Rais Magufuli relax, hawataki Urais wako bali wanataka ujivuruge

Rais Magufuli relax, hawataki Urais wako bali wanataka ujivuruge

aliishasema hashauriki, sasa wewe nani wa kumshauri
 
Wazazi wangu walishakata tamaa na mimi,wametumia mamilioni ya pesa kunisomesha na nimerudi kuwa mzigo home,do you think i care? I real hate all of you,all of you maccm.
Chuki humchoma aliye nayo Moyoni,!
Nashukuru sabbu sasa nimeelewa maana ya andiko lako la kwanza.

Kwa welevu wanajua jinsi ilivyo rahisi kumtumia mtu aliye na chuki kwa faida yao, akija kushtuka majuto ni mjukuu.
Wale wanaojiripua kule kwa wenzetu sio kwamba wanapenda wanafanya hivyo kwa sabbu ya chuki waliyo aminishwa kuwa ipo , umesema vyema u hate all Maccm.
Hivyo huongozwi na agenda ya maendeleo ila chuki ambayo bila shaka nyuma yake ina sabbu.
Natumai unaweza kuwasaidia sana watu wenye taaluma yao kupata mwanga wa wanachokitaka.
Kila la heri na hongera sana mkuu.
 
Atapata support yetu atakapoheshimu demokrasia kwani ndio iliyomuweka madarakani. Lakini kitendo cha kuchezea box la kura kwa kulazimisha kila mgombea wa ccm kutangazwa mshindi, hata mlete utetezi dhaifu eti anapambana na mabepari mtasubiri sana. Hawezi kufuata taratibu ngoja tuwaunge mkono hao wezi kina Membe na yeye akae pembeni kwani sio msafi.

Imedhihirika hao mafisadi anaosema anapambana nao sio kweli bali analipa visasi kwa aliohitilafiana nao huko nyuma. Kama kuna fisadi yoyote kashitakiwa kwenye mahakama ya mafisadi ntaje. Zaidi ya kubambikizia kesi wapinzani na kuwadhalilisha jipya ni lipi? Aache bunge na mahakama zitende kazi zake kwa mujibu wa sheria za nchi na sio utashi wake, hapo atapata support yetu. Aheshimu box la kura bila kusahau.
Wewe jamaa ni lijinga sana. Unahitaji ushahidi gani kuwa wauza korosho walikuwa wanadhulumiwa? Unataka ushahidi gani kujua wazungu ni wezi wa mali zetu?
 
Kufumba na kufumbua tupo libya ya Gadafi
 
Mkuu hao wengine ni chama pinzani lakini kwa membe hata mimi napata wasiwasi lazima kuna kitu au kama hakipo basi hizi kelele haziwezi kupita salama
Maslahi ya tabaka fulani yanapoguswa lazima wahusika wajipange kinyume, nguvu ya watu walio fukuzwa bandarini, pressure ya mabinti waliokuwa wanawekwa mjini na mishahara hewa.! Kutoka kwa hawala zao.! Madalali wa siasa waliokuwa wanakula kupitia miradi mbalimbali ya CCM wimbi la watu waliokuwa wanamtaka lowassa ndani ya CCM, ili waendelee kula kwa amani.

Haya yote ni mambo ya Msingi kuyazingatia ilikuwa ni suala la muda tu kuanza kujitokeza na jingine ambalo wenye busara wanapaswa walitupie macho ni aina ya watu walio hamia CCM kutoka kambi ya upinzani wao sio wajinga wanajua kwanini waliondoka huko na wanaweza kuwa na nia njema amba mbaya ili kutimiza lengo fulani..

Naaamini bado kuwa kazi ya pua, ni kunusa, kujua aina ya harufu na pale inapotekea, kazi ya macho ni kuona na kujua rangi halisi. Na bila shaka kazi ya masikio ni kusikia aina ya sauti na lengo lake, kisha baada ya tafakuri na uhakikisho,
Natumai kila mtu atavuna alichokipanda.
In the name of Democracy.
 
Magufuli ndio rais mpaka 2025,Hii ya Membe nadhani ni ya Mbowe ili mpunguze kumshambulia kuachia uenyekiti! Nadhani ulikuwa mkakati uliopita ili kuwachonganisha ccm
 
Halafu kibaya zaidi hunijui sikujui,unadhani una uwezo wa kumtisha kila mtu? Ungenijua ungelala tu muda huu.
Nimetamani kujibu hapa lakini nahisi kama nitakuwa sijakutendea haki.
Natumaini watu wote uliokutana nao leo kokote ulikokuwa unawafahamu kwa kiwango cha kutosha.
Usiku mwema.!
 
Wewe jamaa ni lijinga sana. Unahitaji ushahidi gani kuwa wauza korosho walikuwa wanadhulumiwa? Unataka ushahidi gani kujua wazungu ni wezi wa mali zetu?

Hilo la wazungu kutuibia tulipo piga kelele mlisema tuna wivu. Leo ndio mmejua? Ni hatua gani mmewachukullia walioingia mikataba michafu zaidi ya kulindana? Tatizo la wakulima wa korosho limesababishwa na ubabe wa serekali kwa amri za jiwe. Msidhani hatujui chanzo cha tatizo.
 
Kwako Mh. Rais John Pombe Magufuli

Leo kwa mara ya kwanza toka nijiunge na JF nimeamua kuweka mada kwenye hii forum. Ni kwa ajili yako mkuu.

Nimeshawishika kuweka mada hii maalum kwa ajili yako hasa baada ya leo kuingia humu Jamii Forum na kukuta mada nyingi (posts)zisizopungua kumi (10) zikijadili au zikilenga KUMNADI Ndugu BERNAD MEMBE kuwa mgombea wa Urais wa Tanzania mwaka 2020.

Mh. Rais, Najua watu wako wapo humu, Namimi nawaomba kwa heshima sana wakufikishie ujumbe huu wenye TAHADHARI, USHAURI NA KUKUTIA MOYO.

Mh. Rais

1. Hawataki Urais bali wanataka UCHUKIE na uwachukulie hatua ili wapate pa kuanzia
Wao sio wajinga wanajua ni mapema sana kuanza chokochoko za urais na wanajua hata wakiutaka hiyo 2020 kwa utaratibu wa chama chenu hawawezi kupata. ILA wanafanya hivyo kwasababu kwa kiasi fulani wamekusoma tabia yako kuwa huwa unachukua hatua kali sana tena kwa haraka sana.

Any Panicky Reaction upon them utakuwa umewapa ushindi. Kusudio hapo ni wewe uwape sababu ya kukuita majina haya Diktekta,Muuaji, Hapendi kukosolewa,Anataka urais milele n.k. Baada ya hapo Wanaharakati, Mashirika ya Haki za kibinadamu hasa ya kimataifa wataingilia na kukuwekea vikwazo na kukuharibia.

PLEAAASE Mheshimiwa Rais nakuomba sana aidha UWAPUUZE KABISA au uwashughulikie in a very prudent way. Wanacheza mchezo wa akili.. CHEZA NAO.

2. SIO WAO KUNA WATU NYUMA YAO

Mhe. Rais, Unajua wazi kwamba upo kwenye vita ngumu dhidi ya Mabepari ambao wameapa kuvuruga utawala wako kwa gharama yoyote ile hata ikiwa ni kutumia watu wa chama chako mwenyewe.

List ya majina iliyotolewa na Cyprian Musiba sio ya kuipuuza sana. Ni watu wenye hasira na wewe na watu waluoumizwa kwa namna moja au nyingine kwenye maslahi yao binafsi na mtindo wa uongozi wako hivyo ni rahisi sana kwa wao kununulika na kukubali kuiharibu nchi.

NAOMBA SANA..Usireact kwa wepesi bila kuchimba zaidi wengi wao unao humohumo kwenye chama na mnajuana vizuri.

3. KUSUDIO NI KUKUTOA KWENYE RELI (To Make you Lose Focus)
Mpaka sasa upo kwenye njia sahihi. Mapungufu yapo hata me nayaona ila tutayaongelea siku nyingine kwa leo ni muhimu wewe ujue kuwa wanataka kukutoa kwenye right track uanze kuoambana nao ili wpate headlines z kutosha kwenye media then wataanza kuomba External Intervention then it's over KUFUMBA NA KUFUMBUA TUKO LIBYA.

SO FAR YOU ARE THE BEST PRESIDENT. PLEASE BE CAREFULY
Hapa ndui/mhutu mpk atolewe, mgongoni ndiyo tutapumzika.
 
Yaani Mungu angekupa uvumilivu uendelee kutokuweka post humu,umeandika pumba tupu,Mimi na wanaCCM wenzangu tunamtaka Membe.
Sema wewe unamtaka Membe sio na waccm wenzako.mnaisoma number mlizoe ubwete ubwe mmekutana na chuma.
 
Kwako Mh. Rais John Pombe Magufuli

Leo kwa mara ya kwanza toka nijiunge na JF nimeamua kuweka mada kwenye hii forum. Ni kwa ajili yako mkuu.

Nimeshawishika kuweka mada hii maalum kwa ajili yako hasa baada ya leo kuingia humu Jamii Forum na kukuta mada nyingi (posts)zisizopungua kumi (10) zikijadili au zikilenga KUMNADI Ndugu BERNAD MEMBE kuwa mgombea wa Urais wa Tanzania mwaka 2020.

Mh. Rais, Najua watu wako wapo humu, Namimi nawaomba kwa heshima sana wakufikishie ujumbe huu wenye TAHADHARI, USHAURI NA KUKUTIA MOYO.

Mh. Rais

1. Hawataki Urais bali wanataka UCHUKIE na uwachukulie hatua ili wapate pa kuanzia
Wao sio wajinga wanajua ni mapema sana kuanza chokochoko za urais na wanajua hata wakiutaka hiyo 2020 kwa utaratibu wa chama chenu hawawezi kupata. ILA wanafanya hivyo kwasababu kwa kiasi fulani wamekusoma tabia yako kuwa huwa unachukua hatua kali sana tena kwa haraka sana.

Any Panicky Reaction upon them utakuwa umewapa ushindi. Kusudio hapo ni wewe uwape sababu ya kukuita majina haya Diktekta,Muuaji, Hapendi kukosolewa,Anataka urais milele n.k. Baada ya hapo Wanaharakati, Mashirika ya Haki za kibinadamu hasa ya kimataifa wataingilia na kukuwekea vikwazo na kukuharibia.

PLEAAASE Mheshimiwa Rais nakuomba sana aidha UWAPUUZE KABISA au uwashughulikie in a very prudent way. Wanacheza mchezo wa akili.. CHEZA NAO.

2. SIO WAO KUNA WATU NYUMA YAO

Mhe. Rais, Unajua wazi kwamba upo kwenye vita ngumu dhidi ya Mabepari ambao wameapa kuvuruga utawala wako kwa gharama yoyote ile hata ikiwa ni kutumia watu wa chama chako mwenyewe.

List ya majina iliyotolewa na Cyprian Musiba sio ya kuipuuza sana. Ni watu wenye hasira na wewe na watu waluoumizwa kwa namna moja au nyingine kwenye maslahi yao binafsi na mtindo wa uongozi wako hivyo ni rahisi sana kwa wao kununulika na kukubali kuiharibu nchi.

NAOMBA SANA..Usireact kwa wepesi bila kuchimba zaidi wengi wao unao humohumo kwenye chama na mnajuana vizuri.

3. KUSUDIO NI KUKUTOA KWENYE RELI (To Make you Lose Focus)
Mpaka sasa upo kwenye njia sahihi. Mapungufu yapo hata me nayaona ila tutayaongelea siku nyingine kwa leo ni muhimu wewe ujue kuwa wanataka kukutoa kwenye right track uanze kuoambana nao ili wpate headlines z kutosha kwenye media then wataanza kuomba External Intervention then it's over KUFUMBA NA KUFUMBUA TUKO LIBYA.

SO FAR YOU ARE THE BEST PRESIDENT. PLEASE BE CAREFULY

Rais atilie maanani andiko la Musiba? Are you the guy? What’s going on?
 
Back
Top Bottom