Rais Magufuli: Nitaheshimu ukomo wa miaka 10 ya Urais kulingana na Katiba ya Tanzania

Rais Magufuli: Nitaheshimu ukomo wa miaka 10 ya Urais kulingana na Katiba ya Tanzania

aondoke tuu ata baada ya miaka mitano koz wengi tumemchoka siyo siri...mzee wa kiki 24/7
 
Hakuna Mtanzania asiyejua uwajibikaji, uzalendo, uaminifu, ujasiri, uchapakazi na weledi wa Rais Magufuli ambaye si tu amekuwa kivutio ndani ya Tanzania, bali amekuwa ni kipenzi cha wengi hata nje ya mipaka ya nchi yetu.

Kutokana na uwezo ambao ameshauonyesha tangu alipoingia madarakani, hasa katika kupigania raslimali za nchi hii, kupambana na rushwa, ukusanyaji wa mapato ya Serikali, udhibiti wa matumizi ya Serikali, uwajibikaji wa wafanyakazi wa sekta za umma, uboreshaji wa miundo mbinu na ukuaji wa uchumi; ningependekeza muda wa Rais kukaa madarakani uongezwe kutoka miaka 5 muhula wa kwanza hadi kufikia “miaka 7” kwa muhula mmoja hivyo akikaa kwa vipindi vyote 2 awe amehudumu kwa “miaka 14” badala ya miaka 10 ya sasa.

Nasema hivi kwasababu muda wa miaka 10 hautoshi kwa Rais kutimiza yote aliyokusudia na isitoshe tumempata Rais mchapakazi(jembe hasa) ambaye ni “hazina” muhimu kwa taifa hili hivyo ni lazima tumuongezee muda zaidi ili taifa “linufaike” kwa uwepo wake madarakani kwa kipindi kirefu zaidi.

Nawaomba Wabunge wote wa CCM waungane pamoja na kuipeleka hoja hii Bungeni mapema sana mwakani kabla ya vikao vya bajeti kuanza ili mchakato wa kuibadilisha KATIBA kwenye kipengele cha muda wa Urais kifanyiwe marekebisho kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 ili uchaguzi huo ufanyike mwaka 2022. Hata kama itahitajika kura ya maoni kutoka kwa wananchi, Watanzania asilimia 75 tutaunga mkono hoja hii. Tena isitoshe Wabunge wa CCM ndio wengi(na wanazidi kuongezeka), lazima hoja hii itapita bila kupingwa. Kuna Mbunge aliwahi kuileta hoja hii Bungeni lakini sijui iliishia wapi. Tafadhalini sana, hakikisheni hoja hii inarudishwa tena Bungeni ili ifanyiwe maamuzi sahihi.

Kwa kufanya hivi sisi Watanzania hatutakuwa wa kwanza wala wa mwisho sababu kuna nchi ambazo ni majirani zetu wamekwisha badilisha muda wa kuhudumu Rais na zingine pia zitafuata hapo baadae. Kwa kifupi Rais akikaa madarakani kwa kipindi cha miaka 7 kuna faida nyingi sana kuliko muda wa miaka 5 ambao ni mfupi sana. Kwa upande wa Wabunge natumaini mnaelewa zaidi nini “faida” ya kukaa Bungeni kwa miaka 7 kuliko miaka 5 ya sasa hivi.

Najua humu ndani ya JF kuna Wabunge wengi sana wa CCM hivyo ningewashauri haraka sana andaeni hoja binafsi ya kuongezwa muda wa Rais ili muiwasilishe kwenye kikao cha kwanza kabisa cha Bunge cha mwaka 2018. Tena msiwe na hofu sababu Watanzania wengi tunamkubali sana Rais Magufuli. Nafahamu kuwa wapo wachache watakaopiga kelele; hao tumeshawazoea na kelele zao, hoja hii ikipita watakuwa wapole tu sababu siku zote demokrasia inaheshimu maamuzi ya walio wengi. Isitoshe upinzani wenyewe umeshaanza kupukutika, mpaka ifike mwaka 2020 watakuwa wamesambaratika kabisa. Kwasasa hivi sisi wana-CCM ndiyo tupo wengi hivyo tuna haki na wajibu wa kuamua mustakabali wa Taifa letu, na uamuzi huu siyo mbaya ni uamuzi wenye faida kubwa kwa Taifa na kwa Watanzania wote kwa ujumla.

Nawasilisha hoja.
We ni zuzu kabisa
 
Hakuna Mtanzania asiyejua uwajibikaji, uzalendo, uaminifu, ujasiri, uchapakazi na weledi wa Rais Magufuli ambaye si tu amekuwa kivutio ndani ya Tanzania, bali amekuwa ni kipenzi cha wengi hata nje ya mipaka ya nchi yetu.

Kutokana na uwezo ambao ameshauonyesha tangu alipoingia madarakani, hasa katika kupigania raslimali za nchi hii, kupambana na rushwa, ukusanyaji wa mapato ya Serikali, udhibiti wa matumizi ya Serikali, uwajibikaji wa wafanyakazi wa sekta za umma, uboreshaji wa miundo mbinu na ukuaji wa uchumi; ningependekeza muda wa Rais kukaa madarakani uongezwe kutoka miaka 5 muhula wa kwanza hadi kufikia “miaka 7” kwa muhula mmoja hivyo akikaa kwa vipindi vyote 2 awe amehudumu kwa “miaka 14” badala ya miaka 10 ya sasa.

Nasema hivi kwasababu muda wa miaka 10 hautoshi kwa Rais kutimiza yote aliyokusudia na isitoshe tumempata Rais mchapakazi(jembe hasa) ambaye ni “hazina” muhimu kwa taifa hili hivyo ni lazima tumuongezee muda zaidi ili taifa “linufaike” kwa uwepo wake madarakani kwa kipindi kirefu zaidi.

Nawaomba Wabunge wote wa CCM waungane pamoja na kuipeleka hoja hii Bungeni mapema sana mwakani kabla ya vikao vya bajeti kuanza ili mchakato wa kuibadilisha KATIBA kwenye kipengele cha muda wa Urais kifanyiwe marekebisho kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 ili uchaguzi huo ufanyike mwaka 2022. Hata kama itahitajika kura ya maoni kutoka kwa wananchi, Watanzania asilimia 75 tutaunga mkono hoja hii. Tena isitoshe Wabunge wa CCM ndio wengi(na wanazidi kuongezeka), lazima hoja hii itapita bila kupingwa. Kuna Mbunge aliwahi kuileta hoja hii Bungeni lakini sijui iliishia wapi. Tafadhalini sana, hakikisheni hoja hii inarudishwa tena Bungeni ili ifanyiwe maamuzi sahihi.

Kwa kufanya hivi sisi Watanzania hatutakuwa wa kwanza wala wa mwisho sababu kuna nchi ambazo ni majirani zetu wamekwisha badilisha muda wa kuhudumu Rais na zingine pia zitafuata hapo baadae. Kwa kifupi Rais akikaa madarakani kwa kipindi cha miaka 7 kuna faida nyingi sana kuliko muda wa miaka 5 ambao ni mfupi sana. Kwa upande wa Wabunge natumaini mnaelewa zaidi nini “faida” ya kukaa Bungeni kwa miaka 7 kuliko miaka 5 ya sasa hivi.

Najua humu ndani ya JF kuna Wabunge wengi sana wa CCM hivyo ningewashauri haraka sana andaeni hoja binafsi ya kuongezwa muda wa Rais ili muiwasilishe kwenye kikao cha kwanza kabisa cha Bunge cha mwaka 2018. Tena msiwe na hofu sababu Watanzania wengi tunamkubali sana Rais Magufuli. Nafahamu kuwa wapo wachache watakaopiga kelele; hao tumeshawazoea na kelele zao, hoja hii ikipita watakuwa wapole tu sababu siku zote demokrasia inaheshimu maamuzi ya walio wengi. Isitoshe upinzani wenyewe umeshaanza kupukutika, mpaka ifike mwaka 2020 watakuwa wamesambaratika kabisa. Kwasasa hivi sisi wana-CCM ndiyo tupo wengi hivyo tuna haki na wajibu wa kuamua mustakabali wa Taifa letu, na uamuzi huu siyo mbaya ni uamuzi wenye faida kubwa kwa Taifa na kwa Watanzania wote kwa ujumla.

Nawasilisha hoja.
Hasara je umezitathimini?
 
Amesema yeye ni Rais aliye apa kulinda na kutumikia katiba.
Hata Mtani wake Ngonyani aliposema aongezewe miaka 20 amemuelewa kuwa ana maanisha aongezewe miaka 20 ya kuishi...
Kwa hiyo yeye ataendelea kuheshimu na kulinda katiba.
SASA IMEKUWA KINYUME CHAKE.
 
Rais Magufuli akiwa Korogwe Tanga amesema hayuko tayari kuendelea kuongoza baada ya miaka 10 iliyowekwa kikatiba. Ameyasema haya baada ya Mbunge wa Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani (Prof. Maji Marefu) kusema Rais anastahili kuongezwa muda ilia afanye mambo mengi zaidi.

Its official kuwa Magufuli hataongeza muda wa kukaa kwenye kiti cha urais. Hii kauli imemaliza wasiwasi wa watu wote waliokuwa na speculation kuwa Rais anaweza kuongeza muda wa kukaa madarakani.


Kama kauli hii itakuwa ni kweli, hana nia ya kubadili katiba na kuendelea na katiba ya sasa kutawala miaka mitano mitano kwa vipindi viwili, mimi nitakuwa wa kwanza kushauri kanisa katoliki kumunzishia mchakato wa kuwa mtakatifu.
 
Kama kauli hii itakuwa ni kweli, hana nia ya kubadili katiba na kuendelea na katiba ya sasa kutawala miaka mitano mitano kwa vipindi viwili, mimi nitakuwa wa kwanza kushauri kanisa katoliki kumunzishia mchakato wa kuwa mtakatifu.
usimsikilize sana Mange
 
TUHESHIMU KATIBA YA NCHI.PIA TUNAWACHAPAKAZI ZAIDI YA MILIONI HAMSINI TZ YETU.KWANI YEYE NDIE ALIEIFIKISHA HAPA ILIPO TZ KWA SASA.YEYE AMEIKUTA TZ NA WATU WAKE NA ATAIACHA NA WATU WAKE NA ITASONGA MBELE.TUACHE UJINGA NA TUHESHIMU KATIBA YETU .
 
Nimeona na viashiria vingi sana vya huyu mheshimiwa vya kubadili karibu na kubakia madarakani kwenye kiti cha uraisi.Mimi siwezi kumuani hata kidogo .ingawaje kuna watu punguani waliomba aongezewe muda wa kutawala na yeye akatamka kwamba ataheshimu katiba mimi nasema simuamini hata kidogo,Sababu kubwa in kwamba yuko katika muda wa awali wa uongozi wake, kwa kukubali kungezua mjadala mkubwa kwenye uongozi wake na kufanya utawala wake uwe mgumu.Atakacho fanya ni kusubiri dakika za mwisho na kusema watu wameniomba sana na kuniomba niendelee.na urais.
Kitu kingine ni marafiki wake wa karibu, Rais Museveni na Paul Kagame ,hawa wote wamebadili katiba ili kubakia madarakani.
Hali ya sasa ya usalama nchini pia inatoa viashiria vya uvunjifu wa demokrasia hususa upande wa upinzani ., Mpinzani gani hapo Tanzania ambaye hajaonja nguvu za dola hata kama haki ipo upande wao.
Mwisho ni wapambe wa Magufuli ,wakina Bashite , Mwigulu na wengineo , hata Kama Rais akikosea wao hawaoni kosa.
Mungu ibaraki Tanzania
 
Wananchi wala hatuna wasiwasi maana hawezi leta hayo na tukamkubalia. Wenye wasiwasi ni hao wanaojikomba kwake ili aongezewe miaka, njaa baba!!
 
Hii hofu inatokawapi? Au kwa sababu kina kuna marais majirani zetu wanacheza na katiba zao?
 
Aibu ya Mzee Mwinyi,Maji Marefu na taka taka zote zilizokuwa zinapigia upatu nyongeza ya muda wa muhula by 2025!
Halafu yule ndezi wa OP ya BAKI MAGUFULI aweke tako lake chini...
2025 tunawaletea jembe lingine!
Hii takataka ni bora hata imetangulia. Stupi.d.
 
Rais Magufuli akiwa Korogwe Tanga amesema hayuko tayari kuendelea kuongoza baada ya miaka 10 iliyowekwa kikatiba. Ameyasema haya baada ya Mbunge wa Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani (Prof. Maji Marefu) kusema Rais anastahili kuongezwa muda ilia afanye mambo mengi zaidi.

Its official kuwa Magufuli hataongeza muda wa kukaa kwenye kiti cha urais. Hii kauli imemaliza wasiwasi wa watu wote waliokuwa na speculation kuwa Rais anaweza kuongeza muda wa kukaa madarakani.

Nazkumbuka San ,kauli za huyu jamaa.ni mtaalam,wa kuwadanganya .ww angalia vitendo vyake,utagundua.
 
Back
Top Bottom