Vip kuhusu eric kabendera mwanzo alipopotea tuliambiwa ni watu wasiojulikana in few days tukaambiwa ni yupo mikonon mwa polisi then ndo kusomewa kesi kibao sijui ni za kweli au kubambikiwa mpka saiv anasota, hivyo hivyo Tito amepotea na wasiojulikana badae inaonekan kumbe ni serikali.
Wananchi lazima wahusishe vyombo vya usalama kwa sabab kuu zifuatazo
1. Baadhi ya waliopotea wakajulikana walipo ilionekan ni vyombo vya usalama km polisi ndo wanawashikilia
2. Baadhi ya waliopotea wakapatikan km roma walishindwa kusema nan amewafanyia hivyo. Na polisi hawakujishugulisha kumsaidia kumpata alie fanya hivyo. Mmoja alisema roma atapatikana kbla ya j2 na ikawa hivyo.
3. Baadhi ya waliopotea moja kwa moja km ben saanane na azory. Hakuna jitihada za uchunguz zinafnywa na juu ya matukio hayo na viongozi wenyew wanatoa majib yenye utata.
4. Asili ya watu wanaopotea ni wale wenye mlengo wa kushoto ie. Wenye mawazo mbadala/tofauti na mtazamo waserikali
5. Matukio km la kupgwa mtu risasi hadharani mchana ni matukio makubwa na hatar sana ndan ya nchi lakin vyombo vya usalama vimekua vinatoa majib mepesi juu ya uchunguz wake zaid sana serikal imeonyesha chuki za wazi juu ya muhanga wa tukio hilo. Kuanzia kwenye kumnyima matibab kwa visingizio vya kitoto mpka kumnyanganya nafasi yake aliyopewa na wananchi kish kupewa nafasi hyo mtu wanaemtaka wao.
Hii imejengea jamii dhana ya kua mtu yeyote asipoonekana katka mazingira km hayo mwenye mtazamo uliojionesha kua upotofaut na watawala mfano CAG, bas vyombo vya ulinz na usalama km TISS vinahusika moja kwa moja.
Lakin pia tunajiuliza kwa nin haya matukio yameshamili sasa hivi!?? kwa nin yasikike zaid awamu hii na sio zilizopita!??? Rais asiilaum jamii kwa makosa yake yeye mwenyew.
Sent using
Jamii Forums mobile app