Uchaguzi 2020 Rais Magufuli na Tundu Lissu wote ni Wakatoliki wazuri. Je, Kanisa halioni umuhimu wa kuwapatanisha?

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli na Tundu Lissu wote ni Wakatoliki wazuri. Je, Kanisa halioni umuhimu wa kuwapatanisha?

Naona wewe ulinyimwa upadre.

Unalisema Kanisa Katoliki hilihili lililo simamia utekeleza mauaji ya Kimbari ya huko Rwanda 1994? Au unasema Katoliki ipi? Hilihili la akina Pengo na Methodius Kilaini? Linaloshindwa kukemea viongozi wa kisiasa kwa mambo wanayoyafanya yasiyokuwa mema machoni pa binadamu?

Unalisemea Katoliki hili ambalo wazazi wkitenda kosa linamgharimu na mtoto au mtoto akitenda kosa linagharimu na wazazi?

Hivi ni hii Katoliki yetu ambayo usipolipa michango ya jumuia hupewi huduma ya Kanisa? Unalisema hili ambalo ibada ya marehemu tajiri anaenda Padri/Askofu na kwa maskini wanaenda Makatekista?

Au sijakusikia vizuri uongeze sauti mkuu.
 
Ni jambo lililo wazi kwamba hawa watu wawili wana mengi yanayofanana na kukinzana.

Wote ni public figures na wanasiasa tofauti ni kwamba mmoja ni rais wa nchi na mwingine ni mwanasiasa anayependwa sana kwa sasa.

Wote hawa ni Wakatoliki wazuri sana na wanaoijua imani yao vema.

Kwasababu ambazo sioni haja ya kuzieleza hapa, hawa wote wana tofauti kubwa hasa kwa mambo yalivyokuwa kwa kipindi cha miaka mitatu nyuma mpaka sasa.

Swali langu kwa kanisa Katoliki:
Je, halioni umuhimu wa kuwapatanisha Hawa waumini wake wawili? Je kanisa linafurahishwa na Hali iliyopo kwa sasa baina ya wawili hawa?

Nini mchango wa kanisa katika kubeba hisia za Lissu na kumtuliza? Na ni nini mchango wa kanisa katika kumpa Mh Rais Magufuli tulizo la moyo linalotokana na cheche za Lissu?

Mwisho wa siku sisi ni Watanzania.

Usiku mwema.
Sawa lakini sidhani kama shetani atakubaliana hili wazo
 
Ni jambo lililo wazi kwamba hawa watu wawili wana mengi yanayofanana na kukinzana.

Wote ni public figures na wanasiasa tofauti ni kwamba mmoja ni rais wa nchi na mwingine ni mwanasiasa anayependwa sana kwa sasa.

Wote hawa ni Wakatoliki wazuri sana na wanaoijua imani yao vema.

Kwasababu ambazo sioni haja ya kuzieleza hapa, hawa wote wana tofauti kubwa hasa kwa mambo yalivyokuwa kwa kipindi cha miaka mitatu nyuma mpaka sasa.

Swali langu kwa kanisa Katoliki:
Je, halioni umuhimu wa kuwapatanisha Hawa waumini wake wawili? Je kanisa linafurahishwa na Hali iliyopo kwa sasa baina ya wawili hawa?

Nini mchango wa kanisa katika kubeba hisia za Lissu na kumtuliza? Na ni nini mchango wa kanisa katika kumpa Mh Rais Magufuli tulizo la moyo linalotokana na cheche za Lissu?

Mwisho wa siku sisi ni Watanzania.

Usiku mwema.
Kanisa liwapatanishe!? Kwani wamekosana NINI? Hawa kila mmoja ana maono yake. Lissu ana maono ya KUUZA NCHI kwa waliomtuma ili wazidi KUINYONYA NA KUIBA MALI NA UTAJIRI WETU wakati Rais wetu ana maono na mtizamo TOFAUTI KABISANA HUO WA LISSU. Tofauti yao kwenye maono yao, yako mbali zana kama mbingu na nchi.
 
Natamani siku moja niwaone wawili hawa wakikumbatiana kwa tabasamu pana lenye bashasha hakika itakuwa ni ushindi kwa taifa letu.

Amani iwe kwako Mh Rais Magufuli
Amani iwenkwako Mh Tundu Lissu
Amani iwe kwa wana CCM wote
Amani iwe kwa wana Chadema wote
Amani iwe kwa Watanzania wote
Naunga mkono hoja
 
Ni jambo lililo wazi kwamba hawa watu wawili wana mengi yanayofanana na kukinzana.

Wote ni public figures na wanasiasa tofauti ni kwamba mmoja ni rais wa nchi na mwingine ni mwanasiasa anayependwa sana kwa sasa.

Wote hawa ni Wakatoliki wazuri sana na wanaoijua imani yao vema.

Kwasababu ambazo sioni haja ya kuzieleza hapa, hawa wote wana tofauti kubwa hasa kwa mambo yalivyokuwa kwa kipindi cha miaka mitatu nyuma mpaka sasa.

Swali langu kwa kanisa Katoliki:
Je, halioni umuhimu wa kuwapatanisha Hawa waumini wake wawili? Je kanisa linafurahishwa na Hali iliyopo kwa sasa baina ya wawili hawa?

Nini mchango wa kanisa katika kubeba hisia za Lissu na kumtuliza? Na ni nini mchango wa kanisa katika kumpa Mh Rais Magufuli tulizo la moyo linalotokana na cheche za Lissu?

Mwisho wa siku sisi ni Watanzania.

Usiku mwema.
Acha udini mkuu
 
Kupatanishwa na Lissu? Huyu mtu anayeuza nchi mchana kweupe? Labda kama kanisa halina kazi za kufanya.
Ukisikia tu mtu anasema kuna mtu ameuza nchi, ujue huyo mtu au hana akili au ni mtu wa hila au mnafiki.

Maana kiuhalisia hakuna mtu anayeweza kuuza nchi. Haya maneno ya kusema kuna mtu anaweza kuuza nchi, ni maneno ya mitaani ambayo hushabikiwa na watu waliokosa akili hata ile ya kawaida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Superbug,

Hii ni nchi ya wote na ndicho Tundu Lissu anasema tena na tena na siyo suala la watu wawili yaani Magufuli vs. Lissu.

CCM Mpya mmevurugwa mawazo kiasi cha kutaka kuitoa nchi mmliyoikabidhi kwa mtu mmoja na sasa mawazo yenu mnataka kujenga nadharia anayoikataa Tundu Lissu kuwa nchi hii haiwezi kukabidhiwa kwa mtu mmoja au genge la watu wachache mfano maaskofu au masheikh n.k. kutupa muelekeo.

Muelekeo wenye afya njema kwa nvhi tutaupata kwa kupitia demokrasia pana ya kijamii kupitia vyama vingi, watawala kuwa wasikivu, bunge huru n.k

Tundu Lissu na waTanzania wengi wanapenda ushirikishwaji mpana wa wananchi katika kuamua mustakabali wa nchi yao.

Ushirikishwaji huo unaanzia mfano Halmashauri ya Chama NEC CCM, Kamati Kuu, iwe na uwezo wa kumdhibiti mgombea rais wao akiwa amepewa mamlaka ya kiuongozi.

Nchi kuwa na Bunge la kuiwajibisha serikali na Mahakama kuwa huru kutafsiri sheria bila kuingiliwa na dola/ serikali kuu, huo ndio msimamo wa Tundu Lissu, CHADEMA na watu-huru waTanzania na siyo mustakabali wa nchi "umilikishwe" kwa mtu au watu wawili au kikundi cha watu au chama kimoja.

WaTanzania wa 2020 wanaenda kukataa kurudisha ile dhana iliyopo ambayo ni ukweli kuwa sasa wamekuwa 'mateka tangu 2015' kwa vile wamepiga kura kumkabidhi mtu ofisi ya Urais.

WaTanzania wanataka uhuru Na kazi, Uhuru Na Maendeleo, Uhuru Na umoja na pia haki ya mlipa-kodi kutoa mapendekezo kodi yao itumike vipi na siyo kumkabidhi mtu mmoja aamue kutumia pesa za walipa kodi itakavyompendeza kama ilivyo sasa.

Excellent viewpoint. Inasikitisha sana kuona Watanzania wengi wakiwemo wasomi wasivyoelewa maana halisi ya demokrasia. Wanafikiri ni suala la kutafuta mtu (aina ya masihi- toka kwa Mungu) au kikundi cha watu wenye “stahili” ya kudumu ya kuongoza nchi. Hakuna mtu au kikundi chenye sifa ya aina hiyo.

Suala ni wananchi kuwa na nguvu na uwezo wa kuchagua, kudhibiti na kuwajibisha viongozi na kuamua mifumo sahihi ya kusimamia shughuli za umma - muda wote. Ni aibu leo hii tunaendelea kutawaliwa kwa mfumo wa kidikteta ulioasisiwa na kudumishwa na TANU/CCM unaompa mtu mmoja “absolute power” ya kuendesha nchi kwa utashi wake. Mtu mmoja ana madaraka yote ya kutumia rasilimali za umma anavyotaka; kukiuka katiba na sheria anavyojisikia; kugawa vyeo, fursa, na adhabu kwa mtindo wa “patronage”, “cronyism” na “subjugation”. Ni dhahama kubwa.

Na yote hii ni kwa sababu kuna “wasomi” wengi wanaootea “kutoboa” kwa fadhila za “Mheshimiwa Rais”. Tunahitaji Rais ambaye ajenda yake kuu itakuwa marekebisho makubwa ya katiba na uendeshaji nchi.
 
Kupatanishwa na Lissu? Huyu mtu anayeuza nchi mchana kweupe? Labda kama kanisa halina kazi za kufanya.
kupatanishwa na Lisu ni kidunia tu je vip kesho kwa Mungu?
kumbuka Dunia ni mapito.
 
Ni jambo lililo wazi kwamba hawa watu wawili wana mengi yanayofanana na kukinzana.

Wote ni public figures na wanasiasa tofauti ni kwamba mmoja ni rais wa nchi na mwingine ni mwanasiasa anayependwa sana kwa sasa.

Wote hawa ni Wakatoliki wazuri sana na wanaoijua imani yao vema.

Kwasababu ambazo sioni haja ya kuzieleza hapa, hawa wote wana tofauti kubwa hasa kwa mambo yalivyokuwa kwa kipindi cha miaka mitatu nyuma mpaka sasa.

Swali langu kwa kanisa Katoliki:
Je, halioni umuhimu wa kuwapatanisha Hawa waumini wake wawili? Je kanisa linafurahishwa na Hali iliyopo kwa sasa baina ya wawili hawa?

Nini mchango wa kanisa katika kubeba hisia za Lissu na kumtuliza? Na ni nini mchango wa kanisa katika kumpa Mh Rais Magufuli tulizo la moyo linalotokana na cheche za Lissu?

Mwisho wa siku sisi ni Watanzania.

Usiku mwema.

Mwenye makosa ni mmoja tu aliyetaka kuchukuwa roho ya mwenzake wakati yeye sio Mungu
 
Ni jambo lililo wazi kwamba hawa watu wawili wana mengi yanayofanana na kukinzana.

Wote ni public figures na wanasiasa tofauti ni kwamba mmoja ni rais wa nchi na mwingine ni mwanasiasa anayependwa sana kwa sasa.

Wote hawa ni Wakatoliki wazuri sana na wanaoijua imani yao vema.

Kwasababu ambazo sioni haja ya kuzieleza hapa, hawa wote wana tofauti kubwa hasa kwa mambo yalivyokuwa kwa kipindi cha miaka mitatu nyuma mpaka sasa.

Swali langu kwa kanisa Katoliki:
Je, halioni umuhimu wa kuwapatanisha Hawa waumini wake wawili? Je kanisa linafurahishwa na Hali iliyopo kwa sasa baina ya wawili hawa?

Nini mchango wa kanisa katika kubeba hisia za Lissu na kumtuliza? Na ni nini mchango wa kanisa katika kumpa Mh Rais Magufuli tulizo la moyo linalotokana na cheche za Lissu?

Mwisho wa siku sisi ni Watanzania.

Usiku mwema.
Unapatanisha watu wawili wanaogombana, huwezi kupatanisha watu wawili ambapo mmoja anatafuta ugomvi na mwingine yuko kimya.
 
Mwenye makosa ni mmoja tu aliyetaka kuchukuwa roho ya mwenzake wakati yeye sio Mungu
Una ushahidi? Hiz ndizo theory za Lissu na CHADEMA ambazo zinaleta friction isiyokuwa ya lazima. Aliposhambukliwa tu wakaingiza siasa, na hivyo kulifanya tukio lote liwe la kisiasa; eti kwa vile kamera zilizimwa basi ilikuwa ni maagizo ya Magufuli, wakati kila mara kamera zile zilikuwa zinazimika kwa kuwa hazikuwa na uwezo wa kufanya kazi 24/7. Hata kumtibu likawa ni jambo la kichama tu. Hiyo inaweza kuwa strategy nzuri ya kusentionalize wafuasi kisiasa, lakini inaweza isitatue tatizo lenyewe kwani wale mahasidi wake bado wataende;lea kuwapo na huenda bado wanamtafuta na inawezekana pia hawana uhusiano kabisa na serikali. Hapo inakuwa ni mwazno wa machafuko yasiokuwa na tija nchini. Hata Mbowe alipoteleza kwenye ngazi akiwa amelewa akatenguka mguu naye alianza kwa kutangaza kuwa alishambuliwa na watu "wasiojulikana" mpaka alipoumbuliwa ndipo akanyamaza.

Kuna kachero mmoja Evaristi Chahali alichambua tukio lile vizuri sana na kunifanya niambini kuwa maadui wa Lissu walikuwa ni watu wasiokuwa na uhusiano na serikali kwa sababu za kiufundi wa kikachero kama alivyozitoa. Chahali alikuwa mmoja wa makachero wa Tanzania waliobobea sana kabla ya kuhamia uskochi.
 
Ni jambo lililo wazi kwamba hawa watu wawili wana mengi yanayofanana na kukinzana.

Wote ni public figures na wanasiasa tofauti ni kwamba mmoja ni rais wa nchi na mwingine ni mwanasiasa anayependwa sana kwa sasa.

Wote hawa ni Wakatoliki wazuri sana na wanaoijua imani yao vema.

Kwasababu ambazo sioni haja ya kuzieleza hapa, hawa wote wana tofauti kubwa hasa kwa mambo yalivyokuwa kwa kipindi cha miaka mitatu nyuma mpaka sasa.

Swali langu kwa kanisa Katoliki:
Je, halioni umuhimu wa kuwapatanisha Hawa waumini wake wawili? Je kanisa linafurahishwa na Hali iliyopo kwa sasa baina ya wawili hawa?

Nini mchango wa kanisa katika kubeba hisia za Lissu na kumtuliza? Na ni nini mchango wa kanisa katika kumpa Mh Rais Magufuli tulizo la moyo linalotokana na cheche za Lissu?

Mwisho wa siku sisi ni Watanzania.

Usiku mwema.
Hili nalo ni jambo njema
 
Una ushahidi? Hiz ndizo theory za Lissu na CHADEMA ambazo zinaleta friction isiyokuwa ya lazima. Aliposhambukliwa tu wakaingiza siasa, na hivyo kulifanya tukio lote liwe la kisiasa; eti kwa vile kamera zilizimwa basi ilikuwa ni maagizo ya Magufuli, wakati kila mara kamera zile zilikuwa zinazimika kwa kuwa hazikuwa na uwezo wa kufanya kazi 24/7. Hata kumtibu likawa ni jambo la kichama tu. Hiyo inaweza kuwa strategy nzuri ya kusentionalize wafuasi kisiasa, lakini inaweza isitatue tatizo lenyewe kwani wale mahasidi wake bado wataende;lea kuwapo na huenda bado wanamtafuta na inawezekana pia hawana uhusiano kabisa na serikali. Hapo inakuwa ni mwazno wa machafuko yasiokuwa na tija nchini. Hata Mbowe alipoteleza kwenye ngazi akiwa amelewa akatenguka mguu naye alianza kwa kutangaza kuwa alishambuliwa na watu "wasiojulikana" mpaka alipoumbuliwa ndipo akanyamaza.

Kuna kachero mmoja Evaristi Chahali alichambua tukio lile vizuri sana na kunifanya niambini kuwa maadui wa Lissu walikuwa ni watu wasiokuwa na uhusiano na serikali kwa sababu za kiufundi wa kikachero kama alivyozitoa. Chahali alikuwa mmoja wa makachero wa Tanzania waliobobea sana kabla ya kuhamia uskochi.
roma mkatoliki, mo dewj, ben saanane, azori, nondo, kanguye...kwa uchache sana.
 
Back
Top Bottom