake ni kwamba kama nchi hatuna maabara kwa ajili ya kupima COVID-19 na majibu yote yaliyotoka awali ni serious cheatings. Kwa nchi zenye uelewa Waziri wa afya na wataalam wake walitakiwa nyuma ya nondo siku nyingi sana.
Kwenye hili nimemwelewa vizuri Magufuli. Hata hivyo unapimaje kitu sensitive kama hii katika maabara ambayo hana ithibati kimataifa (internationally accredited lab)? Yaani unafanyaje vipimo katika maabara ambayo competency yake haijulikani kitaifa na kimataifa?! Kweli? Kila siku utamsikia Ummy Mwalimu akijinasibu ati ''tumepeleka sampuli kwenye maabara yetu ya Taifa kwa ajili ya uchunguzi zaidi''! Shit!
 

Utaongea mpaka unaingia kaburini

JPM anatenda

Utapewa likes kama zote ila kitaa hawaishi kwa maneno yako
 
Kwani hayo mafenesi na mbuzi na kondoo ukishika mwenye corona na huyo virus akatua kwenye hilo fenesi na hiyo sample ikapelekwa maabara unadhani maabara haita kwambia kuna corona. Ndio maana wataalamu wamegundua kwamba virus wa corona anaweza kukaa kwenye nguo au plastic au chuma kwa masaa kadhaa. Halafu kama maabara ya serikali inahitilafu nijambo kweli la kupepeleza na kutuambi sisi wananchi kwamba haiaminiki,yeye si ni Rais atoe hela itengenezwe au anunue nyingine. Kwa mantiki hiyo anakubaliana na wanaoponda kwamba takwimu za serikali ni za uongo!
 
Kwan uliambiwa corona lazima ipimwe kwa damu?
Unakimbilia kuita watu ignorant kumbe wewe ndio captain wa ma ignorant
 
Wewe nae mlugaluga embu weka ujinga wako pembeni, unataka kutufanya tuharibu swaumu zetu bure. Kuna kiwanda Cha kutengeneza vifaa Tanzania? Vifaa vyote mahospitalini tunaagiza tila nje Kama siyo vya misaada.
mzee kumbuka vipimo vyote vya korona tumeletewa toka nje, utajiridhisha vipi juu ya sensitivity na specificity ya vipimo hivyo ulivyopewa kama msaada. SIKU ZOTE USIAMINI MSAADA AMBAO HUJAUOMBA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mtu hayuko sawa, yani hajiamini hata kidogo yani kila kitu akishindwa anasingizia mabeberu, cha ajabu akimaliza kuwasema anasema tumeongea na wenzangu ili mabeberu watusaidie grants, hata wazungu Nina amini hawana akiri yani ningekuwa ni Mimi huyu mtu hata Shilingi kumi Yangu hangekuja Kuiona hadi anaondoka madarakani yani ni mtu wa wasiwasi tuuuuu, akiona Jambo haliendi Kama anavyotaka yeye pia ni kuwatuhumu watumishi wa umma kuwa wanatumika na kuaagiza usalama kuwachunguza na kuwaathibu, huyu mzeee ataumiza watanzania Wendi Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mbuzi wetu watakosaje kuwa na korona? Na tuwe makini na kauli zetu, bado tunauza nyama Dubai au ile ilikuwa trip moja tu?

 
Spare my ribs, hahaaaa
Kweli kuangalia TBC inataka uwe na roho ngumu na nusu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao mabeberu wenyewe wanakufa kila siku,nasikitika sana kuwa na comforter in chief wa aina hii
 
Vipimo vya korona vimelalamikiwa sana sio na Magufuli tu wewe hauoni kama kuna shida na hivyo vipimo ? Haiwezekani uchukuliwe ute wa papai uonekane una korona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…