chikambabatu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,339
- 1,318
Lakini
Lakini tujiulize, baada ya watu kupotea, baadhi ya watu utoa sababu uenda zilisababishwa kupotea kwao, na sababu ni mkwaruzano na wakubwa, tafakari kila mmoja na sababu yake, mfano Roma- wimbo, lisu ukosoaji, sanane, anzori, n.k. sasa sababu zinatolewa humu humu jf. Sasa tusema nani? Au tuitimishe vipi? Sababu za kisiasa tuseme ugomvi wa mapenzi?Hapo sawa kabisa maana vyombo vyetu vinachafuliwa hovyo