mkuu unaweza uondoa huo mfano wa padri, kisha uutazame mshahara kuwa kwangu una tafsiri pana mno kuliko hala zile anazo pewa mtu kama rais, kila mwisho wa mweziHuo ni mtazamo wako ktk koti la ukatoliki, kiuhalisia haiko hivyo ktk siasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu unaweza uondoa huo mfano wa padri, kisha uutazame mshahara kuwa kwangu una tafsiri pana mno kuliko hala zile anazo pewa mtu kama rais, kila mwisho wa mweziHuo ni mtazamo wako ktk koti la ukatoliki, kiuhalisia haiko hivyo ktk siasa.
9500000 per year 114,000,000
9500000 per 5 years 570,000,000
9500000 per 10 years 1,140,000,000
HAPA KAZI TU.
9500000 per year 114,000,000
9500000 per 5 years 570,000,000
9500000 per 10 years 1,140,000,000
HAPA KAZI TU.
..ikulu ni MTAJI pale unajichotea tuuu
.
Nini unakusudia kusema hapo??Per year 114,000,000
Per 5 years 570,000,000
Per 10 years 1,140,000,000
HAPA KAZI TU
Hivi watu kwanini hawataki kufikiria leo ni siku ya wajinga duniani!! Watu wanaoigiza sauti ya magufuli wapo hivyo usikute ni geresha tu.
Kwani Rais anabeba mzigo mzito peke yake? Hao wasaidizi wake wanafanya nini? Kama anaona mzigo ni mzito kwa nini haombi bunge limpunguzie majukumu? Tusidanyanyane katika Tanzania hii mwenye kubeba mzigo mzito pekee basi ni mchukuzi tu. Nampa challenge Magufuli kama yeye anaona anabeba mzigo mzito basi na ajaribu kuutua urais tuone mimi nitaudaka hata kabla ya kufika chiniIli ujue uzito wa kazi yake na anastahili zaidi ya huo mshahara, watu wenye njaa wanamlalamikia wao kuwa wana njaa, wakulima wanamlalamikia yeye kuhusu mazao, vijana wanamlalamikia yeye kuhusu ajira, wagonjwa kulala chini wanamlalamikia yeye, pesa kupotea ktk mzunguko watu wanamlalamikia yeye, nk.
Unajua kwa nini hawa watu wote wanamlalamikia yeye? Ana majukumu mazito zaidi ya udhaniavyo.
..Raisi ni ccm.
..spika ccm.
..majority ya wabunge ni ccm.
..sasa Nani atawazuia hata kama wakiamua kubadili katiba?
Rais Dkt. John Pombe Magufuli ametaja mshahara wake kuwa ni Tsh mil 9.5, huku akiahidi atatoa Salary slip zake punde akitoka mapumzikoni Chato.
Hiyo imetokea wakati wa kipindi cha magazeti leo tarehe 01/04/2016 ambapo watangazaji walisoma habari iliyoandikwa na gazeti la nipashe kuwa Zitto na Lissu waomba ataje Mshahara wake na ukatwe kodi.
Wakiwa katika mjadala huo, walipokea taarifa kuwa Rais kawasikia na katuma taarifa ofisi za Clouds kujuza mshahara wake kuwa ni mil 9.5 na atatoa stakabadhi zake akirudi Dar.
Huo ndio mshahara alioukuta na hata Rais Kikwete alikuwa akilipwa kiasi hicho pia.
Chanzo: Clouds 360 Asubuhi hii.
3Dah! Mkuu katupata wengi mpaka clouds..Rais Dkt. John Pombe Magufuli ametaja mshahara wake kuwa ni Tsh mil 9.5, huku akiahidi atatoa Salary slip zake punde akitoka mapumzikoni Chato.
Hiyo imetokea wakati wa kipindi cha magazeti leo tarehe 01/04/2016 ambapo watangazaji walisoma habari iliyoandikwa na gazeti la nipashe kuwa Zitto na Lissu waomba ataje Mshahara wake na ukatwe kodi.
Wakiwa katika mjadala huo, walipokea taarifa kuwa Rais kawasikia na katuma taarifa ofisi za Clouds kujuza mshahara wake kuwa ni mil 9.5 na atatoa stakabadhi zake akirudi Dar.
Huo ndio mshahara alioukuta na hata Rais Kikwete alikuwa akilipwa kiasi hicho pia.
Chanzuo: Clouds 360 Asubuhi hii.
inategemea na uzito wa kipundi anachofuatilia,kiukweli television ya taifa vipindi vingi vilipoteza mvuto baada ya Tido Mhando kuondoka,watu siku hizi wanapenda taarifa ya habari ya star na Itv kuliko hata tbc.Najiuliza hivi Clouds Tv ndo imekuwa Tv ya Taifa ambako mkulu anatolea taarifa? Haya mahaba ya JPM kwa clouds yametokana na nini? TBC ii wapi?? Natamani kumsikia pia Mr. Buhohela....
Hiyo fursa kiunganishi ni makondainategemea na uzito wa kipundi anachofuatilia,kiukweli television ya taifa vipindi vingi vilipoteza mvuto baada ya Tido Mhando kuondoka,watu siku hizi wanapenda taarifa ya habari ya star na Itv kuliko hata tbc.
inaweza ikawa jamaa alipiga pande,lakini wanasema ukibebwa bebeka,hata me nkikuambia ktu fln kzur kana ukikiona kzur lazma ukipende.Hiyo fursa kiunganishi ni makonda
Ila mwenye bahati habahatishi riziki ya mbwa iko miguuni kwake wajuzi wa lugha walitanabaishainaweza ikawa jamaa alipiga pande,lakini wanasema ukibebwa bebeka,hata me nkikuambia ktu fln kzur kana ukikiona kzur lazma ukipende.
Kwani yeye akawa analipwa kiasi hicho na magufuri kiasi hichi kanuni ipi imetumika naomba kujua je magufuri kajipunguzia ama nini? Je kisheria kwa Ngazi ya mshahara ni ipi?Sijachangia miaka mingi ila hili la mshahara wa mh Raisi limenigusa. Mh. Magufuli analipwa kidogo sana kulinganisha na other heads of states in East Africa. Predecessor wake "Vasco Da Gama" made a very handsome salary and katuachia UOZO utakaochukua decades kuusafisha. JPM ni mzalendo, wanaopiga kelele hawajui. He deserves 40M kwa mwezi.