Kuchakuro Ps
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 441
- 516
Naona wewe ulinyimwa upadre.
Unalisema Kanisa Katoliki hilihili lililo simamia utekeleza mauaji ya Kimbari ya huko Rwanda 1994? Au unasema Katoliki ipi? Hilihili la akina Pengo na Methodius Kilaini? Linaloshindwa kukemea viongozi wa kisiasa kwa mambo wanayoyafanya yasiyokuwa mema machoni pa binadamu?
Unalisemea Katoliki hili ambalo wazazi wkitenda kosa linamgharimu na mtoto au mtoto akitenda kosa linagharimu na wazazi?
Hivi ni hii Katoliki yetu ambayo usipolipa michango ya jumuia hupewi huduma ya Kanisa? Unalisema hili ambalo ibada ya marehemu tajiri anaenda Padri/Askofu na kwa maskini wanaenda Makatekista?
Au sijakusikia vizuri uongeze sauti mkuu.