Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari kesha jifunza kwa kagame namna ya kuwa treat wapinzani wake ktk siasa.Hii siyo tabia nzuri, Rais wa Tanzania hana lolote la kuinga kutoka Uganda na Rwanda. Tanzania iko juu sana katika mambo mengi mazuri. Hana la kujifunza pale.
Rais Magufuli akiwa Korogwe Tanga amesema hayuko tayari kuendelea kuongoza baada ya miaka 10 iliyowekwa kikatiba. Ameyasema haya baada ya Mbunge wa Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani (Prof. Maji Marefu) kusema Rais anastahili kuongezwa muda ilia afanye mambo mengi zaidi.
Its official kuwa Magufuli hataongeza muda wa kukaa kwenye kiti cha urais. Hii kauli imemaliza wasiwasi wa watu wote waliokuwa na speculation kuwa Rais anaweza kuongeza muda wa kukaa madarakani.
Hao watu wana lalamikia wapi? Mbona wenzio hatuwaoni au ndio hawa wa mitandaoni wanao tumiwa na chadema?watu wanalalamika maisha magumu biashara zimekufa
Imekufa yako tu, usiwasemee wengine jinga wewe.watu wanalalamika maisha magumu biashara zimekufa
Kichwa chako cha chini kina akili kuliko hiki cha juu ulichotumia hapa.Imekufa yako tu, usiwasemee wengine jinga wewe.
Hujui kuandika [emoji107] na ndiyo maana unasifu na kuabudu !!Hakujawahi tokea serikali yenye kujali manendeleo kama hii ya tano tukiachana na baba wa taifa
Rais wa sasa kaiwezea tanzania kila unapo safiri ndani ya tanzania lazima kuna mradi mkubwa wa maendeleo una tekelezwa
Na hiki ndicho watanzania tunataka sio kukaa kwenye mitandao huku umejifungia chumban unalalamika lalamika .
Tembea uone namna nchi inavyo shambuliwa na maendeleo pamoja na ujenzi wa miundo mbinu mbali mbali.
Huyo ni mkereketwa mwenzio. Wala msipapuraneImekufa yako tu, usiwasemee wengine jinga wewe.
Nyie ni akina nani?Hao watu wana lalamikia wapi? Mbona wenzio hatuwaoni au ndio hawa wa mitandaoni wanao tumiwa na chadema?