Rais Magufuli relax, hawataki Urais wako bali wanataka ujivuruge

Rais Magufuli relax, hawataki Urais wako bali wanataka ujivuruge

Kwako Mh. Rais John Pombe Magufuli

Leo kwa mara ya kwanza toka nijiunge na JF nimeamua kuweka mada kwenye hii forum. Ni kwa ajili yako mkuu.

Nimeshawishika kuweka mada hii maalum kwa ajili yako hasa baada ya leo kuingia humu Jamii Forum na kukuta mada nyingi (posts)zisizopungua kumi (10) zikijadili au zikilenga KUMNADI Ndugu BERNAD MEMBE kuwa mgombea wa Urais wa Tanzania mwaka 2020.

Mh. Rais, Najua watu wako wapo humu, Namimi nawaomba kwa heshima sana wakufikishie ujumbe huu wenye TAHADHARI, USHAURI NA KUKUTIA MOYO.

Mh. Rais

1. Hawataki Urais bali wanataka UCHUKIE na uwachukulie hatua ili wapate pa kuanzia
Wao sio wajinga wanajua ni mapema sana kuanza chokochoko za urais na wanajua hata wakiutaka hiyo 2020 kwa utaratibu wa chama chenu hawawezi kupata. ILA wanafanya hivyo kwasababu kwa kiasi fulani wamekusoma tabia yako kuwa huwa unachukua hatua kali sana tena kwa haraka sana.

Any Panicky Reaction upon them utakuwa umewapa ushindi. Kusudio hapo ni wewe uwape sababu ya kukuita majina haya Diktekta,Muuaji, Hapendi kukosolewa,Anataka urais milele n.k. Baada ya hapo Wanaharakati, Mashirika ya Haki za kibinadamu hasa ya kimataifa wataingilia na kukuwekea vikwazo na kukuharibia.

PLEAAASE Mheshimiwa Rais nakuomba sana aidha UWAPUUZE KABISA au uwashughulikie in a very prudent way. Wanacheza mchezo wa akili.. CHEZA NAO.

2. SIO WAO KUNA WATU NYUMA YAO

Mhe. Rais, Unajua wazi kwamba upo kwenye vita ngumu dhidi ya Mabepari ambao wameapa kuvuruga utawala wako kwa gharama yoyote ile hata ikiwa ni kutumia watu wa chama chako mwenyewe.

List ya majina iliyotolewa na Cyprian Musiba sio ya kuipuuza sana. Ni watu wenye hasira na wewe na watu waluoumizwa kwa namna moja au nyingine kwenye maslahi yao binafsi na mtindo wa uongozi wako hivyo ni rahisi sana kwa wao kununulika na kukubali kuiharibu nchi.

NAOMBA SANA..Usireact kwa wepesi bila kuchimba zaidi wengi wao unao humohumo kwenye chama na mnajuana vizuri.

3. KUSUDIO NI KUKUTOA KWENYE RELI (To Make you Lose Focus)
Mpaka sasa upo kwenye njia sahihi. Mapungufu yapo hata me nayaona ila tutayaongelea siku nyingine kwa leo ni muhimu wewe ujue kuwa wanataka kukutoa kwenye right track uanze kuoambana nao ili wpate headlines z kutosha kwenye media then wataanza kuomba External Intervention then it's over KUFUMBA NA KUFUMBUA TUKO LIBYA.

SO FAR YOU ARE THE BEST PRESIDENT. PLEASE BE CAREFULY
Watu hawamtaki , jombaa watu wamevurugwa ililkuwa bahati mbaya mazee
 
Wewe jamaa ni lijinga sana. Unahitaji ushahidi gani kuwa wauza korosho walikuwa wanadhulumiwa? Unataka ushahidi gani kujua wazungu ni wezi wa mali zetu?

Ila Alhaji DAB sio fisada au unasemaje. Msamaha wa 1.5 billion wa kuingiza makochi na massey ferguson yote haya huku yaona.Hii double std ya jiwena kiburichake cha kuzarau wananchikufikia kusema watakiona cha mtema kuni ndo hasa huyo mdau hapo juu anakilalamikia plus 1.5T
 
Kabisa chief ". jk na lodi lofa wana stahiki lawama za kudumu

KINGUNGE

“Kitendo cha kuinyang’anya Kamati Kuu mamlaka yake ni kibaya, wanajiita kamati ya maadili wakati kamati yenyewe haina maadili, hii nchi ni yetu sote hata chama ni chetu sote wachache tuliowapa madaraka ndani ya chama na serikali wanadhani nchi ni yao,”
 
Kwako Mh. Rais John Pombe Magufuli

Leo kwa mara ya kwanza toka nijiunge na JF nimeamua kuweka mada kwenye hii forum. Ni kwa ajili yako mkuu.

Nimeshawishika kuweka mada hii maalum kwa ajili yako hasa baada ya leo kuingia humu Jamii Forum na kukuta mada nyingi (posts)zisizopungua kumi (10) zikijadili au zikilenga KUMNADI Ndugu BERNAD MEMBE kuwa mgombea wa Urais wa Tanzania mwaka 2020.

Mh. Rais, Najua watu wako wapo humu, Namimi nawaomba kwa heshima sana wakufikishie ujumbe huu wenye TAHADHARI, USHAURI NA KUKUTIA MOYO.

Mh. Rais

1. Hawataki Urais bali wanataka UCHUKIE na uwachukulie hatua ili wapate pa kuanzia
Wao sio wajinga wanajua ni mapema sana kuanza chokochoko za urais na wanajua hata wakiutaka hiyo 2020 kwa utaratibu wa chama chenu hawawezi kupata. ILA wanafanya hivyo kwasababu kwa kiasi fulani wamekusoma tabia yako kuwa huwa unachukua hatua kali sana tena kwa haraka sana.

Any Panicky Reaction upon them utakuwa umewapa ushindi. Kusudio hapo ni wewe uwape sababu ya kukuita majina haya Diktekta,Muuaji, Hapendi kukosolewa,Anataka urais milele n.k. Baada ya hapo Wanaharakati, Mashirika ya Haki za kibinadamu hasa ya kimataifa wataingilia na kukuwekea vikwazo na kukuharibia.

PLEAAASE Mheshimiwa Rais nakuomba sana aidha UWAPUUZE KABISA au uwashughulikie in a very prudent way. Wanacheza mchezo wa akili.. CHEZA NAO.

2. SIO WAO KUNA WATU NYUMA YAO
Mhe. Rais, Unajua wazi kwamba upo kwenye vita ngumu dhidi ya Mabepari ambao wameapa kuvuruga utawala wako kwa gharama yoyote ile hata ikiwa ni kutumia watu wa chama chako mwenyewe.

List ya majina iliyotolewa na Cyprian Musiba sio ya kuipuuza sana. Ni watu wenye hasira na wewe na watu waluoumizwa kwa namna moja au nyingine kwenye maslahi yao binafsi na mtindo wa uongozi wako hivyo ni rahisi sana kwa wao kununulika na kukubali kuiharibu nchi.

NAOMBA SANA..Usireact kwa wepesi bila kuchimba zaidi wengi wao unao humohumo kwenye chama na mnajuana vizuri.

3. KUSUDIO NI KUKUTOA KWENYE RELI (To Make you Lose Focus)
Mpaka sasa upo kwenye njia sahihi. Mapungufu yapo hata me nayaona ila tutayaongelea siku nyingine kwa leo ni muhimu wewe ujue kuwa wanataka kukutoa kwenye right track uanze kuoambana nao ili wpate headlines z kutosha kwenye media then wataanza kuomba External Intervention then it's over KUFUMBA NA KUFUMBUA TUKO LIBYA.

SO FAR YOU ARE THE BEST PRESIDENT. PLEASE BE CAREFULY
Mdanganye tu mwenzio
 
Ungeweka namba yako au barua pepe in case wanataka kukupa teuzi
 
Kwa utawala huu hata shetani mwenyewe anauogopa , Mungu atusamehe kwa kweli, kufanya kosa ni kosa ila kurudia kosa ni kosa kubwa . Twende na Membe 2020.
 
Alishasema kuwa yeye hashauliki na wala hapangiwi, yeye nijiwe sasa unamshauli kama nani?
 
Kwako Mh. Rais John Pombe Magufuli

Leo kwa mara ya kwanza toka nijiunge na JF nimeamua kuweka mada kwenye hii forum. Ni kwa ajili yako mkuu.

Nimeshawishika kuweka mada hii maalum kwa ajili yako hasa baada ya leo kuingia humu Jamii Forum na kukuta mada nyingi (posts)zisizopungua kumi (10) zikijadili au zikilenga KUMNADI Ndugu BERNAD MEMBE kuwa mgombea wa Urais wa Tanzania mwaka 2020.

Mh. Rais, Najua watu wako wapo humu, Namimi nawaomba kwa heshima sana wakufikishie ujumbe huu wenye TAHADHARI, USHAURI NA KUKUTIA MOYO.

Mh. Rais

1. Hawataki Urais bali wanataka UCHUKIE na uwachukulie hatua ili wapate pa kuanzia
Wao sio wajinga wanajua ni mapema sana kuanza chokochoko za urais na wanajua hata wakiutaka hiyo 2020 kwa utaratibu wa chama chenu hawawezi kupata. ILA wanafanya hivyo kwasababu kwa kiasi fulani wamekusoma tabia yako kuwa huwa unachukua hatua kali sana tena kwa haraka sana.

Any Panicky Reaction upon them utakuwa umewapa ushindi. Kusudio hapo ni wewe uwape sababu ya kukuita majina haya Diktekta,Muuaji, Hapendi kukosolewa,Anataka urais milele n.k. Baada ya hapo Wanaharakati, Mashirika ya Haki za kibinadamu hasa ya kimataifa wataingilia na kukuwekea vikwazo na kukuharibia.

PLEAAASE Mheshimiwa Rais nakuomba sana aidha UWAPUUZE KABISA au uwashughulikie in a very prudent way. Wanacheza mchezo wa akili.. CHEZA NAO.

2. SIO WAO KUNA WATU NYUMA YAO

Mhe. Rais, Unajua wazi kwamba upo kwenye vita ngumu dhidi ya Mabepari ambao wameapa kuvuruga utawala wako kwa gharama yoyote ile hata ikiwa ni kutumia watu wa chama chako mwenyewe.

List ya majina iliyotolewa na Cyprian Musiba sio ya kuipuuza sana. Ni watu wenye hasira na wewe na watu waluoumizwa kwa namna moja au nyingine kwenye maslahi yao binafsi na mtindo wa uongozi wako hivyo ni rahisi sana kwa wao kununulika na kukubali kuiharibu nchi.

NAOMBA SANA..Usireact kwa wepesi bila kuchimba zaidi wengi wao unao humohumo kwenye chama na mnajuana vizuri.

3. KUSUDIO NI KUKUTOA KWENYE RELI (To Make you Lose Focus)
Mpaka sasa upo kwenye njia sahihi. Mapungufu yapo hata me nayaona ila tutayaongelea siku nyingine kwa leo ni muhimu wewe ujue kuwa wanataka kukutoa kwenye right track uanze kuoambana nao ili wpate headlines z kutosha kwenye media then wataanza kuomba External Intervention then it's over KUFUMBA NA KUFUMBUA TUKO LIBYA.

SO FAR YOU ARE THE BEST PRESIDENT. PLEASE BE CAREFULY
Naunga mkono hoja. Eti Bernard ....huu utani mwingine bora ukafanye na watoto wako chumbani huko ....wengine hatuishi kwa matukio ....hatusahau tulipotoka ...
 
Presha inapanda presha inashuka.!!

Membe anaingia kipindi cha pili kuokoa jahazi LA timu.
 
Nimesoma andiko lako kwa hasira ni nikakutafakari wewe na uzao wako kwa mapana yasiyo na ncha nikajiuliza wewe ni mwanamke? Au mwanaume.!?
Shida yako hasa kwa Taifa hili ni ipi? Baba yako awe rais au wewe mwenyewe uwe rais..?

Tunatofautiana mawazo na tafakuri lakini lazima mfike mahali mjue kuwa nchi hii ni zaidi ya matakwa yenu binafsi na hao wafadhiri wenu.! Kuna watu wanalala nje wanapata shida wanakesha kwa ajili ya usalama wa Taifa hili.
Kuna watu wamepoteza viungo kuna watoto wameachwa yatima kwa sabbu ya usalama wa Taifa hili, hizi chokochoko mnazotaka kizianzisha kwa lolote lile je mko radhi kupokea machungu yake?
Hivi wale walio chochea chokochoko za libya leo hii wako wapi? Wanaifurahia vipi demokrasia waliyo itaka.? Watoto wao wake zao na waume zao wana ndoto zilezile..?
Najua mna watu wanao wadanganya kwa namna yoyote ile ila kama watu wanaweza kupata shida huko wanakozipata kwa usalama wa Taifa hili ili kizazi chao waje warithi Taifa lililo salama na lenye muelekeo. Kuifumua JF na kuwapata watu kama nyinyi haiwezi kuwa sawa na kukesha huko wanakokesha..

Salam zikufikie wewe pamoja na wenzio.
Kazi nzuri ya tochi ni kumulika kwenye vichaka na gizani ili ukipate ukitakacho kwa wakati..
Wasalaam.
Chokochoko gani wewe choko acha kutisha watu kwa ufala wako
 
Ukiona wachawi wanawangiana wenyewe kwa wenyewe ujue nguvu zao zimeisha
 
Yaani Mungu angekupa uvumilivu uendelee kutokuweka post humu,umeandika pumba tupu,Mimi na wanaCCM wenzangu tunamtaka Membe.
Sio uhaini kumtaka mtu flani awe raisi wako ktk nchi ya kidemokrasia.
Lakini ukae ukijua sio kila unae mtaka au ambae anatamani uraisi anakuwa raisi wakati huo unaotaka wewe au anaitaka yeye. Kuna watu wengi zaidi huko CCM walimtaka Kikwete awe raisi 1995 na haikuwa hivyo hadi 2005, Membe asubiri tu 2025.

Right now Membe is not ruthless and frugal enough to be our president.

Mimi namshauri Mh. Magufuli ampe ulinzi mkali Membe ili wabaya wake wasimteke na kupata sababu kutaka external intervention.
 
Mwaka huu wa JPM ni wa mwisho. Akivuka basi hakuna kitakachomtoa kwenye reli. Ila akiyumba amekwisha na watanzania tumekwisha maana najua mabebari yanajua uzuri/umahiri wa kiongozi huwa ni miaka 3, yakimshindwa huwa yanakata tamaa. Naamini anawashauri wa UWT wazuri sana.
Mkuu hayo mabepari ni majitu hatari sana. Hayakati tamaa haraka, yamemtafuta Ghadafi zaidi ya miaka 20, yameitafuta roho ya Hugo Chavez miaka kibao.

Cha muhimu mjomba Magu amlinde Membe asidhuriwe hata na nzi watakosa sababu.

Majamaa ujue yanaumia sana kuona mwaka wa 3 huu kule kwenye diamond na makinikia hawapigi mpunga mrefu. Kwenye gesi yamejaribu kwenda Mozambique lakini hakuna amani uwekezaji ni wa mashaka kutokana na usalama duni.
 
Sio uhaini kumtaka mtu flani awe raisi wako ktk nchi ya kidemokrasia.
Lakini ukae ukijua sio kila unae mtaka au abae utamani uraisi anakuwa raisi wakati huo unaotaka wewe au anaitaka yeye. Kuna watuvwengi zaidi huko CCM walimtaka Kikwete awe raisi 1995 na haikuwa hivyo hadi 2005, Membe asubiri tu 2025.

Right now Membe is not ruthless and frugal enough to be our president.

Mimi namshauri Mh. Magufuli ampe ulinzi mkali Membe ili wabaya wake wasimteke na kupata sababu kutaka external intervention.
Kweli ampe ulinzi wa kutosha rais mtarajiwa.
 
Back
Top Bottom