Uchaguzi 2020 Rais Magufuli na Tundu Lissu wote ni Wakatoliki wazuri. Je, Kanisa halioni umuhimu wa kuwapatanisha?

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli na Tundu Lissu wote ni Wakatoliki wazuri. Je, Kanisa halioni umuhimu wa kuwapatanisha?

Kweli kabisa.
Kanisa lina mapsychotherapists wazuri saana.
Lissu kapona physically tu, lakini psychologically amechanganyikiwa kabisa.
 
Kama ambavyo amefanya ubinafsi wa hali ya juu, kwa kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa katika kijiji chake cha Chatoooo!
watakuambia ni mzalendo mzalendo uanza kwa wengine kwanza
 
Hakuna tatizo la kupelekea kanisa kuingilia ili kuwapatanisha. Tatizo ni ninyi hamjawahi kushuhudia siasa.
Angekuw hai mzee Benjamin Mkapa ungemuuliza akwambie shughuli aliyokua anaipata kutoka kwa akina Lyatonga Mrema.
 
Mkatoliki yeyote wa ukweli huwa na jina la mtakatifu . Magufuli jina lake John anatumia jina la mtakatifu John mbatizaji

Katik historia ya ukatoliki hakuna mtakatifu mwenye jina la Tundu
Tundu Lisu Ni mpagani mwenye jina la kipagani la kwanza la Tundu angekuwa mkatoliki angetumia jina la mtakatifu

Huwezi patanisha mpagani Tundu na mtakatifu John
 
Tatizo mmoja ni anayewatesa viongozi wa dini kimyakimya wakiwemo wa dhehebu lake, kumbuka kuwaambia viongozi wetu wa dini wakathibitishe uraia wao kisa kumkosoa kuhusu katiba mpya.Lissu anaaminika zaidi kwa maneno na matendo kuliko jpm.
 
Tatizo mmoja ni anayewatesa viongozi wa dini kimyakimya wakiwemo wa dhehebu lake, kumbuka kuwaambia viongozi wetu wa dini wakathibitishe uraia wao kisa kumkosoa kuhusu katiba mpya.Lissu anaaminika zaidi kwa maneno na matendo kuliko jpm.
Sure
 
Natamani siku moja niwaone wawili hawa wakikumbatiana kwa tabasamu pana lenye bashasha hakika itakuwa ni ushindi kwa taifa letu.

Amani iwe kwako Mh Rais Magufuli
Amani iwenkwako Mh Tundu Lissu
Amani iwe kwa wana CCM wote
Amani iwe kwa wana Chadema wote
Amani iwe kwa Watanzania wote
Na kura ziwe kwa TAL
 
Superbug,

Hii ni nchi ya wote na ndicho Tundu Lissu anasema tena na tena na siyo suala la watu wawili yaani Magufuli vs. Lissu.

CCM Mpya mmevurugwa mawazo kiasi cha kutaka kuitoa nchi mmliyoikabidhi kwa mtu mmoja na sasa mawazo yenu mnataka kujenga nadharia anayoikataa Tundu Lissu kuwa nchi hii haiwezi kukabidhiwa kwa mtu mmoja au genge la watu wachache mfano maaskofu au masheikh n.k. kutupa muelekeo.

Muelekeo wenye afya njema kwa nvhi tutaupata kwa kupitia demokrasia pana ya kijamii kupitia vyama vingi, watawala kuwa wasikivu, bunge huru n.k

Tundu Lissu na waTanzania wengi wanapenda ushirikishwaji mpana wa wananchi katika kuamua mustakabali wa nchi yao.

Ushirikishwaji huo unaanzia mfano Halmashauri ya Chama NEC CCM, Kamati Kuu, iwe na uwezo wa kumdhibiti mgombea rais wao akiwa amepewa mamlaka ya kiuongozi.

Nchi kuwa na Bunge la kuiwajibisha serikali na Mahakama kuwa huru kutafsiri sheria bila kuingiliwa na dola/ serikali kuu, huo ndio msimamo wa Tundu Lissu, CHADEMA na watu-huru waTanzania na siyo mustakabali wa nchi "umilikishwe" kwa mtu au watu wawili au kikundi cha watu au chama kimoja.

WaTanzania wa 2020 wanaenda kukataa kurudisha ile dhana iliyopo ambayo ni ukweli kuwa sasa wamekuwa 'mateka tangu 2015' kwa vile wamepiga kura kumkabidhi mtu ofisi ya Urais.

WaTanzania wanataka uhuru Na kazi, Uhuru Na Maendeleo, Uhuru Na umoja na pia haki ya mlipa-kodi kutoa mapendekezo kodi yao itumike vipi na siyo kumkabidhi mtu mmoja aamue kutumia pesa za walipa kodi itakavyompendeza kama ilivyo sasa.
Beautiful
 
Natamani siku moja niwaone wawili hawa wakikumbatiana kwa tabasamu pana lenye bashasha hakika itakuwa ni ushindi kwa taifa letu.

Amani iwe kwako Mh Rais Magufuli
Amani iwenkwako Mh Tundu Lissu
Amani iwe kwa wana CCM wote
Amani iwe kwa wana Chadema wote
Amani iwe kwa Watanzania wote
Kardinali Pengo ndio amelinajis Kanisa Katoliki alipoutangazia umma kuwa Wakatoliki wote hawampendi Lissu na wanampenda Magufuli. Wala hakuzungumza lolote hata Lissu aliposhambuliwa. Yeye alichukua jembe na kuipalilia chuki kwa mapenzi yake kwa ccm zaidi na rais wake.
 
Mkatoliki yeyote wa ukweli huwa na jina la mtakatifu . Magufuli jina lake John anatumia jina la mtakatifu John mbatizaji

Katik historia ya ukatoliki hakuna mtakatifu mwenye jina la Tundu
Tundu Lisu Ni mpagani mwenye jina la kipagani la kwanza la Tundu angekuwa mkatoliki angetumia jina la mtakatifu

Huwezi patanisha mpagani Tundu na mtakatifu John
Mtakatifu bila kufanya utakatifu jina haliwezi saidia
 
Natamani siku moja niwaone wawili hawa wakikumbatiana kwa tabasamu pana lenye bashasha hakika itakuwa ni ushindi kwa taifa letu.

Amani iwe kwako Mh Rais Magufuli
Amani iwenkwako Mh Tundu Lissu
Amani iwe kwa wana CCM wote
Amani iwe kwa wana Chadema wote
Amani iwe kwa Watanzania wote
Magufuli hayupo tayari kukaa meza moja Tundu Lisu kwa sababu hajazoea kukaa karibu na watu wanaoweza kumkosoa waziwazi
 
Hakuna tatizo la kupelekea kanisa kuingilia ili kuwapatanisha. Tatizo ni ninyi hamjawahi kushuhudia siasa.
Angekuw hai mzee Benjamin Mkapa ungemuuliza akwambie shughuli aliyokua anaipata kutoka kwa akina Lyatonga Mrema.
Mrema alikua habari ingine by that time hakuna social media hakuna coverage kubwa ya radio ila akifika ndo unajua kuna watu kweli kila kitu ni enzi
 
Back
Top Bottom