Utanyooka tu ass!Amri za ulevi wa madaraka!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utanyooka tu ass!Amri za ulevi wa madaraka!!!!
Ni sawa kabisa,tena itungwe sheria Kali dhidi ya vyombo vya habari vinavyohusika kutoa taarifa za uzushi kama hizi ili Iwe mwisho wa upuuzi huu,mtu amekamatwa let's say na polisi mijitu inasema ametekwa,mtu yuko offline kwa matatizo ya mtandao wanadai ametekwa,hatuwezi kufika kwa kuendekeza upuuzi kama huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kuona misaada hailetwi tena na uchumi ķuyumba.
Na uchaguzi unakaribia lazma ajisafishe
What is this? Yaani polisi hawawezi kufanya kazi mpaka waelekezwe na magufuli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hofu ya kutekwa imeletwa na matukio halisi ya watu kutekwa na wahusika wa utekaji bado hawajakamatwa. Hivyo basi ni jukumu la Serikali kuwaondolea watu hofu ya ketekana tekekana kwa kuwabaini watekaji. Badala ya kuwanyamazisha wenye hofu kwa mkono wa chuma.
Utanyooka tu ass!
Ndo maana katuchimba Mikwara tusitangaziane kutekwa ili matukio ya utekaji yapungue kwenye Media, ili utekaji na watekaji wasijulikane.Kwa Nini matukio ya utekaji yameshamiri awamu hii ambayo anaiongoza?
Mbona Mdude alisema waliomteka walikuwa ni "kikosi kazi"
Ukiwa muongo you must have a good memories otherwise you can contradict yourself! Kashahau alisema before. Ama kweli njia ya mwingo ni fupi
Acha ukweli usemwe. Ujinga uitwe ujinga bila kujali nani katenda ujinga huo. Kama umeapa kulinda ujinga wa mtu basi wewe ndiyo mjinga uliyepitiliza.Unatukana ukiwa umejificha nyuma ya keyboard! Angalie usije ukapotea halafu uanze kusingizia kuwa ni TISS kumbe ni sisi wanaume wa shoka tulioapa kumlinda Rais wetu kipenzi