Sazira kwetu
Senior Member
- Aug 23, 2015
- 155
- 104
Inawezekana ikawa mshahara pekee ni hiyo 9milion bila marupurupu, na ndio maana baadhi ya watu wanasema angetaja pamoja na marupurupu mengine anapata jumla ya Tsh ngapi? Nadhani akieleza hilo anaweza akawa na mshahara zaidi ya hiyo tajwa