kelao
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 8,132
- 5,800
Watu kama aina ya mleta mada ndo waliosababisha hii laana ya corona
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari yenu wakristo kwa waislamu!
Huu ndio wakati muafaka sana wa nyie (wakristo na waislam) kumuomba Mungu awapambanie dhidi ya ugonjwa wa Corona, au mnataka kuendelea kufa? Yule Mungu wenu anayeitwa Yahweh (in Hebrew) na Allah (in Arabic), yule Mungu ambaye alijithibitisha kwa Abraham... ndiye Mungu mnaetakiwa kumlilia sasa awaweke mbali na hili janga la huu ugonjwa.
Kwa maana huyu Mungu ni Mungu aliyekuwepo tangu milele yote na ataendelea kuwepo, ni Mungu anayeweza yote, anayejua yote na ndiye aliyeumba huu ulimwengu wote. Mbali na hizo sifa, hamuishii hapo, ndiye Mungu mtakatifu, mwenye haki, mkamilifu na yupo kila mahali. Lakini sifa ya muhimu sana kwa wakati huu juu yenu, ni Mungu anayesikiliza maombi na anajibu pia.
In reality, huyo Mungu mwenye hizo sifa zote hapo juu, ni Mungu mzuri sana, na hawezi kuacha mteseke.. ni lazima atasikia maombi yenu na kwa kuwa ni Mungu wa haki, mkamilifu na mwenye huruma, hawezi kuwaacha viumbe wake msio na hatia juu ya janga la Corona mteketee.
Hebu muombeni basi ainusuru dunia, yeye ni muweza yote, sio?
Kwani yale mafuta hayafui dafu kwa conv 19Habari yenu wakristo kwa waislamu!
Huu ndio wakati muafaka sana wa nyie (wakristo na waislam) kumuomba Mungu awapambanie dhidi ya ugonjwa wa Corona, au mnataka kuendelea kufa? Yule Mungu wenu anayeitwa Yahweh (in Hebrew) na Allah (in Arabic), yule Mungu ambaye alijithibitisha kwa Abraham... ndiye Mungu mnaetakiwa kumlilia sasa awaweke mbali na hili janga la huu ugonjwa.
Kwa maana huyu Mungu ni Mungu aliyekuwepo tangu milele yote na ataendelea kuwepo, ni Mungu anayeweza yote, anayejua yote na ndiye aliyeumba huu ulimwengu wote. Mbali na hizo sifa, hamuishii hapo, ndiye Mungu mtakatifu, mwenye haki, mkamilifu na yupo kila mahali. Lakini sifa ya muhimu sana kwa wakati huu juu yenu, ni Mungu anayesikiliza maombi na anajibu pia.
In reality, huyo Mungu mwenye hizo sifa zote hapo juu, ni Mungu mzuri sana, na hawezi kuacha mteseke.. ni lazima atasikia maombi yenu na kwa kuwa ni Mungu wa haki, mkamilifu na mwenye huruma, hawezi kuwaacha viumbe wake msio na hatia juu ya janga la Corona mteketee.
Hebu muombeni basi ainusuru dunia, yeye ni muweza yote, sio?
Huo ukimwi tu ameshindwa kuumaliza miaka zaidi ya 40 sasa ndio itakuwa hii mpya! CoronaHabari yenu wakristo kwa waislamu!
Huu ndio wakati muafaka sana wa nyie (wakristo na waislam) kumuomba Mungu awapambanie dhidi ya ugonjwa wa Corona, au mnataka kuendelea kufa? Yule Mungu wenu anayeitwa Yahweh (in Hebrew) na Allah (in Arabic), yule Mungu ambaye alijithibitisha kwa Abraham... ndiye Mungu mnaetakiwa kumlilia sasa awaweke mbali na hili janga la huu ugonjwa.
Kwa maana huyu Mungu ni Mungu aliyekuwepo tangu milele yote na ataendelea kuwepo, ni Mungu anayeweza yote, anayejua yote na ndiye aliyeumba huu ulimwengu wote. Mbali na hizo sifa, hamuishii hapo, ndiye Mungu mtakatifu, mwenye haki, mkamilifu na yupo kila mahali. Lakini sifa ya muhimu sana kwa wakati huu juu yenu, ni Mungu anayesikiliza maombi na anajibu pia.
In reality, huyo Mungu mwenye hizo sifa zote hapo juu, ni Mungu mzuri sana, na hawezi kuacha mteseke.. ni lazima atasikia maombi yenu na kwa kuwa ni Mungu wa haki, mkamilifu na mwenye huruma, hawezi kuwaacha viumbe wake msio na hatia juu ya janga la Corona mteketee.
Hebu muombeni basi ainusuru dunia, yeye ni muweza yote, sio?
Kama ningekuwa na uwezo wa kuishauri hiyo Corona,ningeiomba itufagilie nchi yetu kwa kuwafyekelea mbali hawa mchwa wanaojita wanaccm from mwenyekiti wa taifa hadi mshabiki wa vichochoroni huko ili watanzania milioni 41 wanaobaki waanze kufaidi matunda ya nchi yaoNiwaombe vyama vyote kukemea yeyote atakayebainika kupingana na mapambano ya Corona yatakayoendeshwa na serikali. Tuwaachie taasisi husika zifanye kazi yake, lakini pia turuhusu serikali ituambie ukweli na tukiona hatuambiwi ukweli na uthibitisho tunao Basi tuwaambie wananchi ukweli.
Serikali nyingi za afrika zinatabia yakuficha matatizo kwa kuamini kila Jambo Ni Siri kwa wananchi.corona siyo Siri Ni janga la Dunia. Corona haiwezi kutumika kisiasa kwa kutafuta kura, tuombe isifike Tanzania na pale maombi yetu yatakapojibiwa tukawa salama bila Corona viongoz na wanasiasa wasijisifu kwamba chama flani kimefhibiti Corona Bali sifa na utukufu tumwachie Mungu.
HUU ugonjwa unatibiwa na dawa ganiTunasikia matamko mbalimbali kutoka kwa Rais na Waziri mwenye dhamana ya Afya zetu. Ila hakuna tamko limetolewa na Bohari ya Dawa MSD kama kuna dawa za kutosha kutibu ugonjwa huo zaidi ya siasa za kunawa mikono. Mganga mkuu wa serikali nae yupo kimya hakuna taarifa ya kuwa na wauguzi wa kutosha kukabiliana na kadhia hii. Zaidi ya tamko la kusitisha michezo ya Umiseta na Umishumta. Tuna safari ndefu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka aanze kupiga mayowe, au?...Mganga mkuu wa serikali nae yupo kimya...
Nimemuuliza ili kupunguza lawama. Kuna watu wana matatizo kweli.Duh! Chuki zikizidi madhara ndio haya, mzee Corona bado haijapatiwa dawa. Hata kama unachukia serikali si kwa kiwango hiki.