Uchaguzi 2020 Rais Magufuli ndiyo anaibuka kuwa atawaongezea mishahara wafanyakazi. Tunamwambia kuwa hatudanganyiki ng'oo

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli ndiyo anaibuka kuwa atawaongezea mishahara wafanyakazi. Tunamwambia kuwa hatudanganyiki ng'oo

Nilimsikia Rais Magufuli, katika mkutano wake wa kampeni hapo Jana, huko Bagamoyo mkoani Pwani, akiwaahidi wafanyakazi kuwa atawaongeza mishahara yao wafanyakazi hao, iwapo watamchagua tena katika uchaguzi mkuu ujao!

Hivi si ndiyo huyu huyu Rais Magufuli amekuwa akigoma katakata kuongeza mishahara ya wafanyakazi, kila amapoonbwa na viongozi wa vyama vya wafanyakazi kutokana na kupanda kwa hali ya maisha kwa wafanyakazi hao, katika kila sherehe za Mei Mosi, kila mwaka tokea aiingie madarakani mwaka 2015, akidai kuwa hawezi kuongeza mishahara wafanyakazi, kwa kuwa katika kipindi hiki anajenga miundo mbinu mikubwa ya reli ya SGR na bwawa la umeme la Stieglers Gorge?

Wakati Rais Magufuli amekuwa akigoma katakata kuongeza mishahara ya wafanyakazi kwa sababu hizo zisizokuwa na mashiko hata kidogo, marais wenzake wote waliomtangulia walikuwa wakiwaongeza mishahara yao wafanyakazi, pamoja na marais hao pia walikuwa wakiendelea kujenga miundo mbalimbali hapa nchini

Hivi Rais Magufuli kutoa ahadi hiyo wakati huu wa kampeni, anatugeuza sisi wafanyakazi wa nchi hii ni wajinga mno na tunaoweza kudanganyika kirahisi hivyo?

Sisi wafanyakazi wa nchi hii, hatudanganyiki tena na Rais Magufuli na tuna jambo letu ambalo tutalitimiza ifikapo Oktoba 28 mwaka huu kwenye sanduku la kura kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Mkuu umerudi lini? Kwa maana CCM ilishasema wazi kuwa kwa hila na makusudi ya wafanyakazi haihitaji kura zao toka enzi ya JK
 
Nilimsikia Rais Magufuli, katika mkutano wake wa kampeni hapo Jana, huko Bagamoyo mkoani Pwani, akiwaahidi wafanyakazi kuwa atawaongeza mishahara yao wafanyakazi hao, iwapo watamchagua tena katika uchaguzi mkuu ujao!

Hivi si ndiyo huyu huyu Rais Magufuli amekuwa akigoma katakata kuongeza mishahara ya wafanyakazi, kila amapoonbwa na viongozi wa vyama vya wafanyakazi kutokana na kupanda kwa hali ya maisha kwa wafanyakazi hao, katika kila sherehe za Mei Mosi, kila mwaka tokea aiingie madarakani mwaka 2015, akidai kuwa hawezi kuongeza mishahara wafanyakazi, kwa kuwa katika kipindi hiki anajenga miundo mbinu mikubwa ya reli ya SGR na bwawa la umeme la Stieglers Gorge?

Wakati Rais Magufuli amekuwa akigoma katakata kuongeza mishahara ya wafanyakazi kwa sababu hizo zisizokuwa na mashiko hata kidogo, marais wenzake wote waliomtangulia walikuwa wakiwaongeza mishahara yao wafanyakazi, pamoja na marais hao pia walikuwa wakiendelea kujenga miundo mbalimbali hapa nchini

Hivi Rais Magufuli kutoa ahadi hiyo wakati huu wa kampeni, anatugeuza sisi wafanyakazi wa nchi hii ni wajinga mno na tunaoweza kudanganyika kirahisi hivyo?

Sisi wafanyakazi wa nchi hii, hatudanganyiki tena na Rais Magufuli na tuna jambo letu ambalo tutalitimiza ifikapo Oktoba 28 mwaka huu kwenye sanduku la kura kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Meko anaropoka tu hali yake ni mbaya sana,kesho anakuja kaskazini sijui kuuza sura.alishasema hapeleki maendeleo kaskazini sasa sijui kaja kuomba kura za nini...kura zikilindwa ccm hawatoboi majimbo ya kaskazini labda simanjiro na kiteto
 
Mtakoma mwaka huu. Miaka 5 yote mlikuwa wapi? Why now?
Hao maccm walidhani kuwa mwaka 2020 hautafika kamwe!

Ndiyo maana hivi sasa umefika, wanahaha huku na kule na kutafuta kila aina ya uwongo wa kutudanganya watanzania, wakidhani kuwa ndiyo tutadanganyika kirahisi...........

Safari hii tushasema kuwa hatudanganyiki tena na tayari tushavinoa vinoleo vyetu, tayari kwa kazi ya tarehe 28/10/2020
 
Kama Magufuli ameacha uwongo wa kuwadanganya watumishi wa umma hakutakiwa kuwadanganya tena kwa kutoa ahadi ya uwongo kwa watumishi wa umma ili wampigie kura.

Bali alitakiwa afanye kwa vitendo, watumishi wa umma wakiamka wakute akaunti zao zimetuna,kwa kuwa uwezo huo anao na siyo kuendelea kuwadanganya watumishi wa umma kipindi cha uchaguzi ili apate kura zao.
 
Ndugu yangu kumbuka sheria ni msumeno inakata mbele na nyuma. Ukiwa mfanyakazi unalindwa na sheria sawa lakini ni lazima pia mfanyakazi ati sheria za kazi. Mfano uwajibikaji, kutokupokea rushwa, vyeti feki, wizi hizi zote zinamuondolea kinga. Nchi kabla Magufuri hajaingia madarakani wenyenchi yao ambao ni wapiga kura walikuwa na malalamiko Kila kona yanayohusu rushwa, kuzalauliwa na hao watumishi wa uma. Kucheleweshewa kwa makusudi kwajili ya urasim. Kwakifupi walikuwa watumishi wengi wezembe walirudisha nyuma uchumi wa nchi wakati huohuo wao wanaendelea kudai maslai haki. Au umejisaulisha ndugu yangu, nasema uongo ndugu yangu. Ilikuwa imefika wakati ukitaka kumuandikisha mtoto darasa la kwanza mwalimu anakuomba pesa la sivyo atakwambia nafasi zimejaa. Sasa jemedali wetu mtetezi wawanyonge JPM ameingia kaweka mambo sawa tunampa mitano mingine ili kazi iendelee.
Shule mnaenda kusomea ujinga??????
 
Nilimsikia Rais Magufuli, katika mkutano wake wa kampeni hapo Jana, huko Bagamoyo mkoani Pwani, akiwaahidi wafanyakazi kuwa atawaongeza mishahara yao wafanyakazi hao, iwapo watamchagua tena katika uchaguzi mkuu ujao!

Hivi si ndiyo huyu huyu Rais Magufuli amekuwa akigoma katakata kuongeza mishahara ya wafanyakazi, kila amapoonbwa na viongozi wa vyama vya wafanyakazi kutokana na kupanda kwa hali ya maisha kwa wafanyakazi hao, katika kila sherehe za Mei Mosi, kila mwaka tokea aiingie madarakani mwaka 2015, akidai kuwa hawezi kuongeza mishahara wafanyakazi, kwa kuwa katika kipindi hiki anajenga miundo mbinu mikubwa ya reli ya SGR na bwawa la umeme la Stieglers Gorge?

Wakati Rais Magufuli amekuwa akigoma katakata kuongeza mishahara ya wafanyakazi kwa sababu hizo zisizokuwa na mashiko hata kidogo, marais wenzake wote waliomtangulia walikuwa wakiwaongeza mishahara yao wafanyakazi, pamoja na marais hao pia walikuwa wakiendelea kujenga miundo mbalimbali hapa nchini

Hivi Rais Magufuli kutoa ahadi hiyo wakati huu wa kampeni, anatugeuza sisi wafanyakazi wa nchi hii ni wajinga mno na tunaoweza kudanganyika kirahisi hivyo?

Sisi wafanyakazi wa nchi hii, hatudanganyiki tena na Rais Magufuli na tuna jambo letu ambalo tutalitimiza ifikapo Oktoba 28 mwaka huu kwenye sanduku la kura kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Anadhani sisi watoto wa kutudanganya?
 
Tena alikuwa akijibu hoja na vitisho juu

Yeye alidhani kuwa mwaka wa uchaguzi hautafika milele!

Sikiliza hii:
Tumpumzishe mtu huyu wiki ijayo.

Huyu Magufuli ni mwongo na mnafiki haijawai tokea. Sikiliza hii:
Kuondoa FAO la kujitoa Ni ugomvi mkubwa na Wafanyakazi private sekta.

Mwaka 2018 Magufuli na CCM walifuta FAO la kujitoa bila kujali maoni ya TUCTA.

Wafanyakazi sekta binafsi walilalamika, CCM NA MAGUFULI hawakujali.

NSSF wanalipa 33% ya mshahara wa Mwezi na watu hawajui Ni Lini watapata Pesa zao.

Watu wote wanastahili fao la kujitoa.

Wale MATAGA wanaitetea CCM hawaonekani kwenye Uzi huu.

Sikiliza kauli yake hapa:

 
Sema wewe. Mimi na wafanyakazi wenzangu ninaowafahamu na tulio wengi tutampa kura yetu maana tunajua kinachofanyika katika nchi yetu. Hatupo kwa wakati huu kwa ajili ya matumbo yetu tu. Tunatambua maendeleo yaliyopo sasa ikilinganishwa ni awamu zilizopita zilizokuwa zinarundikia mapato ya taifa kwa manufaa ya matumbo yao tu.
Alisema akipandisha Mshahara italeta mfumuko wa bei,kwa hio sasa hivi akiongeza haitaleta inflation sio?
 
Nilimsikia Rais Magufuli, katika mkutano wake wa kampeni hapo Jana, huko Bagamoyo mkoani Pwani, akiwaahidi wafanyakazi kuwa atawaongeza mishahara yao wafanyakazi hao, iwapo watamchagua tena katika uchaguzi mkuu ujao!

Hivi si ndiyo huyu huyu Rais Magufuli amekuwa akigoma katakata kuongeza mishahara ya wafanyakazi, kila amapoonbwa na viongozi wa vyama vya wafanyakazi kutokana na kupanda kwa hali ya maisha kwa wafanyakazi hao, katika kila sherehe za Mei Mosi, kila mwaka tokea aiingie madarakani mwaka 2015, akidai kuwa hawezi kuongeza mishahara wafanyakazi, kwa kuwa katika kipindi hiki anajenga miundo mbinu mikubwa ya reli ya SGR na bwawa la umeme la Stieglers Gorge?

Wakati Rais Magufuli amekuwa akigoma katakata kuongeza mishahara ya wafanyakazi kwa sababu hizo zisizokuwa na mashiko hata kidogo, marais wenzake wote waliomtangulia walikuwa wakiwaongeza mishahara yao wafanyakazi, pamoja na marais hao pia walikuwa wakiendelea kujenga miundo mbalimbali hapa nchini

Hivi Rais Magufuli kutoa ahadi hiyo wakati huu wa kampeni, anatugeuza sisi wafanyakazi wa nchi hii ni wajinga mno na tunaoweza kudanganyika kirahisi hivyo?

Sisi wafanyakazi wa nchi hii, hatudanganyiki tena na Rais Magufuli na tuna jambo letu ambalo tutalitimiza ifikapo Oktoba 28 mwaka huu kwenye sanduku la kura kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Wafanyakazi msikubali kudanganywa na huyo mtu muongo sana. Akipata atasema hataongeza hadi miradi iishe hivyo wafanyakazi kuendelea kuumia. Ameona uwezekano wa kushinda ni mdogo sasa anawadanganya tena.MSIKUBALI KUMPA KURA ZENU.
 
Nilimsikia Rais Magufuli, katika mkutano wake wa kampeni hapo Jana, huko Bagamoyo mkoani Pwani, akiwaahidi wafanyakazi kuwa atawaongeza mishahara yao wafanyakazi hao, iwapo watamchagua tena katika uchaguzi mkuu ujao!

Hivi si ndiyo huyu huyu Rais Magufuli amekuwa akigoma katakata kuongeza mishahara ya wafanyakazi, kila amapoonbwa na viongozi wa vyama vya wafanyakazi kutokana na kupanda kwa hali ya maisha kwa wafanyakazi hao, katika kila sherehe za Mei Mosi, kila mwaka tokea aiingie madarakani mwaka 2015, akidai kuwa hawezi kuongeza mishahara wafanyakazi, kwa kuwa katika kipindi hiki anajenga miundo mbinu mikubwa ya reli ya SGR na bwawa la umeme la Stieglers Gorge?

Wakati Rais Magufuli amekuwa akigoma katakata kuongeza mishahara ya wafanyakazi kwa sababu hizo zisizokuwa na mashiko hata kidogo, marais wenzake wote waliomtangulia walikuwa wakiwaongeza mishahara yao wafanyakazi, pamoja na marais hao pia walikuwa wakiendelea kujenga miundo mbalimbali hapa nchini

Hivi Rais Magufuli kutoa ahadi hiyo wakati huu wa kampeni, anatugeuza sisi wafanyakazi wa nchi hii ni wajinga mno na tunaoweza kudanganyika kirahisi hivyo?

Sisi wafanyakazi wa nchi hii, hatudanganyiki tena na Rais Magufuli na tuna jambo letu ambalo tutalitimiza ifikapo Oktoba 28 mwaka huu kwenye sanduku la kura kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Hali gani ya maisha iliyopanda mpunga 40,000/= mahindi 30,000/= na mfumuko wa bei 3.4 na wengine wakiwa jukwaani wanaongea wazi mazao ya wakulima bei ni ndogo au unasemea vitu gani vilivyopanda maana hata cement huku nilipo bado 16,500/= sio kubwa kivile.
Kulipa mishahara sio mchezo unawafanyakazi wa umma 1m kati ya wananchi 60m unakusanya 1.5t na ukumbuke hapo aliingia kakuta bilion 850 tu zinazokusanywa kwa mwezi ndio sababu hata mishahara ilikuwa inakopwa ,utawezaje kuongeza mishahara hata kama wewe ndio Rais .Kwahiyo hao wafanyakazi 1m watakula nusu ya makusanyo TRA kinachofata miradi haiendi mtakuja kutukana kuwa wameamua kujinufaisha wao kuweka mamishahara makubwa ili hali sisi wa Tanzania wengi tuna hali duni nyie hamnaga shukrani kabisa kuliona hilo Mshemiwa alijipunguzia mshahara na yeye .

Watumishi 1m kwa watu 59m hawawezi kuwa Grisi ya vyuma kukaza huo ni uongo mkubwa .
Tanzania na Magufuli ni Salama ,Chagua Magufuli Kazi Iendelee*Mitano Tena*
 
Back
Top Bottom