Elythrobacter
Member
- Sep 29, 2020
- 47
- 94
Umeandika mambo mazito sana, ila hujayapangilia vizuri, kwa kuanza point, maelezo mwisho mfano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa wana lao wanalolitafuta nje ya ushauri wake, fikra na maono yake kwamba angefupisha kwa aya 2-3 asingeonekana katika fikra za mshuriwa.Mbona umerudia rudia sana? Aya 2/3 zingetosha, ...
Ujumbe wako ni wa kufikirisha sana ,sijui kama wahusika watakuwa na muda ya kusoma na kuelewa ujumbe huu!!Wachina wanakuja na kuanzisha shuhuri za kiuchumi ambazo vijana wetu wanaziweza lakini hawana mtaji halafu tunalalamika kuwa vijana wetu hawana ajira! Mfano ni haya magarage ya magari yanayomilikiwa na machina lakini wanaajiri vijana wetu ambao ndio wanafanya kazi zote kwa ujira kiduchu! Hawa machina wanapata fedha nyingi kutokana na kazi hizo na fedha yote inakwenda China kwani serikali yao inawapa mikopo kuja kuchuma huku; kwanini tunawapa vibali wageni kwa shuhuri ambazo sisi tunaziweza kwa kuwawezesha vijana wetu toka NIT wakazifanya? Mipango yetu ni mibaya hasa kwenye Elimu tunayotoa haiendani na matakwa ya jamii!!ikitisha
Dogo usitarijie vijana wa Lumumba wakusupport hata kdg, pia huwa wanasoma vipandevipande lkn wasamehe bure ndio upeo wao ulipokomea!
Kwa kifupi tunasema "UKOLONI MAMBOLEO".
Yani huwezi sema sisi ni dona kantri kwa kutegemea mapato ya ndani tuu. Ni ngumu sana.
Ukitaka uendelee inabidi uwe libepari kwelikweli.
Unforgetable
na aisome Mh.JpM
Kijana umeandika vizuri, umri ukiongezeka utakuwa na mawazo mazuri zaidi. Kongole.
Una point lakini unalalamika sana hujengi hoja ikajitokezA umetumia neno HUWEZI zaidi ya mara 20 kwenye andiko lako.
Umeandika mambo mazito sana, ila hujayapangilia vizuri, kwa kuanza point, maelezo mwisho mfano.
Kabla ya hamjafikiria kutumikusha raia wa nchi nyingine sijui ili mpige hatua kimaendeleo.Wewe ndio ukasome tena.
Wapi hujaelewa?
Hakuna taifa linaloendelea dunia kwa kutegemea watu wake wa ndani pekee, wapi hujaelewa wewe?
Hata wewe binafsi, fanya kazi ufanyavyo kwa bidii zote, huwezi kuwa tajiri kwa kujitumikisha mwenyewe, lazima utumikishe wengine. Bado hujanielewa na hapa
Si kweli china imeendelea kwa kutumikisha wananchi wake mpaka leo hii. Hata wewe unaweza kuendelea ukijitumikisha wewe mwenyewe kufanya kazi yako ya kujiajiri kisha kuwauzia watu wenye uhutaji na bidhaa zako. Ulikuwa hujuwi hili?Wewe ndio ukasome tena.
Wapi hujaelewa?
Hakuna taifa linaloendelea dunia kwa kutegemea watu wake wa ndani pekee, wapi hujaelewa wewe?
Hata wewe binafsi, fanya kazi ufanyavyo kwa bidii zote, huwezi kuwa tajiri kwa kujitumikisha mwenyewe, lazima utumikishe wengine. Bado hujanielewa na hapa
Zipo njia nyingi za kutumikisha taifa jingineKweli wewe bado mtoto mdogo. Ujeruman, China na Korea Kaskazini ziko hapo zilipo kwa juhudi za watu kufanya kazi kwa bidii.
Mao aliwachimbisha wachina visima vya mafuta hila ya mitambo.
Hitler aliwakusanya wasomi na kuwaweka kambini kisha kuwaamuru watengeneze mitambo ama mifumo kulingana na taaluma zao.
Kasome tena kisha urudi hapa.