Rais Magufuli: Nitaheshimu ukomo wa miaka 10 ya Urais kulingana na Katiba ya Tanzania

Ingekua mtihani umejiongeza mtu katoa hoja mwngine jibu kwa hoja na ziwe na mashiko kama hii pongezi mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka miwili hakuna alichofanya zaidi ya kuongeza umaskini kwa wananchi anaoita wanyonge. Naiona dalili ya kubadilisha katiba akiingia kipindi cha pili kwa kisingizio nimeombwa. Aombwe na Nani hali watu wanatamani aondoke sasa hivi na sio badae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mbakize kwenye familia yako anafaa kuiongoza pia.Hata miaka mitano haijafika mnaanza kelele.
 
Uzi wa kupima mapovu yetu..nasi tunapita kimya kimya bila kuonyesha msimamo wetu[emoji188] [emoji188] [emoji188] [emoji188] [emoji188] [emoji188]
 
Madhara yake ni makubwa kuliko faida, yeye akisha ondoka madarakani yeyote anaye fuata awe mzuri au wa hovyo atatumia hiyo excuse kubakia madarakani kwa kadri itavyo mfaa. Pia kila anayekuja atabadilisha katiba kwa namna itavyo mfaa yeye. Unaweza usione madhara leo lakini miaka 20 kutoka leo watoto na wajukuu zenu watawalaani kwa mlichokifanya.
 
an advice from witch which is a merely craft!!!
 
Kamchukue akachukue nafasi ya baba yako kwenye familia yenu Mpumbavu mkubwa ww

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baadhi ya watanzania ni wapumbavu sana.
 
Haya mambo ya kipumbavu ndio akina George Washington waliyakataa ktk karne ya 18 kwa kusema, "Leadership is not a privilege but a trust".

Mtoa mada anataka kufanya ionekane kuwa Watanzania wote ni watu mbumbumbu wasiyo na uwezo wa kuongoza isipokuwa moja wao tu, hii inathibitisha ukweli fulani kuhusu IQ yetu kweli iko chini na wala hatujapakaziwa na watafiti.

Mtaongezaje muda ktk mfumo wa vyama vingi? Je mkimwongezea muda baadaye 2020 apigwe chini mtakuwa mmefanya nn sasa?

Watu mjifunze kuheshimu katiba na ukweli kuwa kila moja ana haki ya kupiga kura na vile vile haki ya kupigiwa, na juu ya yote, lazima ieleweke kuwa, " No One Is Indispensable Anywhere ".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…