Rais Magufuli relax, hawataki Urais wako bali wanataka ujivuruge

Rais Magufuli relax, hawataki Urais wako bali wanataka ujivuruge

Nimesoma andiko lako kwa hasira ni nikakutafakari wewe na uzao wako kwa mapana yasiyo na ncha nikajiuliza wewe ni mwanamke? Au mwanaume.!?
Shida yako hasa kwa Taifa hili ni ipi? Baba yako awe rais au wewe mwenyewe uwe rais..?

Tunatofautiana mawazo na tafakuri lakini lazima mfike mahali mjue kuwa nchi hii ni zaidi ya matakwa yenu binafsi na hao wafadhiri wenu.! Kuna watu wanalala nje wanapata shida wanakesha kwa ajili ya usalama wa Taifa hili.
Kuna watu wamepoteza viungo kuna watoto wameachwa yatima kwa sabbu ya usalama wa Taifa hili, hizi chokochoko mnazotaka kizianzisha kwa lolote lile je mko radhi kupokea machungu yake?
Hivi wale walio chochea chokochoko za libya leo hii wako wapi? Wanaifurahia vipi demokrasia waliyo itaka.? Watoto wao wake zao na waume zao wana ndoto zilezile..?
Najua mna watu wanao wadanganya kwa namna yoyote ile ila kama watu wanaweza kupata shida huko wanakozipata kwa usalama wa Taifa hili ili kizazi chao waje warithi Taifa lililo salama na lenye muelekeo. Kuifumua JF na kuwapata watu kama nyinyi haiwezi kuwa sawa na kukesha huko wanakokesha..

Salam zikufikie wewe pamoja na wenzio.
Kazi nzuri ya tochi ni kumulika kwenye vichaka na gizani ili ukipate ukitakacho kwa wakati..
Wasalaam.
Ahahaha mbona umepaniki bi mkubwa,kwani mi nimesema siitaki Tanzania? Au naiombea mabaya Tanzania? Naipenda sana nchi yangu ndiyo maana nasema tunamtaka Membe. AFU WANACCM MLIVYO WAPUMBAVU HUWA MNAJIONA NI WAZALENDO KULIKO WATU WOTE NCHINI.Ficha upumbavu wako.
 
Ulipomtaja Musiba ndio umejichanganya kabisaaa [emoji23][emoji23] ni heri kutazama video ya Amber Rutty kuliko uyo zwazwa ambae hajui hata anataka kusema nini alafu mkuu hataki mambo ya ushauri yeye ni jeshi la mtu mmoja ukimpangia cha kufanya ndio unaharibu kabisa tena hao unaowaomba wakamuambie hawathubutu hata kumueleza maana wanaweza kupigwa chini muda huo huo.
 
Ahahaha mbona umepaniki bi mkubwa,kwani mi nimesema siitaki Tanzania? Au naiombea mabaya Tanzania? Naipenda sana nchi yangu ndiyo maana nasema tunamtaka Membe. AFU WANACCM MLIVYO WAPUMBAVU HUWA MNAJIONA NI WAZALENDO KULIKO WATU WOTE NCHINI.Ficha upumbavu wako.
Yamkini hujui usemacho mdomo huwa unaponza kichwa na siasa huwa ina mavuno yake.! Yasipokuwa matamu huwa machungu.
Kumbuka tu mchuma Janga hula na wa kwao.! Hongera kwa sabbu unawafahamu watu wote wanaokuzunguka. Na JF umejificha sana kama vile kuzimu..

Kongole mkuu.
 
Nimesoma andiko lako kwa hasira ni nikakutafakari wewe na uzao wako kwa mapana yasiyo na ncha nikajiuliza wewe ni mwanamke? Au mwanaume.!?
Shida yako hasa kwa Taifa hili ni ipi? Baba yako awe rais au wewe mwenyewe uwe rais..?

Tunatofautiana mawazo na tafakuri lakini lazima mfike mahali mjue kuwa nchi hii ni zaidi ya matakwa yenu binafsi na hao wafadhiri wenu.! Kuna watu wanalala nje wanapata shida wanakesha kwa ajili ya usalama wa Taifa hili.
Kuna watu wamepoteza viungo kuna watoto wameachwa yatima kwa sabbu ya usalama wa Taifa hili, hizi chokochoko mnazotaka kizianzisha kwa lolote lile je mko radhi kupokea machungu yake?
Hivi wale walio chochea chokochoko za libya leo hii wako wapi? Wanaifurahia vipi demokrasia waliyo itaka.? Watoto wao wake zao na waume zao wana ndoto zilezile..?
Najua mna watu wanao wadanganya kwa namna yoyote ile ila kama watu wanaweza kupata shida huko wanakozipata kwa usalama wa Taifa hili ili kizazi chao waje warithi Taifa lililo salama na lenye muelekeo. Kuifumua JF na kuwapata watu kama nyinyi haiwezi kuwa sawa na kukesha huko wanakokesha..

Salam zikufikie wewe pamoja na wenzio.
Kazi nzuri ya tochi ni kumulika kwenye vichaka na gizani ili ukipate ukitakacho kwa wakati..
Wasalaam.
We ni mnafki sana, huipendi Tanzania unampenda rais na chama chenu,wanafki kama nyie ndo mnasababisha nchi yetu inapoteza muelekeo kila siku,wanafki kama nyie ndo mnadhani Magufuli ameleta maendeleo kwa kujenga flyover Dar na barabara Mwanza wakati nchi ina mikoa 31.Nchi hii ni muhimu kuliko matumbo yenu mnayotetea.Kama kuna mtu wa usalama anayeona hii nchi inaenda sawa basi naye ni mpumbavu kama wewe.
 
Kwako Mh. Rais John Pombe Magufuli

Leo kwa mara ya kwanza toka nijiunge na JF nimeamua kuweka mada kwenye hii forum. Ni kwa ajili yako mkuu.

Nimeshawishika kuweka mada hii maalum kwa ajili yako hasa baada ya leo kuingia humu Jamii Forum na kukuta mada nyingi (posts)zisizopungua kumi (10) zikijadili au zikilenga KUMNADI Ndugu BERNAD MEMBE kuwa mgombea wa Urais wa Tanzania mwaka 2020.

Mh. Rais, Najua watu wako wapo humu, Namimi nawaomba kwa heshima sana wakufikishie ujumbe huu wenye TAHADHARI, USHAURI NA KUKUTIA MOYO.

Mh. Rais

1. Hawataki Urais bali wanataka UCHUKIE na uwachukulie hatua ili wapate pa kuanzia
Wao sio wajinga wanajua ni mapema sana kuanza chokochoko za urais na wanajua hata wakiutaka hiyo 2020 kwa utaratibu wa chama chenu hawawezi kupata. ILA wanafanya hivyo kwasababu kwa kiasi fulani wamekusoma tabia yako kuwa huwa unachukua hatua kali sana tena kwa haraka sana.

Any Panicky Reaction upon them utakuwa umewapa ushindi. Kusudio hapo ni wewe uwape sababu ya kukuita majina haya Diktekta,Muuaji, Hapendi kukosolewa,Anataka urais milele n.k. Baada ya hapo Wanaharakati, Mashirika ya Haki za kibinadamu hasa ya kimataifa wataingilia na kukuwekea vikwazo na kukuharibia.

PLEAAASE Mheshimiwa Rais nakuomba sana aidha UWAPUUZE KABISA au uwashughulikie in a very prudent way. Wanacheza mchezo wa akili.. CHEZA NAO.

2. SIO WAO KUNA WATU NYUMA YAO

Mhe. Rais, Unajua wazi kwamba upo kwenye vita ngumu dhidi ya Mabepari ambao wameapa kuvuruga utawala wako kwa gharama yoyote ile hata ikiwa ni kutumia watu wa chama chako mwenyewe.

List ya majina iliyotolewa na Cyprian Musiba sio ya kuipuuza sana. Ni watu wenye hasira na wewe na watu waluoumizwa kwa namna moja au nyingine kwenye maslahi yao binafsi na mtindo wa uongozi wako hivyo ni rahisi sana kwa wao kununulika na kukubali kuiharibu nchi.

NAOMBA SANA..Usireact kwa wepesi bila kuchimba zaidi wengi wao unao humohumo kwenye chama na mnajuana vizuri.

3. KUSUDIO NI KUKUTOA KWENYE RELI (To Make you Lose Focus)
Mpaka sasa upo kwenye njia sahihi. Mapungufu yapo hata me nayaona ila tutayaongelea siku nyingine kwa leo ni muhimu wewe ujue kuwa wanataka kukutoa kwenye right track uanze kuoambana nao ili wpate headlines z kutosha kwenye media then wataanza kuomba External Intervention then it's over KUFUMBA NA KUFUMBUA TUKO LIBYA.

SO FAR YOU ARE THE BEST PRESIDENT. PLEASE BE CAREFULY
UNA AKILI SANA WEWE
 

Anamkumbusha aendelee kutilia maanani wale watu aliowataja. Yaani asimpuuze😀😀😀😀
 
Yamkini hujui usemacho mdomo huwa unaponza kichwa na siasa huwa ina mavuno yake.! Yasipokuwa matamu huwa machungu.
Kumbuka tu mchuma Janga hula na wa kwao.! Hongera kwa sabbu unawafahamu watu wote wanaokuzunguka. Na JF umejificha sana kama vile kuzimu..

Kongole mkuu.
Unaniletea tumisemo semo twa Kiswahili kwamba ndo nini? Wewe siyo mzalendo ni mrafi na mchumia tumbo,unajipendekeza kwa wakubwa unaiacha nchi yako nyuma.MNAFKI NA MRAFI.
 
Yamkini hujui usemacho mdomo huwa unaponza kichwa na siasa huwa ina mavuno yake.! Yasipokuwa matamu huwa machungu.
Kumbuka tu mchuma Janga hula na wa kwao.! Hongera kwa sabbu unawafahamu watu wote wanaokuzunguka. Na JF umejificha sana kama vile kuzimu..

Kongole mkuu.
Halafu kibaya zaidi hunijui sikujui,unadhani una uwezo wa kumtisha kila mtu? Ungenijua ungelala tu muda huu.
 
We ni mnafki sana, huipendi Tanzania unampenda rais na chama chenu,wanafki kama nyie ndo mnasababisha nchi yetu inapoteza muelekeo kila siku,wanafki kama nyie ndo mnadhani Magufuli ameleta maendeleo kwa kujenga flyover Dar na barabara Mwanza wakati nchi ina mikoa 31.Nchi hii ni muhimu kuliko matumbo yenu mnayotetea.Kama kuna mtu wa usalama anayeona hii nchi inaenda sawa basi naye ni mpumbavu kama wewe.
Ndugu umri wako bado mdogo sana!
ruhusu akili yako iwe na upeo wa kutosha kama hujavamia mambo ambayo hayatakupa tija ya kuyafikia malengo yako.
Lile wimbi la uchaguzi wa 2015.
Lililokusomba lilikuwa na vumbi nyingi sana pukuta uso wako kijana yako mengi sana usiyo yajua.
Wazazi wako bado wanakutarajia kwa mengi, mbeleni hebu wape tumaini kidogo la kufurahia matunda ya uwepo wako.!

Siasa na mchezo mchafu aipigaye hiyo ngoma anajua style gani anataka mcheze kuwa makini sana.!
Ni ushauri tu sio lazima uupokee.
 
Kwako Mh. Rais John Pombe Magufuli

Leo kwa mara ya kwanza toka nijiunge na JF nimeamua kuweka mada kwenye hii forum. Ni kwa ajili yako mkuu.

Nimeshawishika kuweka mada hii maalum kwa ajili yako hasa baada ya leo kuingia humu Jamii Forum na kukuta mada nyingi (posts)zisizopungua kumi (10) zikijadili au zikilenga KUMNADI Ndugu BERNAD MEMBE kuwa mgombea wa Urais wa Tanzania mwaka 2020.

Mh. Rais, Najua watu wako wapo humu, Namimi nawaomba kwa heshima sana wakufikishie ujumbe huu wenye TAHADHARI, USHAURI NA KUKUTIA MOYO.

Mh. Rais

1. Hawataki Urais bali wanataka UCHUKIE na uwachukulie hatua ili wapate pa kuanzia
Wao sio wajinga wanajua ni mapema sana kuanza chokochoko za urais na wanajua hata wakiutaka hiyo 2020 kwa utaratibu wa chama chenu hawawezi kupata. ILA wanafanya hivyo kwasababu kwa kiasi fulani wamekusoma tabia yako kuwa huwa unachukua hatua kali sana tena kwa haraka sana.

Any Panicky Reaction upon them utakuwa umewapa ushindi. Kusudio hapo ni wewe uwape sababu ya kukuita majina haya Diktekta,Muuaji, Hapendi kukosolewa,Anataka urais milele n.k. Baada ya hapo Wanaharakati, Mashirika ya Haki za kibinadamu hasa ya kimataifa wataingilia na kukuwekea vikwazo na kukuharibia.

PLEAAASE Mheshimiwa Rais nakuomba sana aidha UWAPUUZE KABISA au uwashughulikie in a very prudent way. Wanacheza mchezo wa akili.. CHEZA NAO.

2. SIO WAO KUNA WATU NYUMA YAO
Mhe. Rais, Unajua wazi kwamba upo kwenye vita ngumu dhidi ya Mabepari ambao wameapa kuvuruga utawala wako kwa gharama yoyote ile hata ikiwa ni kutumia watu wa chama chako mwenyewe.

List ya majina iliyotolewa na Cyprian Musiba sio ya kuipuuza sana. Ni watu wenye hasira na wewe na watu waluoumizwa kwa namna moja au nyingine kwenye maslahi yao binafsi na mtindo wa uongozi wako hivyo ni rahisi sana kwa wao kununulika na kukubali kuiharibu nchi.

NAOMBA SANA..Usireact kwa wepesi bila kuchimba zaidi wengi wao unao humohumo kwenye chama na mnajuana vizuri.

3. KUSUDIO NI KUKUTOA KWENYE RELI (To Make you Lose Focus)
Mpaka sasa upo kwenye njia sahihi. Mapungufu yapo hata me nayaona ila tutayaongelea siku nyingine kwa leo ni muhimu wewe ujue kuwa wanataka kukutoa kwenye right track uanze kuoambana nao ili wpate headlines z kutosha kwenye media then wataanza kuomba External Intervention then it's over KUFUMBA NA KUFUMBUA TUKO LIBYA.

SO FAR YOU ARE THE BEST PRESIDENT. PLEASE BE CAREFULY

What a wonderful, informative and analytical thread. Congrats Chief!
 
Ndugu umri wako bado mdogo sana!
ruhusu akili yako iwe na upeo wa kutosha kama hujavamia mambo ambayo hayatakupa tija ya kuyafikia malengo yako.
Lile wimbi la uchaguzi wa 2015.
Lililokusomba lilikuwa na vumbi nyingi sana pukuta uso wako kijana yako mengi sana usiyo yajua.
Wazazi wako bado wanakutarajia kwa mengi, mbeleni hebu wape tumaini kidogo la kufurahia matunda ya uwepo wako.!

Siasa na mchezo mchafu aipigaye hiyo ngoma anajua style gani anataka mcheze kuwa makini sana.!
Ni ushauri tu sio lazima uupokee.
Get your ass to sleep.
 
It was once! Lowassa! Rais wa mioyo ya watu, then Tundu Lissu for presidence, baadae Zitto mara Bernad Membe.!

Ngoja tusubiri tuone maana yajayo huenda yanafurahisha.
 
Mwaka huu wa JPM ni wa mwisho. Akivuka basi hakuna kitakachomtoa kwenye reli. Ila akiyumba amekwisha na watanzania tumekwisha maana najua mabebari yanajua uzuri/umahiri wa kiongozi huwa ni miaka 3, yakimshindwa huwa yanakata tamaa. Naamini anawashauri wa UWT wazuri sana.

Atapata support yetu atakapoheshimu demokrasia kwani ndio iliyomuweka madarakani. Lakini kitendo cha kuchezea box la kura kwa kulazimisha kila mgombea wa ccm kutangazwa mshindi, hata mlete utetezi dhaifu eti anapambana na mabepari mtasubiri sana. Hawezi kufuata taratibu ngoja tuwaunge mkono hao wezi kina Membe na yeye akae pembeni kwani sio msafi.

Imedhihirika hao mafisadi anaosema anapambana nao sio kweli bali analipa visasi kwa aliohitilafiana nao huko nyuma. Kama kuna fisadi yoyote kashitakiwa kwenye mahakama ya mafisadi ntaje. Zaidi ya kubambikizia kesi wapinzani na kuwadhalilisha jipya ni lipi? Aache bunge na mahakama zitende kazi zake kwa mujibu wa sheria za nchi na sio utashi wake, hapo atapata support yetu. Aheshimu box la kura bila kusahau.
 
Ndugu umri wako bado mdogo sana!
ruhusu akili yako iwe na upeo wa kutosha kama hujavamia mambo ambayo hayatakupa tija ya kuyafikia malengo yako.
Lile wimbi la uchaguzi wa 2015.
Lililokusomba lilikuwa na vumbi nyingi sana pukuta uso wako kijana yako mengi sana usiyo yajua.
Wazazi wako bado wanakutarajia kwa mengi, mbeleni hebu wape tumaini kidogo la kufurahia matunda ya uwepo wako.!

Siasa na mchezo mchafu aipigaye hiyo ngoma anajua style gani anataka mcheze kuwa makini sana.!
Ni ushauri tu sio lazima uupokee.
Wazazi wangu walishakata tamaa na mimi,wametumia mamilioni ya pesa kunisomesha na nimerudi kuwa mzigo home,do you think i care? I real hate all of you,all of you maccm.
 
It was once! Lowassa! Rais wa mioyo ya watu, then Tundu Lissu for presidence, baadae Zitto mara Bernad Membe.!

Ngoja tusubiri tuone maana yajayo huenda yanafurahisha.
Mkuu hao wengine ni chama pinzani lakini kwa membe hata mimi napata wasiwasi lazima kuna kitu au kama hakipo basi hizi kelele haziwezi kupita salama
 
Back
Top Bottom