Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

Mimi ni mbumbumbu wa science kabisa,naomba kuuliza wana science,Je kipimo kilichoundwa kupima sampuli A kinaweza kutumika kupima sampuli X na tukaamini matokeo ya sampuli x?
 
Huyu mtu ni kama anamkakati fulani hivi kwamba, hata watu wakiangamia haimuhusu......Naomba wandugu niambieni hapa anaposema alipeleka sample za papai alilipeleka zikiwa katikarangi gani?

Naomba Mods msiunganishe huu uzi tupeane ufahamu...nhci ni yetu sote tunapaswa kuondoa mashaka yote
 
Hili la Mkuu wa nchi kupima Mbuzi na mapapai badala ya kupima watu, imetudhalilisha sisi Kama watanzania nimeona kule Kenya wameanza kutucheka na kutudhalilisha wakiandika kuwa kenya twapima binadamu Tanzania wao wapima mbuzi na mapapai, aiseee tumeanza kuchekwa Kama watoto wadogo, wakuuu hiii kitu imeshangaza Sana inamaana Mkuu wa nchi haaamini kuwa corona ipo?

Ninajiuliza kuwa tungekuwa na maaambukizi mengi Kama kenya Au Africa kusini Au zile nchi za ulaya ingekuaje? Ninasikitika Sana na kauli Kama hiii Ya mtu msomi kuhisi kuwa corona ni uongo huku anarudi kusema kuwa corona kweli ipo tuchukue hatua, sasa Mimi sielewi huku unasema kuwa corona kweli ipo huku unasema kuwa mabeberu wanatumika huku hao hao mabeberu unafaham kuwa ndio wenye idadi kubwa ya wagonjwa wa corona had majirani zako wako Juu kwa maaambukizi inamaaana wanakubeberu Halafu kwao wanaongeza Namba kwako wanakushusha?

Vipimo huviamini Wakati ndivyo vinavyopima kwao huko? Hivi ikitokea huyu akawa na maamabukizi Kama nchi zingne si ndio atatembea akiimba kuwa ameletewa corona? Haki ya MUNGU huyu Mkuu amedhalilisha nchi na kila Siku analete mambo ya hovyo

Sent using Jamii Forums mobile app
This guy is idiot! The most dumbest president in the world.
 
COVID-19 ni really.. Watu wanaambukizwa kila uchwao, watu wanakufa kila uchwao.


Anajaribu kuwambia nn wananchi kwa kauli zake kama hizi??


Haya makauli ndio yamefanya Watu waache kwenda Hosp, wengine kutoroka, sababu ya maujinga kama haya.


Ni kama vile, Corona ni mradi nakwamba haipo ???.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa hiyo akitoroka hospitali huko nje anaenda kutibiwa na bibi yako? Umeambiwa corona haina dawa sasa huko abaki wakati anaona hakuna tiba si ni bora akajaribu mizimu yake kuliko kusubili kitu ambacho hakipo.
 
Wakat bado sijawa member wa huu mtandao nilikuwa najua humu kuna watu wenye uelewa mkubwa tupu hata baada ya kuwa member nilkuwa najiona kilaza niliejichngany na Wasomi lakin siku hiz nagundua kumbe kuna vilaza zaid yangu mfano huyu mtoa mada
 
Anaamini kua corona ipo na amekiri kabisa, sababu ya kupima mapapai, fenesi, mbuzi , kondoo n.k ni kujiridhisha ukweli wa majibu kutoka katika hivyo vifaa vya kupimia.
Ndio maana vipimo vya Elisa Test kwa HIV viliondolewa.
 
Mkuu tuwaachie wana bailojia tu

Mimi na wewe tuliosoma vishazi huru tutulie
 
Nilishasema kuwa ambassador wa ndugu na familia yako magufuli is a perv na hajali kitu sababu he is on top.

Yan badala ya kuongea ni namna gan tutaovercome hili janga anakuja na lawama jaman jaman, yan ye anataka ajiexclude kwenye hii ishue wakati it started with his stupidity.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nashangaa anawalaumu waliokuwa wanapima kule maabara ya kitaifa kuwa wanamhujumu, kwa kutoa matokeo positive Ya corona, anadai kuwa walionekana ni positive ni uongo, eti alipeleka sample Ya Mbuzi, papai, na vitunguu eti wale watu Wa maaabara ya taifa walimuhujumu, eti na hizo sample hao wa maaabara Walisema ni positive aiseee anaone kuwa hakuna corona anasema hata ligi ya mpira atairuhusu iendelee aisee huyu mzeee akishindwa Jambo anasingizia mabeberu na kuwa anazungukwa, yani hahahahaha, Halafu nashangaaa anaenda anasema corona kweli ipo halafu anasema vipimo ni vya uongo watu waliokuwa wanapima wachunguzwe yani mmmmh simwelewi

Sent using Jamii Forums mobile app
ONDOA POROJO ZAKO WEWE NDIO BEBERU MKUBWA HUWEZI KUELEWA.
 
Ndugu zangu lazima tuwe na uhakika na vitu tunavyofanya.
Huwezi ukasema papai linakorona.
Wakati si kweli.
Huu ni mtihani maabara ya taifa wamepewa na wamefeli.
Hawata aminika tena.

Allah kariim
 
Sarah samweli miaka 45 positive [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tz siwezi kuhama wallahi.
IMG_20200503_120653.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaamini kua corona ipo na amekiri kabisa, sababu ya kupima mapapai, fenesi, mbuzi , kondoo n.k ni kujiridhisha ukweli wa majibu kutoka katika hivyo vifaa vya kupimia.
Ndio manake.
Mkuu yupo sahihi.

Allah kariim
 
Ila nyie watu wakatili wa nafsi aiseee...
Kuangalia tuu TBC inahitaji roho ngumu,
Sasa kumwangalia Huyo jamaa TBC inahitaji uwe bandidu na nusu.

Nilienda ugenini, wanaangalia TBC mda wote, Maisha yangu ile jioni yalikua magumu sanaaa, nje kuna mvua, chumbn hakwendeki maana unasubr mwongozo wa wenyeji, kuvaa earphones utaonekana wa ajabu, kuchezea simu mda wote nako hakuleti picha nzuri,
Nilitamani nianze kumchezea paka, bahat nzuri mtoto akaja akawa ananiongelesha.

Mzee mwenye nyumb anashangilia kila kitu, half anakuongelesha u comment...

Nilijitahd kuonesha unafk wa hali ya juu ile siku huku unajichekesha la sivyo naharibu hata kilichonipeleka, mpk nikahisi ana ni challenge kuona how deep i can handle pressure
Baadae Mwanaye akanipa pole maana alijua ninavyoteseka.

Ila asikwambie mtu unafk wa nafsi yako unachoma moyoo aisee, naondoka huku najishangaa, hv kweli n mm wa kumshangilia yule jamaa...
Nilitamani nikatubu.

Na huwezi ukanishangaa,
Maana haya sasa wewe umesikiliza, ulichoambulia ndio hicho, umefurahia?
Pole ndugu ulipitia wakati mgumu sana. Ulofa mubaya sana ungefikia gesti yasingekukuta
 
Back
Top Bottom