Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

Alichoongea cha maana ni kuwaandikia Madagascar barua kuhusu dawa mengine yote kaongea mashudu
Jiwe akiongea maneno kumi unakuta moja tu ndio la kweli, angekuwa kama anavyosema corona ni ugonjwa mdogo angekuja zake dodoma aendelee kuchapa kazi.

Kwamba unapima mananasi wakati watu wanalalamika vipo havitoshi sababu maabara ni moja watu wapo Arusha wanatuma sumpuri Dar halafu wewe unaweka jam kupima mananasi!

Ni upumbavu, narudia tena ni upumbavu kuapisha waziri kwenye makazi binafsi ya Rais wakati Ikulu ipo Geita, Mwanza.

Taasisi ya urais sio mali ya mtu binafsi.
 
KW
Wewe nae mlugaluga embu weka ujinga wako pembeni, unataka kutufanya tuharibu swaumu zetu bure. Kuna kiwanda Cha kutengeneza vifaa Tanzania? Vifaa vyote mahospitalini tunaagiza tila nje Kama siyo vya misaada.

Sent using Jamii Forums mobile app
KWA HIYO KAMA NDO MAZOEA VIFAA VYOTE TUNATOA NJE KWA MISAADA HUNA HAJA YA KUJIRIDHISHA UBORA WAKE? ACHA KUPOTOSHA UMMA UKIJITANGAZA JF KUWA UKO SWAUMU
 
Watu wengi wanachangia hii Mada pasipo kuelewa Rais anamaanisha nini.
Rais Yeye analenga huwezo wa wataalum wetu , maabara zetu kupima huu Ugonjwa.
Mkuu umemwelewa vyema rais, alijaribu kupata weledi wa vipimo vinavyotoka maabara kuu na hayo ndiyo majibu. Wanajiandikia tu Positive na Negative.

Leo ndio nimegundua waTanzania 90% mitandaoni ni wajinga na wapumbav na kuanzia leo napunguza uchangia mada kwa 90% kwani huwa naongea na wajinga wasiojielewa.
 
Kwani hayo mafenesi na mbuzi na kondoo ukishika mwenye corona na huyo virus akatua kwenye hilo fenesi na hiyo sample ikapelekwa maabara unadhani maabara haita kwambia kuna corona. Ndio maana wataalamu wamegundua kwamba virus wa corona anaweza kukaa kwenye nguo au plastic au chuma kwa masaa kadhaa. Halafu kama maabara ya serikali inahitilafu nijambo kweli la kupepeleza na kutuambi sisi wananchi kwamba haiaminiki,yeye si ni Rais atoe hela itengenezwe au anunue nyingine. Kwa mantiki hiyo anakubaliana na wanaoponda kwamba takwimu za serikali ni za uongo!
..."kwenye papai sampuli ilichukuliwa ndani ya papai kitaalam kabisa na sampuli hiyo kupewa jina la......." JPM
 
Watu wengi wanachangia hii Mada pasipo kuelewa Rais anamaanisha nini.
Rais Yeye analenga huwezo wa wataalum wetu , maabara zetu kupima huu Ugonjwa.
Wewe utakuwa mpuuuzi kweli kweli, yani badala ya kumshangaaa rais unatoa ufafanuz wa kizembe hivyo? Kwa akiri ya kawaida huwezi fanya hiyo kitu bhana, ujue rais ni mtu Mkubwa Sana ndugu, kuanza kudili na mambo ambayo tulidili nayo tukiwa na miaka 7 , ujue labda hujaelewa ni kuwa yeye kakariri kuwa anachotaka ndio kiwe hata kwa nguvu ndio maaana kaona hakiwi katuma mapapai kwa kutoamini kuwa itakuwa anazungukwa na watendaji, sasa katika akiri ya kawaida nchi zingne zimeripoti hadi watu zaid ya milioni moja na laki Tatu wameambukizwa wewe wako Mia moja tu unasema hakuna huu ni uongo itakuwa mabeberu wamekuzunguka ktk akiri ya kawaida utakuwa hauko sawa maaana hata jirani yako Kenya ana kuzidi mbali Kwa maaambukizi wewe bado unasema kuwa utakuwa umezungukwa, swali linakuja je maaambukizi kwako yakiwa laki moja si ndio utachanganyikiwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania tusirudie makosa tushajifunza hatuna kiongozi hapa
Mpaka hapa alikofikia kashajimaliza mwenyewe. Wewe Sehemu kubwa ya Serikali yake iko msibani yeye anakimbilia kwenye teuzi?? Hata kama alikuwa na chuki binafsi kwa Mh Mahiga, Kiongozi mwenye Hekima na Busara asingefanya hivyo kwani tunaamini kichwa chake kingekuwa kimejawa na majonzi ya kuondokewa na Mteule wake. Ndiyo maana tunasema kuna shida mahali na hili linapaswa kutizamwa vema na waliokaribu nae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe maabara za Tanzania unaweza peleka mafenesi ukawadanganya ni sample ya damu wakakubali.
Sio Damu inapimwa Acha ujinga
Wanachukua nasal pharyngeal swab
Makohiz wanatoa puan au mdomon
Wanachukua na Kitu Kama pamba inaitwa swab


Sent by IPhone
 
Huku niliko ni usiku, nimeshtuka usingizini nakutana na habari zinatrend kwenye magroup ya wasap, sikutaka kuamini kirahisi nikaingia kwenye vyanzo ninavyoviamini laahulaa[emoji848] nakuta ni habari ya kweli.

Sasa watu wa afya tuambieni sample za majimaji ya binadamu zinafanana na sample za majimaji ya mapapai, Vitunguu na mafenesi?

Kumbe huku duniani wakiwa busy wana-fanya mass testing kwa watu huko nyumbani Tanzania maabara za COVID-19 zinapima kondoo na mbuzi, vitunguu, mapapai na mafenesi nini mnaiambia dunia?

Nategemea kuona watu wengi kupuuzia kupata huduma za hospital kuhusu hili janga na hakika majibu yake mtayapata kisawasawa.

Kama unaipenda familia ilinde, wanasiasa wanawapoteza kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika Mkuu. Siamini kama maneno haya yametoka kinywani mwa Rais. Yaani ameamua kuidhalilisha Maabara Kuu ya Serikali a ayoiongoza kiasi kile?? Kwamba haijui watendalo hata wakiletewa papai wanasema kuna corona??

Hili siyo lakuchukulia poa kuna shida mahali kwa Kiongozi huyu. Atawafanya Watendaji wa Wizara ya Afya wanaofanya kazi ktk mazingira magumu kukata tamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni masikitiko makubwa Sana kwakweli, yani huku anasema corona ipo huku anasema haaamini hadi anapima Mbuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku niliko ni usiku, nimeshtuka usingizini nakutana na habari zinatrend kwenye magroup ya wasap, sikutaka kuamini kirahisi nikaingia kwenye vyanzo ninavyoviamini laahulaa[emoji848] nakuta ni habari ya kweli.

Sasa watu wa afya tuambieni sample za majimaji ya binadamu zinafanana na sample za majimaji ya mapapai, Vitunguu na mafenesi?

Kumbe huku duniani wakiwa busy wana-fanya mass testing kwa watu huko nyumbani Tanzania maabara za COVID-19 zinapima kondoo na mbuzi, vitunguu, mapapai na mafenesi nini mnaiambia dunia?

Nategemea kuona watu wengi kupuuzia kupata huduma za hospital kuhusu hili janga na hakika majibu yake mtayapata kisawasawa.

Kama unaipenda familia ilinde, wanasiasa wanawapoteza kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Umekuwa MANGE KIMAMBI?
 
" Swab" ni mtindo wa kuchukua vinasaba na siyo ndiyo kinachochukuliwa. Sasa kilichokuwa kinachukuliwa kwenye koo kinafanana na mananasi? Yaani ukiweka umajimaji (Fluids) toka kwenye koo na maji maji ya nanasi vinafanana?
Mkuu we ni mtu mzima sio mwehu
Wapi asema mananasi?? Acha ujinga bas
Kasema fenesi ule utomvu wake
Mbona mnakuza mambo Sana tena uongo

Sent by IPhone
 
[emoji23][emoji23][emoji23] basi tuna madaktari wa hovyo kupata kutokea duniani yani uletewe sampuli ya utomvu wa papai uambiwe ni majimaji ya binadamu upime usijue wallahi hii nchi inaenda pabaya.. Hivi huyu ndugu yenu anatuona sisi mazuzu sana au??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom