Sole Proprietor
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 223
- 254
Ni sawa kabisa,tena itungwe sheria Kali dhidi ya vyombo vya habari vinavyohusika kutoa taarifa za uzushi kama hizi ili Iwe mwisho wa upuuzi huu,mtu amekamatwa let's say na polisi mijitu inasema ametekwa,mtu yuko offline kwa matatizo ya mtandao wanadai ametekwa,hatuwezi kufika kwa kuendekeza upuuzi kama huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mdude chadema alitekwa na nani tena mchana kweupe?? Majambazi? Wako wapi walikamatwa?? Mnataka kuwafanya watanzania wajinga? Its too late mr president.Ni sawa kabisa,tena itungwe sheria Kali dhidi ya vyombo vya habari vinavyohusika kutoa taarifa za uzushi kama hizi ili Iwe mwisho wa upuuzi huu,mtu amekamatwa let's say na polisi mijitu inasema ametekwa,mtu yuko offline kwa matatizo ya mtandao wanadai ametekwa,hatuwezi kufika kwa kuendekeza upuuzi kama huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kisicho julikana ni kwamba baada ya sera zote kupokwa wenzenu wamepata pa kushika ni hatari kunyang'anya hata hii kwani wasipo tafuta huruma ya wananchi kupitia utekaji watakuwa hawana ajenda mpya.
Sent using Jamii Forums mobile app
WellWaliopo karibu ya rais wanisaidie kuniulizia,hivi kazi ya police siku hizi ni nini? Yaani hata mimi nisipooneka for two days,niwe nimefungiwa ndani na jimama au nguo zangu zimelowekwa,mama atakwenda police au popote anapoona anaweza kupata msaada kuriport kuwa nimepotea then ni jukumu la police kufanya uchunguzi na kutoa taarifa kama ni kweli nilikuwa nimepotea au nilikuwa kwa hawara shame on him
Kama sio kikosi kazi alitekwa saa moja jioni watu kibao, mita 30 mbele kulikiwa na askari benk, taarifa zilitolewa polisi muda huo huo lakini mpaka leo hakuna hatua yoyote ilichukuliwa na RPC kushughulikia sakata la Mdude Nyangali.Alijuaje kama ni kikosi kazi?
Zakaria asingefungulia bomba la risasi tusingejua kuwa ni usalama walitaka kumteka!Ni wakati sasa wa wananchi wenye uwezo kumiliki silaha!una ushahidi kuwa Usalama wa taifa ndio wanahusika na utekaji? haya ndio Mh. Rais amesisitiza watu kama ninyi mchukuliwe hatua..
Hakika mnaudhi sana..
una ushahidi kuwa Usalama wa taifa ndio wanahusika na utekaji? haya ndio Mh. Rais amesisitiza watu kama ninyi mchukuliwe hatua..
Hakika mnaudhi sana..
Naam, ndugu now i can confidently say Magufuli haelewi ukubwa na upana wa dhamana aliyo ibeba, na kwa mantiki hiyo kiti hicho kina mpwaya tena sanaaaaa!!!!!!!Rai amejiabisha sana leo, amiri jeshi mkuu anataka kukamata wanaopiga kelele huku ameshindwa kuwakamata wahalifu wanaoteka na kuua, hilo jukum anamwachia nani
So hata akina Azory,Ben saanane wako kwa kimada?Katika hili namuunga mkono Mh.Rais wa JMT Dr.John Pombe Magufuri.
Binafsi nilikutana na taarifa kama hii maeneo ya Mahina jijini Mwanza ambapo bwana mmoja kwa jina kapuni aliyetoweka nyumbani kwake usiku kwa kumuaga mkewe kuwa anaenda kununua vocha usiku wa saa tano baada ya kutoka safari.
Mkewe alimsubili pasipo kuona dalili ya kurejea nyumbani,siku ya pili alianza kumtafuta kwa kuuliza ndugu,jamaa na marafiki ambao walimshauri atoe taarifa ofisi ya serikali ya mtaa kwa ushauri na maelekezo mengine.
Cha kushangaza siku iliyofuata iligundulika kuwa jamaa siku aliyoondoka kutafuta vocha alikwenda kwa kimada wake na kufungiwa ndani kwa mahaba motomoto.
Yaani utafikiri sio Rais wa nchi, anabwabwaja tu!Naam, ndugu now i can confidently say Magufuli haelewi ukubwa na upana wa dhamana aliyo ibeba, na kwa mantiki hiyo kiti hicho kina mpwaya tena sanaaaaa!!!!!!!
Umemaliza mkuu!Jamaa ana roho ya ajabu sana!"Magufuli ni miongoni mwa watekaji! na sasa hataki kusikia kelele za anao waumiza". Anacho fanya ni intimidations ili watu tukae kimya huku tukiona wenzetu wakipotea!, ............ Kuna matukio mengine ya wazi kabisa yanayo wahusisha usalama wa taifa, kama lile la Zakaria....yapo mengine yasiyo kuwa na majibu na mengine yenye majibu ya kitoto masikioni mwa wenye timamu... Magu is such an hopeless leader!
Nimewapa kisa chenye mfano,hao wengine unaowasemea hakuna ajuaye yaliyowakuta.So hata akina Azory,Ben saanane wako kwa kimada?
Zakaria asingefungulia bomba la risasi basi tungeambiwa yuko kwa kimada!