Rais Magufuli nisikilize kwa makini, Sitaki upoteze muda bure

Rais Magufuli nisikilize kwa makini, Sitaki upoteze muda bure

Umetumia muda mwiiingi kuandika lakini msingi wa ushauri wako unajipinga wenyewe!!

Lazima mtu anapotaka kujitegemea ni sharti afanye kazi na baada ya zile kazi kuleta matunda, mwenyewe tu bila kuambiwa na mtu ataweka watu wa kusaidia ili azidi kuimarika na kujiletea utajiri

Kwa akili nyingine ambayo nilitaka nielewe ingawa hata hukikisema, ni Tanzania na Jeshi lake waende Tu kwenye ki nchi tukakikalie na kuchukua Mali huko ili tutajirike kama zifanyavyo nchi zenye nguvu
Tunaweza kuanza na nchi za Kenya, south sudan na India watutegemee sisi kwa chakula. India watutegemee kwa mbaazi
 
Zanzimana IQ yake ni too low to understand what you wrote , Hana anachojua , ni hamna kitu kabisaaa ,Hana anachoelewa huyo waliomsukumiza wamempa kazi Sana Mzee wa marijuana sativa .
 
Wewe ndio ukasome tena.

Wapi hujaelewa?
Hakuna taifa linaloendelea dunia kwa kutegemea watu wake wa ndani pekee, wapi hujaelewa wewe?

Hata wewe binafsi, fanya kazi ufanyavyo kwa bidii zote, huwezi kuwa tajiri kwa kujitumikisha mwenyewe, lazima utumikishe wengine. Bado hujanielewa na hapa

Hajakuelewa huyu ndugu Sexless..

Ukweli ndiyo huo...

Mfano Mdogo ni kampuni hii inayoitwa Q-NET...

Hawa jamaa wala si matapeli kama watu wanavyowazushia...!

Ukweli ni kuwa, hawa jamaa wameitumia kikamilifu kanuni hii ya "...TUMIKISHA WATU WENGINE, UTAJIRIKE...!!"

Jamaa ni wabunifu. Wamekuja na mifumo fulani ya kibishara halisi kabisa lakini inayotumia lugha ngumu kueleweka kwa watu wa kawaida...

Lakini kwa kuwa Watanzania tunapenda mafanikio chee, ya haraka na kwa kuwa maelezo ya biashara hiyo yako ktk lugha nzuri, ya kuvutia sana kiasi ambacho kama hutafakari kwa umakini na weledi, utavutiwa na kushawashika mara moja kuingia kwenye biashara hiyo....

Utakapoingia (kulipa fedha yako ili uanze biashara hiyo) ndipo unaoogundua kuwa kumbe practically ni biashara inayohitaji professionalism ya hali y juu huku waliongia wakiwa hawana...!!

Matokeo yake nini?

Ni kuanza kulalamika umeibiwa au hii kampuni ni ta kitapeli....!

Sababu ni nini?

Ni hii uliyosema, kuwa sisi watanzania tumejengwa ktk msingi wa elimu tegemezi, elimu ya kitumwa. Hatujajengwa katika msingi wa elimu bunifu ya kutumia akili zetu sawasawa...

Inasemekekana Q.NET wanachunguzwa ili kujua ni matapeli kweli au vipi...

Huku ni kujisumbua tu. Q-NET ni kampuni halali inayofanya biashara halali kwa mujibu wa sheria za Dunia na Tanzania..

Iko katika biashara kwa zaidi ya miaka 22 na iko nchi nyingi duniani kote. Laiti kama ingekuwa ni ya kitapeli, isingekuwapo hata leo huku ikitoa sponsorship ktk biashara na huduma tofauti tofauti ktk taasisi na kampuni nyingi duniani...

There is nothing kitu "utapeli". Ni ujinga wetu tu binadamu wa kuparamia mambo bila kuwa na ujuzi na akili ya jinsi ya kwenda nayo....

Robert Herriel, you are damn right...
 
MKUU ROBERT UMEANDIKA VIZURI SANA..

Nchi jirani tu kama Rwanda inapiga hatua kwa kasi sana kwa sababu ya kuitawala Congo. Vita vya Congo Maradhi nk Vyote ni kutokana na Mataifa Mengi makubwa kuivamia Congo.

KUNAUWEZEKANO MKUBWA AFRIKA MASHARIKI KUTAWALIWA NA BAHIMA EMPIRE.

Tatizo kubwaa Lipo hapa.

"MIMI UKINISHAURI NDIO UMEHARIBU KABISA MAANA SITOFANYA UNACHO NISHAURI".
.
MIMI SIPANGIWI.
JPM Magufuli.
 
MKUU ROBERT UMEANDIKA VIZURI SANA..

Nchi jirani tu kama Rwanda inapiga hatua kwa kasi sana kwa sababu ya kuitawala Congo. Vita vya Congo Maradhi nk Vyote ni kutokana na Mataifa Mengi makubwa kuivamia Congo.

KUNAUWEZEKANO MKUBWA AFRIKA MASHARIKI KUTAWALIWA NA BAHIMA EMPIRE.

Tatizo kubwaa Lipo hapa.

"MIMI UKINISHAURI NDIO UMEHARIBU KABISA MAANA SITOFANYA UNACHO NISHAURI".
.
MIMI SIPANGIWI.
JPM Magufuli.


Naam Mkuu, nafikiri huu ndio wakaati, tukiweza kuzibana nchi zingine tatizo la ajira na ugumu wa maisha automatic vinapungua kama sio kundoka kabisa
 
Mtoa hoja hujui tayari tunaitawala na kuitumikisha Zanzibar !!
 
Bandiko refu sana ungeweza kuandika fupi tu na ujumbe wako ungeeleweka, umerudia rudia mno maneno. Ushuri wako sijui unalenga nini maana unachokidai hapa mbona ndicho kinachofanyika? Hivi hya makampuni ya kigeni mfano yanyojenga SGR, Nyerere george, daraja la Busisi wewe huyaoni? Au unataka tuwateke watu waje tuwatumikishe halafu sisi tuwe wanyapra?

Andiko limelenga watu wazima waliopevuka akili, kama ningekuwa naandikia watoto wa chekechekea ningeandika aya mbili tuu, lakini umeshaona nimemtaja Rais, Uliona wapi Rais tena mwenye Phd akaandikiwa kifupi kana kwamba yeye ni mtoto mdogo.

Aliyekuambia hayo uliyosema siyaoni ni nani? Naomba ukisoma makala za kikubwa utulize akili yako, kama umezoea makala zenye ufupisho ninngekusihi ufuatilie hizo hizo. Hizi ndefu waachie wakubwa wako
 
Wewe ndio ukasome tena.

Wapi hujaelewa?
Hakuna taifa linaloendelea dunia kwa kutegemea watu wake wa ndani pekee, wapi hujaelewa wewe?

Hata wewe binafsi, fanya kazi ufanyavyo kwa bidii zote, huwezi kuwa tajiri kwa kujitumikisha mwenyewe, lazima utumikishe wengine. Bado hujanielewa na hapa
Marekani imeendelea kwa kutegemea watu wake pekee
Bill gates mwenye Microsoft products hakusaidiwa na raia yeyote wa nje wa WhatsApp twitter Amazon nk

Wajapan na Toyota zao hawakusaidiwa na raia yeyote wa nje
 
Mtoto asante kwa kutoa maoni yako. Dkt Magufuli kwa nafasi yake kama rais ndiye mbeba maono ya nchi yetu. Anachokifanya Dkt Magufuli tangu awe rais na mpaka sasa ni kutujengea wa Tanzania kujiamini, yaani kujiamini kuwa sisi tunaweza.

Mfano wa mataifa ambayo umeyataja raia wake wanajiamini sana. Imani na kujiamini ndiko hupelekea watu au mtu kupata maendeleao. Yaani watanzania tukiamini kuwa sisi tunaweza na tunaweza kufanya kazi kwa maslahi ya nchi yetu basi mambo mengine yote yatafuata.

Ni kama Mungu alivyomuumba Adam, alimuambia kufanya kazi (Gen 2:15). Hivyo Adam alijiamini kwanza kuhusu kufanya kazi, na ndivyo anachokifanya sasa Dkt Magufuli. Tukishajenga imani ya kufanya kazi kwa ajili ya Tanzania, maana yake hao unaowaita watu wa kuja kutusaidia ku expand operations zetu watakuja tu, kwani penye neema watu hujaa.
 
Back
Top Bottom