Rais Magufuli: Mpaka sasa Tanzania (Bara&Visiwani) hatuna mgonjwa wa Corona. Nawasihi watanzania kuchukua hadhari

Rais Magufuli: Mpaka sasa Tanzania (Bara&Visiwani) hatuna mgonjwa wa Corona. Nawasihi watanzania kuchukua hadhari

Kasisitiza sana kuhusu tahadhari za gonjwa KORONA wakati akiwa anafungua KARAKANA.
Tuchukue hatua, gonjwa baya hili
 
Karibu.

Unaweza pia kuona kupitia Channel ten tv na ITV.

Up dates;
Rais Magufuli ameishukuru serikali ya Germany kwa msaada walioutoa kujenga karakana hiyo ya kisasa.
Pia Rais Magufuli amempa balozi barua maalumu ya shukrani kwa counvillor Mikael wa Germany.

Kadhalika Rais Magufuli ametumia fursa hiyo kuwataka watanzania wajihadhari na ugonjwa huo hatari.
Rais Magufuli amevitaka vyombo vyote vya habari kutoa elimu kuhusu corona.
Kadhalika amewataka wananchi kutosafiri hovyo na amemuagiza CS kutotoa vibali vya kusafiri kwa safari zisizo muhimu.

Rais Magufuli amesisitiza hata ndege ya ATCL inayofanya safari za India ikirejea kesho haitasafiri tena kwenda huko.

Maendeleo hayana vyama!
Akitoka anaenda Kimara kwa ndugu wa Msigwa Peter

Sent from my SM-A207F using Tapatalk
 
Jamani tuhamasishe maeneo ya kunawa mikono na sabuni kwenye sehemu zote za mikusanyiko, hata makanisani, misikitini, sokoni, mashuleni, hospitalini, vituo vyote vya usafiri, nk.

Kunawa kwa maji safi na sabuni angalao kwa sekunde 20-30 iwe desturi mpya.
 
Karibu.

Unaweza pia kuona kupitia Channel ten tv na ITV.

Up dates;
Rais Magufuli ameishukuru serikali ya Germany kwa msaada walioutoa kujenga karakana hiyo ya kisasa.
Pia Rais Magufuli amempa balozi barua maalumu ya shukrani kwa counvillor Mikael wa Germany.

Kadhalika Rais Magufuli ametumia fursa hiyo kuwataka watanzania wajihadhari na ugonjwa huo hatari.
Rais Magufuli amevitaka vyombo vyote vya habari kutoa elimu kuhusu corona.
Kadhalika amewataka wananchi kutosafiri hovyo na amemuagiza CS kutotoa vibali vya kusafiri kwa safari zisizo muhimu.

Rais Magufuli amesisitiza hata ndege ya ATCL inayofanya safari za India ikirejea kesho haitasafiri tena kwenda huko.

Maendeleo hayana vyama!
Amekosa kazi mzee kinganganizi hataki hata mawaziri wake waonekane wakizindua miradi, karakana izinduliwe na waziri wa ulinzi. Bado Mbowe michango inaendelea.
 
We kweli kiazi. Kwani wizara yake ya afya hujasikia inatoa matamko? Ulitaka apite mtaani atangaze.. We kweli bado unanuka maziwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi ndizo hatua stahiki tunazochukua kama Taifa!![emoji16][emoji16][emoji16]
millardayo_B9q0bqzAr5p.jpeg
 
Wale aliowaita marafiki zetu China si wanaendelea kuingia nchini wkt nchi zingine zimepiga ban?
 
“Tanzania hatujapata corona ila hatuwezi kujiweka pembeni lazima tuchukue tahadhari, Corona inaua kwa haraka sana, Watanzania tusipuuze, tuchukue hatua za kujikinga, wanaopenda kusafirisafiri kama safari sio ya lazima usisaifiri na hatutotoa vibali vya Watu kusafiri hovyo” - JPM

“Narudia Watanzania tuchukue tahadhari, Waziri amesema tusishikane mikono, tusibusiane sasa sifahamu usiku watafanyaje ila napo unaweza kukwepa usibusu na mambo yakawezekana tu na ni raha tu, ila kiukweli corona ni hatari, haijafika Tanzania ila tujikinge”-JPM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti mnaweza msibusiane mambo yakawezekana na ikawa raha tuu. Interesting

Ndo akili zake huyo, yaani hotuba yake siku zote usikae karibu na watoto wala unaowaheshimu.
Ni kama mondi, hachelewi kumwaga mitusi!!
 
Back
Top Bottom