Uchaguzi 2020 Rais Magufuli ndiyo anaibuka kuwa atawaongezea mishahara wafanyakazi. Tunamwambia kuwa hatudanganyiki ng'oo

Duh Mkuu! hautaki aulize swali la nyongeza hahahahah,
 
Kwani CDM ni chama cha kisilam au imekuwaje sijajua. Nilifikiri Shekh kazi yake kuomba dua za mkutano kumbe kuzurura na mgombea wenu okay sawa tutakutana 28/10/2020 uchaguzi kati ya waislam na CCM.
 
Kwani CDM ni chama cha kisilam au imekuwaje sijajua. Nilifikiri Shekh kazi yake kuomba dua za mkutano kumbe kuzurura na mgombea wenu okay sawa tutakutana 28/10/2020 uchaguzi kati ya waislam na CCM.
Hilo swali ungewauliza CCM na Mashehe Ubwabwa wao hususan huyo Shekhe aliyezowea Liwati dhidi ya Wake za watu huyo Shehe wa Makonda na Mufti wa CCM laana ya Mungu iwe juu yake

CCM imekuwa ndio kinara cha kucheza na dini

CCM imekuwa ikiwapiga Mashekhe makini wapenda Haki wa huko Pemba bila ya sababu

Askofu Mwamakula amekemea mchezo wa CCM dhidi ya Mashekhe wanaojitambua.
 
Rais Magufuli ni genius.
Usidanganye kwamba anasema leo, labda Kama mnataka kufurahishana BAVICHA. Siku kuunga May Day Kilimanjaro alitamka wazi bila unafiki, " Siwaongezei mishahara, lakini kabla ya vipindi vyangu vya urais kuisha nitaongeza mishahara".

Na alikuwa wazi kutotaka kuongeza mishahara kisanii bali akiongeza mishahara ataongeza kwelikweli.

Nchi ilikuwa inakusanya billion 800, mishahara inakula billion 600-700! Alafu bado unataka kuongeza mishahara! Muwadanganye wasiojielewa. Angewekeza kuongeza 20,000.00 au 30,000.00 Kama ilivyokuwa siku za nyuma alafu akaja sifa imeongezeka mishahara!

Magufuli kaongeza makusanyo ya kodi. Kawekeza kwenye kuboresha huduma kwa wote hivyo kupunguza gharama za maisha. Kawekeza kwenye uzalishaji na hivyo kuwa na uhakika wa ongezeko kubwa zaidi la kipato, na ndipo afikirie kuongeza mishahara.

Kumbukeni Rais ni wa watanzania milioni 60 na siyo wafanyakazi laki 6. Kumlaumu Rais anayetumia keki ya taifa kwa manufaa ya watanzania milioni 60 badala ya laki 6 tu ni upunguani!
 
Niache kujenga reli na kununua treni halaf niwaongezee mshahara?sahauni hiro
 
Lazima itakuwa mchawi wewe si bure!
 
Magufuli akiahidi, hutekeleza. Hakuwahi kuahidi kabla ya jana.
 
Huo Mshahara hata Kama angeongeza Leo Mara mbili ya ule mshahara WA awali bado Ningemtumbua tuu tarehe 28/10/2020.Tunataka HAKI mshahara kuongezwa ni haki ya mfanyanyakazi sio hisani ya Mtu.

Yeye na familia yake wanakula, kulala kuvaa ,kusafiri Buree Kupitia KODI zetu hajui shida za wafanyakazi wanavyo teseka. Asubirie kunyoshwa tuu Mahamba Sana huyu Jama.
 
Kaweke kura yako kwa Mbeligiji lakini mshindi JPM. Mtaelewa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…