Rais Magufuli: Sitasomesha Wanafunzi waliopata ujauzito, siwezi kusomesha Wazazi

Ni hoja dhaifu sana ambazo zina nia ya kuzidi kuingiza jamii yetu kwenye dimbwi la immorality.Hii haikubaliki na hatutakubali.Ni wazi kwa mtu yeyote anayelitakia taifa letu mema kwamba maamuzi ya kuwaruhusu wanafunzi waliopata mimba na kujifungua warudi shuleni yanahamasisha umalaya.You do not need a PhD to know this.Hili hatuko tayari kulivumilia.
 
tujifunze na sisi kuwa na mambo yetu, na viwango vyetu vya maadili ambavyo tunavisimamia.
NGO na wafadhili wake ambao wengi ni wazungu wasilazimishe kuleta mambo ambayo sisi hatujaona maana yake.
Mkuu usibwabwaje sana hii si utamaduni au kesi ya maadili ni suali la haki ya mtoto awe qa kike au wa kiume !utovu wake wa adabu ipo adhavu yake ataondolewa shule kwa wakati ule laki i sio kumpa total ban asisome!babu yetu nyerere hakufundisha watoto waliozaa tu hadi babu na bibi zetu walifundishwa ngumbaru at least waweze kuandika ndio au hapana siku ya uchaguzi wa enzi ya chama kimoja!
 
Nawaonea huruma sana Watanzania. Ushabiki umeleta msiba kwa taifa.
 
Huwezi kusomesha wajawazito,, dunia nzima hakuna, hata ULAYA hawafanyi hivyo, Ukizaa unasoma kama mtu mzima, ukichanganywa na watoto wataiga mwenzao,,kale kamchezo lazma kawekewe sheria
asa mazingira ya elimu ulaya unaweza kulinganisha na uku kwetu??? ushawahi jiuliza sababu za mimba za utotoni ni nini??? mana wengi ni watoto.
 
Inasiktisha sana...

Adhabu ya kutorudi shule ni ndogo sana... Hapo aliyempa na aliyepewa wote wawajibishwe... Adabu lazima iwepo...


Cc: mahondaw
 
Huwezi kusomesha wajawazito,, dunia nzima hakuna, hata ULAYA hawafanyi hivyo, Ukizaa unasoma kama mtu mzima, ukichanganywa na watoto wataiga mwenzao,,kale kamchezo lazma kawekewe sheria
Ulaya kiwanda ni vyerehani vinne?
 
asa mazingira ya elimu ulaya unaweza kulinganisha na uku kwetu??? ushawahi jiuliza sababu za mimba za utotoni ni nini??? mana wengi ni watoto.

muulize ulaya ipi?,wakati watoto wengine walikua wanapewa hela kidogo ili wakae kwenye education(zamani lakini)
 
Tatizo siyo NGOs. Tatizo letu katika suala la mimba ni primitive thinking.
Mkuu NGOs zimefanya kazi kubwa ya indoctrination, na hatimaye kubadili mitizamo ya watu.Usi down play their contribution,it's huge.
 
Mimi naona tunahangaika bure wanaopata mimba ni wale ambao siyo wajanja. Watoto wa siku hizi wanajua kila kitu kukupita mtu mzima maana wanatumia kinga vidonge nk ndiyo maana siku hizi unaona binti mdogo ndiyo kwanza kaolewa uzazi umegoma wewe unafikiri matatizo mengi ya uzazi yanaletwa na haya madawa mtoto ameanza kumtumia tangu ana miaka 15
 
nyoosha nchi mkuu watanzania bado hawajaluelewa ila watakuelewa tuu kila kukicha
 
Bora angemtuma msemaj wake ayaseme hayo maneno,ni mazito kwa cheo chake kuyasema,yaan bas tu, kwel hapa kaz tu na kwel ni kaz tu,hakuna kuremba.
 
Kama kweli kasema hivyo basi kapotoka sana na sikubaliani naye kabisa.

Mwanafunzi wa kike kupata ujauzito siyo kosa kubwa hivyo hadi anyimwe fursa ya kujiendeleza kielimu.

Hapo adhabu haiendani kabisa na kosa!

Kasema waende VETA au wakajifunze cherehani..... all other dreams will be shut down.... sad
 
Sawa sawa....
.
.nakupingaga sana mzee ila katika hili tupo pamoja ,
.
.wazaz watengeneze mazngra mazur kwa watoto kusoma...
.
.ufatiliaj uongezeke ,
.
.sio kuwaachia walimu tu...
.
.hv ni ushawah kujiulza ni kwann wanaopata mimba wakiwa shulen wengu huwa ni wa shule za serikari?? Kwann sio private ????
 
Wanafunzi wanaopata mimba wengi wao hawana akili, wabaki nyumbani na kulea.

Mzazi kama huna pesa ya kusomesha private mkanye mwanao.

Hii ni sababu kubwa ya umasikini Tanzania, tunawaza ngono, tunapenda ngono na tunatetea ngono.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…