Rais Magufuli: Sisi watanzania ni Wamoja tusibaguane kwa makabila, dini na siasa awapongeza CCM na kusema Wapinzani wanaisoma namba

Huyu anatu Huyu anadhani watanganyika ni mazuzu km yy, ngoja itafika zamu naye ataisoma namba vilevile
 
Cshangai kushuhudia mamilion ya watalii wakija kuangalia viumbe vya ajabu huku Afrika
 
Anayemwamini Meko ni wa kuchunguza akili.
 
Sisi wananchi mbona hatubaguani hata kidogo...

Ubaguzi unaletwa na viongozi, kwa kusema maendeleo hayana chama huku wakibagua kupeleka miradi ya maendeleo kwenye maneno yanayoshikiliwa na wapinzaini...



Cc: mahondaw
 
Sisi wananchi mbona hatubaguani hata kidogo...

Ubaguzi unaletwa na viongozi, kwa kusema maendeleo hayana chama huku wakibagua kupeleka miradi ya maendeleo kwenye maneno yanayoshikiliwa na wapinzaini...



Cc: mahondaw
Mbona kawe mbunge ni Halima Mdee wa Chadema lakini CCM inaleta maendeleo kwa kwenda mbele!
 
Mpuuzi na Zezeta
 
Sote ni Watanzania na tupendane kama Watanzania. Ila sote hatuwezi kuwa wasukuma na hatuwezi sote kuishi kama wasukuma.
 
Kabisa ,siasa za ulaghai, kuonewa huruma na majitaka ziwe mwisho na wasiishie kusoma namba za kawaida tu wasome mpaka namba hasi

Yeye ndio kapandikiza siasa za kishenzi nchi hii, hapo alipo anajichekesha lakini anajua fika hawezi siasa za ushindani, na hatakaa aziweze.
 
Reactions: Qwy
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…