Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 7,982
- 27,272
Kwa macho,We unaonaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa macho,We unaonaje?
Unaweza ukawa na macho na usione.Kwa macho,
Hebu shughulika na mambo ya kiume, hii taarabu siyo hadhi yako.! Muda mwema.Unaweza ukawa na macho na usione.
Naomba namba yako.Hebu shughulika na mambo ya kiume, hii taarabu siyo hadhi yako.! Muda mwema.
Can i have your number please.Hebu shughulika na mambo ya kiume, hii taarabu siyo hadhi yako.! Muda mwema.
Dah ndio umemalizaCan i have your number please.
Ongezea na ukosefu wa ajira,udikteta.Mkuu wetu wa nchi hii nchi unayoiongoza ina wananchi takribani mil 60. Kati ya hao ni 5% ni wanasiasa. Lakini wengi wao amaboa ni 95% ni wakulima na wafanyakazi.
Wewe unayo mamlaka ya kupata maoni ya nini 95% ya raia wa Tanzania wanatoa maoni juu ya uongozi wako.
Ukweli usiopingika wafanyabiashara wengi hawataki uongezewe muda hata sekunde moja. Maana tangu umeingia madarakani umekuwa mwiba kwao. Biashara zimefungwa sababu ya kutaka walipe kodi hata kama mazingira ya kibiashara sio rafiki. Kila sekta ya kibiashara imeganda.
Wakulima wapo kimya wanaugulia moyoni. Maana tangu uingie madarakani hali yao kuuza mazao imekuwa mbaya.Mazao ya nafaka mengi yamekosa soko hasa la nje ambalo ndio chanzo kikubwa cha mapato yao.
Wafanyakazi wa umma ndio wanakilio kikubwa. Wao wanaomba Mungu ustaafu hata kabla hujamaliza muda wako. Maana hujaongeza mshahara kwa miaka mitano tangu uingie madarakani. Hali ya maisha ni ngumu kwao maana maisha ni ghali.
Je kwa mazingira kama haya nani ambae ni mwananchi wa kawaida atataka uongezewe muda wa kutawala?
Hao wanasiasa wanaokupaka mafuta kwa mgongo wa chupa ambao ni 5% ya watanzania? Wewe ni mkuu wa nchi. Fanya utafiti juu ya hili. Wananchi wa kawaida wanaomba Mungu miaka minne iishe haraka aje rais mwingine mwenye huruma ili maisha yaendelee. Usidanganywe na akina Jah pipo wa Njombe.
Mitano Tena.Amri!Mkuu wetu wa nchi hii nchi unayoiongoza ina wananchi takribani mil 60. Kati ya hao ni 5% ni wanasiasa. Lakini wengi wao amaboa ni 95% ni wakulima na wafanyakazi.
Wewe unayo mamlaka ya kupata maoni ya nini 95% ya raia wa Tanzania wanatoa maoni juu ya uongozi wako.
Ukweli usiopingika wafanyabiashara wengi hawataki uongezewe muda hata sekunde moja. Maana tangu umeingia madarakani umekuwa mwiba kwao. Biashara zimefungwa sababu ya kutaka walipe kodi hata kama mazingira ya kibiashara sio rafiki. Kila sekta ya kibiashara imeganda.
Wakulima wapo kimya wanaugulia moyoni. Maana tangu uingie madarakani hali yao kuuza mazao imekuwa mbaya.Mazao ya nafaka mengi yamekosa soko hasa la nje ambalo ndio chanzo kikubwa cha mapato yao.
Wafanyakazi wa umma ndio wanakilio kikubwa. Wao wanaomba Mungu ustaafu hata kabla hujamaliza muda wako. Maana hujaongeza mshahara kwa miaka mitano tangu uingie madarakani. Hali ya maisha ni ngumu kwao maana maisha ni ghali.
Je kwa mazingira kama haya nani ambae ni mwananchi wa kawaida atataka uongezewe muda wa kutawala?
Hao wanasiasa wanaokupaka mafuta kwa mgongo wa chupa ambao ni 5% ya watanzania? Wewe ni mkuu wa nchi. Fanya utafiti juu ya hili. Wananchi wa kawaida wanaomba Mungu miaka minne iishe haraka aje rais mwingine mwenye huruma ili maisha yaendelee. Usidanganywe na akina Jah pipo wa Njombe.
Ukweli mtupu.Ukweli ndo huo kwa Mungu na malaika, hiyo ndo Hali halisi bila kuficha, mpendwa raisi wangu angalia matokeo ya uraisi ya KIUKWELI utaona picha halisi, wanasema uongezewe muda Ni kwa masilahi yao.
Ahaa,ulitaka nimalize vipi?Dah nndio umemaliza