Rais Magufuli nisikilize kwa makini, Sitaki upoteze muda bure

Rais Magufuli nisikilize kwa makini, Sitaki upoteze muda bure

Mimi nawaza labda huenda ulikuwa na maana kuwa Magufuri hawawezi kutuletea maendeleo bila kushirikiana na mataifa mengine! Imagine Tanzania inawezaje kuwatumikisha mfano mataifa kama Marekani,Ujerumani ,nk ili tuendelee?
 
Si kweli china imeendelea kwa kutumikisha wananchi wake mpaka leo hii. Hata wewe unaweza kuendelea ukijitumikisha wewe mwenyewe kufanya kazi yako ya kujiajiri kisha kuwauzia watu wenye uhutaji na bidhaa zako. Ulikuwa hujuwi hili?

🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

Mkuu sisemi mengi

Sikulaumu kwa kuwa najua hujui mengi kuhusu Taifa la china, najua hujui kuwa taifa la China liliwahi kuvamia na kutawala nchi zifuatazo;
  • Korea
  • Vietnam
  • Mongolia
  • Taiwan
  • Central Asia
  • Burma
Kama mataifa hayo wanaishi wachina sawa sawa nitakubaliana na wewe. Pengine unaijua Chinza kuanzia kwa Huyo Mao zedong, na kama ni hivyo sitakulaumu, lakini hata habari ya kisiwa cha Taiwan ambapo china na India wanakigombea nacho hujui? Usijedhani ni kisiwa kisichoishi watu😀😀😀 Hiyo ni nchi ya Taiwan
 
Andiko limelenga watu wazima waliopevuka akili, kama ningekuwa naandikia watoto wa chekechekea ningeandika aya mbili tuu, lakini umeshaona nimemtaja Rais, Uliona wapi Rais tena mwenye Phd akaandikiwa kifupi kana kwamba yeye ni mtoto mdogo.

Aliyekuambia hayo uliyosema siyaoni ni nani? Naomba ukisoma makala za kikubwa utulize akili yako, kama umezoea makala zenye ufupisho ninngekusihi ufuatilie hizo hizo. Hizi ndefu waachie wakubwa wako
Narudia tena kukuambia umerudia rudia sana mambo yale yale katika aya tofauti kwani ujumbe wako ulikuwa unaweza ishia aya chache tu na ukaeleweka. Kwani wewe hukusoma kuandika barua ya maneno kumi? Au kwenye mtaala wenu hii iliondolewa? Siku nyingine kabla ya kuandika vitu ujiulize mara mbili mbili, huwezi sema tutumikishe watu wa nje ndio uchumi wetu ukue, hapo unatudanganya.

Hivi Israeli walimtumikisha nani? China, Urusi, Dermak, Norway walimtumikisha nani? Shauri watanzania tufanye kazi tujenge uchumi wetu kisha watu wavutiwe waje hapa kwetu wafanye biashara tukusanye kodi, sio kuleta fikra za kitumwa karne hiiya 21.
 
Naam, hiyo ni mbinu ya kwanza, kuwafanya watu wa taifa lako wajiamini, wajipende, wajithamini na wawe na uwezo wa kulinda maslahi ya raia wengine wa taifa hili.
 
Kweli wewe bado mtoto mdogo. Ujeruman, China na Korea Kaskazini ziko hapo zilipo kwa juhudi za watu kufanya kazi kwa bidii.

Mao aliwachimbisha wachina visima vya mafuta hila ya mitambo.

Hitler aliwakusanya wasomi na kuwaweka kambini kisha kuwaamuru watengeneze mitambo ama mifumo kulingana na taaluma zao.

Kasome tena kisha urudi hapa.
Hii makala imeshiba. Kama unasema mleta mada ni mtoto mdogo, basi lazima wewe ni mtoto mchanga.

Inaonekana huelewi chochote juu ya maendeleo ya China. Chini ya Mao, wachina waliteseka sana lakini waliendelea kuwa duni.

Miaka ya 90, ndipo wakaamua kubadilisha sera za uchumi, na kuamua kupokea uwekezaji wa wageni, hasa toka Ulaya na Amerika ya Kaskazini. Hawa waliwekeza China heavily, hadi kuufanya uchumi wa China kukua kwa 12%. Mpaka leo, makampuni makubwa kabisa yaliyopo China, siyo ya Wachina, ni ya wazungu na waamerika.

Kila wakati viongozi wa China wapo Ulaya na Amerika kitafuta wawekezaji. Na mpaka sasa China ndiyo nchi inayovuta mitaji mikubwa toka nje kuwekeza China kuliko Taifa lolote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndio ukasome tena.

Wapi hujaelewa?
Hakuna taifa linaloendelea dunia kwa kutegemea watu wake wa ndani pekee, wapi hujaelewa wewe?

Hata wewe binafsi, fanya kazi ufanyavyo kwa bidii zote, huwezi kuwa tajiri kwa kujitumikisha mwenyewe, lazima utumikishe wengine. Bado hujanielewa na hapa
Kama kumbukumbu yangu ipo sahihi, nadhani hii ni falsafa ya utajiri iliyotolewa na Tajiri msomi wa Marekani, aliyesema kuwa, huwezi kuwa tajiri mpaka uwe na uwezo wa kuwafanya watu wengine wafanye kazi kwaajili yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli wewe bado mtoto mdogo. Ujeruman, China na Korea Kaskazini ziko hapo zilipo kwa juhudi za watu kufanya kazi kwa bidii.

Mao aliwachimbisha wachina visima vya mafuta hila ya mitambo.

Hitler aliwakusanya wasomi na kuwaweka kambini kisha kuwaamuru watengeneze mitambo ama mifumo kulingana na taaluma zao.

Kasome tena kisha urudi hapa.
Yaani MATAGA ni kama MALAYER.

Unanunuliwa bia siku moja unaliwa mzigo!!

*Halafu SSM anakuja kukumbushia bia ulizokunywa mwaka juzi na anakula mzigo!

*Yaani unakumbushiwa bia, unaliwa mzigo!

*Unajua kabisa unadanganywa, lakini unatoa uchi.....

*Unatoa uchi sababu nyie ni malayer
 
Narudia tena kukuambia umerudia rudia sana mambo yale yale katika aya tofauti kwani ujumbe wako ulikuwa unaweza ishia aya chache tu na ukaeleweka. Kwani wewe hukusoma kuandika barua ya maneno kumi? Au kwenye mtaala wenu hii iliondolewa? Siku nyingine kabla ya kuandika vitu ujiulize mara mbili mbili, huwezi sema tutumikishe watu wa nje ndio uchumi wetu ukue, hapo unatudanganya.

Hivi Israeli walimtumikisha nani? China, Urusi, Dermak, Norway walimtumikisha nani? Shauri watanzania tufanye kazi tujenge uchumi wetu kisha watu wavutiwe waje hapa kwetu wafanye biashara tukusanye kodi, sio kuleta fikra za kitumwa karne hiiya 21.

Nikishakuambia utulie kwenye mada za kikubwa utulie kweli.

Wewe israel unayoizungumzia ni ipi hiyo? Ni ile ya kwenye Biblia? au hiyo iliyoanzishwa 1948 hapo Palestina?
Ukishanijibu hapa ndio nitajua nazungumza na nani hasa.

Wewe kama hujui Historia nimekuambia ukae kimya, Urusi na china unazijua vizuri, Unaijua USSR? Kabla hujataja nchi lazima uijue vyema, hizo nchi zingine kama Norway huna ulijualo, unajua kwa nini Norway iliongoza kwa uvuvi na kuipiku Japan baada ya vita ya pili ya dunia?

Nakushauri ukasome historia vizuri kabla hujaja kwenye uzi wa kikubwa. Yaani andiko halijafikisha hata maneno elfu kumi unalia lia
 
Mimi nawaza labda huenda ulikuwa na maana kuwa Magufuri hawawezi kutuletea maendeleo bila kushirikiana na mataifa mengine! Imagine Tanzania inawezaje kuwatumikisha mfano mataifa kama Marekani,Ujerumani ,nk ili tuendelee?

Ninyi mnaita ushirikiano wakati ni kutumiwa na hayo mataifa.
Kwenye hii dunia hakuna ushirikiano, bali kuna kutumiana, yaani kutumikishana,
 
Asante ni mada nzuri ila haujafanya comparative economic developmental path analysis ya kutosha. Yafuatayo ndio ndio ya kuangalia kwa undani, ni lazima ujue.

1) Uwezo wako kiutendaji ambao unao na wengine hawana au umewapita kwa ufanisi

2) Unatakiwa uzijue vizuri sana resources zako zote na hasa zile ambazo ni distinct.

3) Ufahama majirani zako na uwezo wao.

4) Ujue majirani zako wanatamani nini kwako.

5) Legeza sana sheria kwa mambo yote unayo yaweza au umewashinda wenzako na yanafanywa na watu wako kwa ufanisi.

6) Weka sheria ngumu kidogo kwa ambo usio yaweza ili uweze kuyadhibiti na upate nafasi ya kujifunza na kuyatawala.

7) Tengeneza nguzo nzito za uchumi ki taasisi na wananchi na ikiwezekana wape bure au kwa upendeleo mkubwa kwa wateule kwa mwananchi au taasisi.

8) Hakikisha watu wengi wazuri na watu maskini kutoka njee ya nchi yako wanamiminika nchini kwako, kwa kuwa cheap labour ni moja ya vishawishi kwa matajiri kuendelea kuwekeza kwako, ukashinda hakikisha kuna jamii nchini kwako hazitoki kwenye umasikini ili kuwa na pool kubwa ya kuwa tumikisha.

9) Hakikisha resources zote za ndani na za nje unazitumia kikamilifu.

10) Angalia soko la Nje sana kuliko soko la ndani.

11) Hakikisha post secondary practical training inaimarishwa sana sana ili uwe na skilled labour.

Jaribu kuangalia haya mambo niliyo pendekeza kwa upana na uone utaimarishaje utajiri wa nchi.

Maendeleo ni mchakato na muda Unatakiwa, kila mara uangalie hakuna short cut ila kuna kupunguza muda ambao kwa kawaida ungehitajika nchi kuimarika kiuchumi.
 
Nashukuru Mkuu kwa kuchangia kwa hoja zilizoshiba kabisa. Michango ya namna hii ni bora zaidi
 
The best thread of the year.Hongera mkuu but tegemea kubezwa na vilaza.
 
Kwahiyo unataka Mh sana Jiwe akavamie Congo na kupora dhahabu yao sio ?
 
Asiyefanya kazi na asile;

Nadhani hujaelewa huo mstari wa Biblia.
 
Nikishakuambia utulie kwenye mada za kikubwa utulie kweli.

Wewe israel unayoizungumzia ni ipi hiyo? Ni ile ya kwenye Biblia? au hiyo iliyoanzishwa 1948 hapo Palestina?
Ukishanijibu hapa ndio nitajua nazungumza na nani hasa.

Wewe kama hujui Historia nimekuambia ukae kimya, Urusi na china unazijua vizuri, Unaijua USSR? Kabla hujataja nchi lazima uijue vyema, hizo nchi zingine kama Norway huna ulijualo, unajua kwa nini Norway iliongoza kwa uvuvi na kuipiku Japan baada ya vita ya pili ya dunia?

Nakushauri ukasome historia vizuri kabla hujaja kwenye uzi wa kikubwa. Yaani andiko halijafikisha hata maneno elfu kumi unalia lia
Wewe unaijui historia gani sasa, badala ya kunijibu kuwa Israeli imejengwa na nani au china, Rusia,
Dermak na Norway zimejengwa na nani unakuja kuleta maswali hapa.

Wewe ni kama umeandika gazeti tu hapa ila hujui nini unacho omba, eti uzi wa kikubwa wakati ulikiri kuwa wewe ni mtoto sasa tunakuelimisha namna ya kuwalisha hoja zako ili ziwe namantiki unakuja kubisha hapa unatuletea fikra za kitumwa hapa, sisi tunataka tujenge taifa la watu wanao jiamini unatuletea ushauri tegemezi hapa, inamaana katika elimu yako ulicho ambulia ni kuandika fasihi tu na sio uwezo wa kupambanua mambo. Ni aibu kwa mtu kama wewe kuandika uzi wa kutaka wageni waje kufanya kazi wakati inafahamika kuna wageni kibao wapo wanafanya kazi katika taasisi mbalimbali hapa nchini, hii inaonesha ni kaasi gani hauko familiar ni miradi mbalimbali inayoendelea hapa nchini.
 
Kweli wewe bado mtoto mdogo. Ujeruman, China na Korea Kaskazini ziko hapo zilipo kwa juhudi za watu kufanya kazi kwa bidii.

Mao aliwachimbisha wachina visima vya mafuta hila ya mitambo.

Hitler aliwakusanya wasomi na kuwaweka kambini kisha kuwaamuru watengeneze mitambo ama mifumo kulingana na taaluma zao.

Kasome tena kisha urudi hapa.
Wale walikamatwa na Hitler walikuwa ni Wayahudi sio watu wa taifa lake na hata hivyo sidhani kama walipona
 
kama kweli una miaka 26 na umeweza kuandika hivi hongera sana maana yake utakaopo kuja fika 40 yrs utakuwa ni mwandishi mzuri sana [serekali isaidie sana wakulima ili tupate chakula kingi tuilishe afrika]
 
Back
Top Bottom