Tua Ngoma
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 3,185
- 8,294
Ahahaha sisi wanaCCM ni wanafki sana mkuu,hasa tukiona hela.Uzuri mnajuana kwamba unafki ni sifa ya wanaccm [emoji2][emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaha sisi wanaCCM ni wanafki sana mkuu,hasa tukiona hela.Uzuri mnajuana kwamba unafki ni sifa ya wanaccm [emoji2][emoji2]
Ahahaha sisi wanaCCM ni wanafki sana mkuu,hasa tukiona hela.
Chuki humchoma aliye nayo Moyoni,!Wazazi wangu walishakata tamaa na mimi,wametumia mamilioni ya pesa kunisomesha na nimerudi kuwa mzigo home,do you think i care? I real hate all of you,all of you maccm.
Wewe jamaa ni lijinga sana. Unahitaji ushahidi gani kuwa wauza korosho walikuwa wanadhulumiwa? Unataka ushahidi gani kujua wazungu ni wezi wa mali zetu?Atapata support yetu atakapoheshimu demokrasia kwani ndio iliyomuweka madarakani. Lakini kitendo cha kuchezea box la kura kwa kulazimisha kila mgombea wa ccm kutangazwa mshindi, hata mlete utetezi dhaifu eti anapambana na mabepari mtasubiri sana. Hawezi kufuata taratibu ngoja tuwaunge mkono hao wezi kina Membe na yeye akae pembeni kwani sio msafi.
Imedhihirika hao mafisadi anaosema anapambana nao sio kweli bali analipa visasi kwa aliohitilafiana nao huko nyuma. Kama kuna fisadi yoyote kashitakiwa kwenye mahakama ya mafisadi ntaje. Zaidi ya kubambikizia kesi wapinzani na kuwadhalilisha jipya ni lipi? Aache bunge na mahakama zitende kazi zake kwa mujibu wa sheria za nchi na sio utashi wake, hapo atapata support yetu. Aheshimu box la kura bila kusahau.
Maslahi ya tabaka fulani yanapoguswa lazima wahusika wajipange kinyume, nguvu ya watu walio fukuzwa bandarini, pressure ya mabinti waliokuwa wanawekwa mjini na mishahara hewa.! Kutoka kwa hawala zao.! Madalali wa siasa waliokuwa wanakula kupitia miradi mbalimbali ya CCM wimbi la watu waliokuwa wanamtaka lowassa ndani ya CCM, ili waendelee kula kwa amani.Mkuu hao wengine ni chama pinzani lakini kwa membe hata mimi napata wasiwasi lazima kuna kitu au kama hakipo basi hizi kelele haziwezi kupita salama
Wapo wengi wanaomtaka JPM.....Magu ToshaYaani Mungu angekupa uvumilivu uendelee kutokuweka post humu,umeandika pumba tupu,Mimi na wanaCCM wenzangu tunamtaka Membe.
Nimetamani kujibu hapa lakini nahisi kama nitakuwa sijakutendea haki.Halafu kibaya zaidi hunijui sikujui,unadhani una uwezo wa kumtisha kila mtu? Ungenijua ungelala tu muda huu.
Wewe jamaa ni lijinga sana. Unahitaji ushahidi gani kuwa wauza korosho walikuwa wanadhulumiwa? Unataka ushahidi gani kujua wazungu ni wezi wa mali zetu?
Mwambie huyo boya! Inatia hasira sanaWazazi wangu walishakata tamaa na mimi,wametumia mamilioni ya pesa kunisomesha na nimerudi kuwa mzigo home,do you think i care? I real hate all of you,all of you maccm.
MEMBE TOSHAAAWapo wengi wanaomtaka JPM.....Magu Tosha
Hapa ndui/mhutu mpk atolewe, mgongoni ndiyo tutapumzika.Kwako Mh. Rais John Pombe Magufuli
Leo kwa mara ya kwanza toka nijiunge na JF nimeamua kuweka mada kwenye hii forum. Ni kwa ajili yako mkuu.
Nimeshawishika kuweka mada hii maalum kwa ajili yako hasa baada ya leo kuingia humu Jamii Forum na kukuta mada nyingi (posts)zisizopungua kumi (10) zikijadili au zikilenga KUMNADI Ndugu BERNAD MEMBE kuwa mgombea wa Urais wa Tanzania mwaka 2020.
Mh. Rais, Najua watu wako wapo humu, Namimi nawaomba kwa heshima sana wakufikishie ujumbe huu wenye TAHADHARI, USHAURI NA KUKUTIA MOYO.
Mh. Rais
1. Hawataki Urais bali wanataka UCHUKIE na uwachukulie hatua ili wapate pa kuanzia
Wao sio wajinga wanajua ni mapema sana kuanza chokochoko za urais na wanajua hata wakiutaka hiyo 2020 kwa utaratibu wa chama chenu hawawezi kupata. ILA wanafanya hivyo kwasababu kwa kiasi fulani wamekusoma tabia yako kuwa huwa unachukua hatua kali sana tena kwa haraka sana.
Any Panicky Reaction upon them utakuwa umewapa ushindi. Kusudio hapo ni wewe uwape sababu ya kukuita majina haya Diktekta,Muuaji, Hapendi kukosolewa,Anataka urais milele n.k. Baada ya hapo Wanaharakati, Mashirika ya Haki za kibinadamu hasa ya kimataifa wataingilia na kukuwekea vikwazo na kukuharibia.
PLEAAASE Mheshimiwa Rais nakuomba sana aidha UWAPUUZE KABISA au uwashughulikie in a very prudent way. Wanacheza mchezo wa akili.. CHEZA NAO.
2. SIO WAO KUNA WATU NYUMA YAO
Mhe. Rais, Unajua wazi kwamba upo kwenye vita ngumu dhidi ya Mabepari ambao wameapa kuvuruga utawala wako kwa gharama yoyote ile hata ikiwa ni kutumia watu wa chama chako mwenyewe.
List ya majina iliyotolewa na Cyprian Musiba sio ya kuipuuza sana. Ni watu wenye hasira na wewe na watu waluoumizwa kwa namna moja au nyingine kwenye maslahi yao binafsi na mtindo wa uongozi wako hivyo ni rahisi sana kwa wao kununulika na kukubali kuiharibu nchi.
NAOMBA SANA..Usireact kwa wepesi bila kuchimba zaidi wengi wao unao humohumo kwenye chama na mnajuana vizuri.
3. KUSUDIO NI KUKUTOA KWENYE RELI (To Make you Lose Focus)
Mpaka sasa upo kwenye njia sahihi. Mapungufu yapo hata me nayaona ila tutayaongelea siku nyingine kwa leo ni muhimu wewe ujue kuwa wanataka kukutoa kwenye right track uanze kuoambana nao ili wpate headlines z kutosha kwenye media then wataanza kuomba External Intervention then it's over KUFUMBA NA KUFUMBUA TUKO LIBYA.
SO FAR YOU ARE THE BEST PRESIDENT. PLEASE BE CAREFULY
Yaani Mungu angekupa uvumilivu uendelee kutokuweka post humu,umeandika pumba tupu,Mimi na wanaCCM wenzangu tunamtaka Membe.
Aahahaha aya MwanaCCM mwenzangu,Membe anatutosha au siyo.Wewe na wajinga wenzako,sio wana ccm...bavicha tunawajua kwa vipost vyenu vifupi hivi kama akili zenu!
Basi mwambie apunguze uoga kama mnajua wengi wanamtaka.Wapo wengi wanaomtaka JPM.....Magu Tosha
Sema wewe unamtaka Membe sio na waccm wenzako.mnaisoma number mlizoe ubwete ubwe mmekutana na chuma.Yaani Mungu angekupa uvumilivu uendelee kutokuweka post humu,umeandika pumba tupu,Mimi na wanaCCM wenzangu tunamtaka Membe.
Kwako Mh. Rais John Pombe Magufuli
Leo kwa mara ya kwanza toka nijiunge na JF nimeamua kuweka mada kwenye hii forum. Ni kwa ajili yako mkuu.
Nimeshawishika kuweka mada hii maalum kwa ajili yako hasa baada ya leo kuingia humu Jamii Forum na kukuta mada nyingi (posts)zisizopungua kumi (10) zikijadili au zikilenga KUMNADI Ndugu BERNAD MEMBE kuwa mgombea wa Urais wa Tanzania mwaka 2020.
Mh. Rais, Najua watu wako wapo humu, Namimi nawaomba kwa heshima sana wakufikishie ujumbe huu wenye TAHADHARI, USHAURI NA KUKUTIA MOYO.
Mh. Rais
1. Hawataki Urais bali wanataka UCHUKIE na uwachukulie hatua ili wapate pa kuanzia
Wao sio wajinga wanajua ni mapema sana kuanza chokochoko za urais na wanajua hata wakiutaka hiyo 2020 kwa utaratibu wa chama chenu hawawezi kupata. ILA wanafanya hivyo kwasababu kwa kiasi fulani wamekusoma tabia yako kuwa huwa unachukua hatua kali sana tena kwa haraka sana.
Any Panicky Reaction upon them utakuwa umewapa ushindi. Kusudio hapo ni wewe uwape sababu ya kukuita majina haya Diktekta,Muuaji, Hapendi kukosolewa,Anataka urais milele n.k. Baada ya hapo Wanaharakati, Mashirika ya Haki za kibinadamu hasa ya kimataifa wataingilia na kukuwekea vikwazo na kukuharibia.
PLEAAASE Mheshimiwa Rais nakuomba sana aidha UWAPUUZE KABISA au uwashughulikie in a very prudent way. Wanacheza mchezo wa akili.. CHEZA NAO.
2. SIO WAO KUNA WATU NYUMA YAO
Mhe. Rais, Unajua wazi kwamba upo kwenye vita ngumu dhidi ya Mabepari ambao wameapa kuvuruga utawala wako kwa gharama yoyote ile hata ikiwa ni kutumia watu wa chama chako mwenyewe.
List ya majina iliyotolewa na Cyprian Musiba sio ya kuipuuza sana. Ni watu wenye hasira na wewe na watu waluoumizwa kwa namna moja au nyingine kwenye maslahi yao binafsi na mtindo wa uongozi wako hivyo ni rahisi sana kwa wao kununulika na kukubali kuiharibu nchi.
NAOMBA SANA..Usireact kwa wepesi bila kuchimba zaidi wengi wao unao humohumo kwenye chama na mnajuana vizuri.
3. KUSUDIO NI KUKUTOA KWENYE RELI (To Make you Lose Focus)
Mpaka sasa upo kwenye njia sahihi. Mapungufu yapo hata me nayaona ila tutayaongelea siku nyingine kwa leo ni muhimu wewe ujue kuwa wanataka kukutoa kwenye right track uanze kuoambana nao ili wpate headlines z kutosha kwenye media then wataanza kuomba External Intervention then it's over KUFUMBA NA KUFUMBUA TUKO LIBYA.
SO FAR YOU ARE THE BEST PRESIDENT. PLEASE BE CAREFULY