kher-myeecy
Member
- Apr 20, 2017
- 6
- 2
Ni sawa kabisa. Hao wanao mpinga jpm wajiulize, watajisikiaje kuwaona watoto au dada wanashindwa kupaform class sababu ya mwingiliano wa ratiba za klinik na darasani !!?Lakini kumbuka zila adha azipatazo mwanafunzi mja mzito, kumbuka aina ya mtazamo anaoweza kuuambukiza darasani kwa wale wenzake ambao hawajawahi kupata uja uzito.
Ni bora kukemea mitazamo inayowakuza wanafunzi kwenye mambo ya ngono na kuweka mkazo kwenye fikra za utafutaji wa elimu.
Starehe za kimaisha mtoto wa kike atazikuta tu huko mbeleni, tena atazichoka, kwanza akili itulizwe darasani.
wapnzan wa tanzania huakama watoto mnapenda kushikilia vitu vdogovdogo sana afu point zenu n verry weak hazna mashiko yaaaan "ILE SEHEM" wapnzan ndo mmeiweka kua main topic [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mtaelewa tyuHivi unaijua "ile sehemu" kama unaujua hebu tueleze.
KWa mara ya kwanza Nyani Ngabu umempinga mwenyekiti wakoo[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Hapo kapotoka sana na sikubaliani naye kabisa.
Mwanafunzi wa kike kupata ujauzito siyo kosa kubwa hivyo hadi anyimwe fursa ya kujiendeleza kielimu.
Hapo adhabu haiendani kabisa na kosa!
Utaratibu wao upi!?safi kabisa mh Rais wakishindwa kujitunza watafute QT,shule sio za wazazi,wazazi watumie utaratibu wao uliowekwa,hizo NGO zinapiga hela hazina lolote.
Hujui unaloliongea,,,,, hovyo kabisa!Hiyo kauli ni ya kuwanyanyapaa hawa watoto
DUH AKILI KUBWA YA KUKAA KWA WAKAA UCHI MIAKA 8 ASANTE(NAHISI UMEKAA NA WACHEZA PORN MIAKA YOTE HIYO)! UNATAKA TUJIVUNIE KWA KUWA NCHI YA KUSOMESHA WAZAZI AU SIO AKILI KUBWA? AKILI KUBWA ISIYOJUA TOFAUTI ZA TAMADUNI ZA MAGHARIBI NA WAAFRIKA NA KUONA UMAGHARIBI NDIO BORA ZAIDI KWA KUA WANAYO HAYO UNAYO DEFINE KWA MATAZAMO WAKO KUWA NI "MAENDELEO" AKILI KUBWA INAYOSHINDWA KUJUA YOYOTE ANAEPATA MIMBA KATIKA HALI YA KUTOPENDA (MATHALANI KUBAKWA) ANA HAKI YA KUSHTAKI NA SHERIA INAWEZA KUMRUHUSU KURUDI MASOMONI KWA KIBALI MAALUM IKITHIBITIKA HIVYO! SASA SIJUI NJE YA KUBAKWA KUNA KUTOPENDA KWA AINA GANI AKILI KUBWA?? UNAULIZIA MAADILI YAPI UNATAKA KUYAJUA AKILI KUBWA? FANYA HIVI KAMA WEWE WA KIUME/AU KIKE MCHUCHUKUE SAME SEX PARTNER NENDA KAMTAMBULISHE KWA WAZAZI WAKO KAMA MKEO AU MUMEO HALAFU MFANYE HARUSI KABISA NA MUALIKE NDUGU NA MAJIRANI HAPA TANZANIA UNAYOSEMA TUKO BUBBLE YA UJINGA SAWA AKILI KUBWA HALAFU UTAJUA NINI MAANA YA MAADILI AKILI KUBWA! AKILI KUBWA HAO WAZEE WALIOKUA WANABAKA BILA CONSEQUENCES UNA USHAHIDI LABDA WA ARTICLE AU SOURCES YOYOTE ILI akili ndogo TUWEZE KUFAHAMU HIVYO VITENDO VILIFANYIKA WAPI AKILI KUBWA?? NCHI KWELI MASIKINI WA KUTUPA TANGU UHURU LAKINI UMASIKINI HUO HAUWEZI KUINGIA MPAKA KATIKA AKILI YA KUJUA ATHARI ZA KUFANYA MAAMUZI YA KIJINGA JAMII YENYE ATHARI YA SAIKOLOJIA MKUSANYIKO (mob psychology).UNATAKA UJUE TAIFA LINAJIVUNIA NINI AKILI KUBWA?? HILI SIKWAMBIII KWA SABABU WENYE AKILI KUBWA ORIGINAL WANAJUA TAIFA LINAJIVUNIA NINI. kama hii ndio akili kubwa basi kuna hatari ya kutawaliwa baadae na watu wa dizaini ya waziri mkuu wa luxemborg aliyekasirika kwanini basha wake wa kiume kakatwa katika picha ya ma first lady! note luxemborg nchi tajiri zaidi dunianiKulinda maadili yapi? Unajua unajifanya utasema Tanzania tuliwahi kua na kitu cha kujidai huko nyuma, hakuna hata kimoja, huko nyuma wazee walikua wanabaka tu wanawake bila consequences, hata leo hii vijijini ni hivyohivyo, angalau tena imepungua miaka ya hivi karibuni.
Tunang'ang'ania misingi ipi wakati hatuna lolote tumefata tunachojua miaka mingi toka tupate uhuru na bado nchi masikini ya kutupa. Watu eliku hawana, viongozi hata kusoma wengine hawajui. Hivi we unavyoona unaona tuna cha kujidai kweli? Toka nje uone.
Hizo nchi mnazosema watu wanatembea uchi nimeishi miaka zaidi ya 8 sasa, wadada kutembea na vikaptula vidogo sana vinabana hamna anayewasumbua, hamna ubakaji uliokithiri ka bongo, na watoto wana heshima, uvaaji wanaona kitu cha kawaida tu sio kukaa wanakodoa mimacho ka wabongo. Ila juzijuzi tu huko wametaka kumvua dada wa watu nguo mbele ya watu kisa kavaa miniskirt, kuna joto avae vipi sasa?
Yaani watanzania mmekaa kwenye bubble ya ujinga mko comfortable mnahisi the whole fckn world revolves around you, hamna cha kujidai Tanzania HATA KIMOJA, ni muda tubadilike tuige sasa mazuri wanayofanya wengine.
We unadhani kila aliyepata mimba alipenda? Dont be stupid, angekua mtoto wako ungejua uchungu wake ulivyo, sometimes shit happens, mlee mtoto vizuri na mpe elimu ajue jinsi ya kujikinga sio mnakaa kutoa adhabu za kipumbavu, sasa mdada aache shule, mkaka jela 30years, huyo mtoto anayeletwa duniani hivi ataishia wapi kama sio kuzoa takataka? Mama kazi hawezi pata, baba jela. Umeongeza watu watatu kwenye umasikini bila sababu ya msingi.
Akili ndogo. Mnaboa aisee
Mimi naona rais haja kosea nisawa kabisa namuunga mkono kwa asilimia 150% mtoto umepelekwa shuleni kusoma sio kupata mimba utegemee kurudi shuleKama kawaida ya mzee wa visasi, hivi hajui kuna watu wana chukua masters na tayari wana watoto wenye watoto.
Elimu ni haki ya kila mtu, hata kama mtoto wa sekondari kapata mimba haimaanishi hiyo haki yake inapotea, aendelezwe baadaye aje kuokoa mtoto sio kukaa anaongeza idadi ya wajinga wasio na kazi. Midingi yenye phd feki ndo haiwezi kuliona hili. Tz won't be saved by this guy, he's a joke.
Tangu nchi hii ipate Uhuru hatukuwahi kuruhusu watoto wa kike wenye ujauzito kurudi mashuleni kuendelea na masomo kisheria. Hivyo kama wewe una NGO yako na ulichukua hela kwa Wazungu zirudishe hazina kazi au badiri proposal ili ujenge shule ya Wazazi, kama ni kurogwa umerogwa wewe. Wanawake wako wengi wamesoma kwa mfumo huo huo na hawakuharirika. Toka hapa usije kutuharibia Taifa.Contradiction.. Kama mwanafunzi wa kike ambae hajafikisha miaka 18, sheria inamtambua ni mtoto na hivyo mwanaume anaefanya nae mapenzi anachukuliwa kama amembaka, iweje sasa huyo anaetambuliwa kama mtoto na hana akili ya kuchambua maamuzi anayoyafanya na consequences zake leo aje kupewa adhabu kubwa simply tu kwa maamuzi (ambayo sheria inatambua ni ya kitoto), au kuiweka kisheria zaidi kwa kubakwa..?
Tumelogwa..
Hapo hakuna adhabu hapo. Ni upendeleo anaopewa binti kuendelea kufurahia kile binti amechagua kwa uamzi wake. Kama amechagua kuzaa aendelee kwa raha zake. Na nina uhakika kuna wale ambao hawapendi kusoma, saa hii ni kujilengesha tu apate ujauzito aishie anakotaka mwenyewe na mume wake. Pili ni haki ya mtoto aliyezaliwa kukaaa na mama yake anyonyeshwe vya kutosha na sio kuchwa kwa bibi zao. Nakubaliana, si utamaduni wa kitanzania wala kiafrika kusomesha shule ya msingi na sekondari wazazi katika mfumo rasmi ukiacha wa kujiendeleza. Hata Nchi za magharibi ambao ndio wanaojifanya wa haki za binadam, hawasomeshi binti mjamzito au mzazi. Pamoja na kwamba kwao mahusiano yanaanza mapema (boy/girl friend), lakini kwa kuwa hawataki kusomesha wazazi, wamehalalisha utoaji mimba kwa binti ambae anaona muda wa kuwa mama wa mtoto haujafika. Tembea ulaya yote na Amerika, hukuti wasicha wa rika la shule ya msingi na sekondari wakiwa na watoto japo ni wafanya ngono wakubwa. Ila ngono zao ni ama technologia inazuia utangaji mimba au kama ikitungwa ni halali kuitoa. Magufuli yuko sawa. Achana na NGOHapo kapotoka sana na sikubaliani naye kabisa.
Mwanafunzi wa kike kupata ujauzito siyo kosa kubwa hivyo hadi anyimwe fursa ya kujiendeleza kielimu.
Hapo adhabu haiendani kabisa na kosa!
Mbona hata sasa hivi malaya wengi ni wasomi.You are right, yaani comments nyingine nasoma hadi napata kizungu zungu....huyo binti anayenyimwa kuendelea na shule anategemewa kumlea mwanaye hadi akue.....! akianza kuchuna mabuzi anabatizwa jina jipya "Malaya"
Na rais anachokisema ni wale wanaosoma kwa kodi za serikali. Wewe kama una bini yako unaruhusu atiwe mimba akuletee mjukuu uendelee kulea kisha kumpeleka private, JPM hana shida na hilo. Ndio maana anasema "siwez kusomesha wazazi" maana yake haitatoke kodi za wananchi kusomesha watoto ambao wanaacha kusoma na kwenda kufanya ngono, wapate ujauzito warudi darasani waendelee kutumia kodi za tulio wengi. Na wanaopeleka private si wengi kwa sasa. waulize wenye shule zenyewe saa hii, wengine wanatama majengo wafugie ng'ombe. Juzi tu mtu kachuka ada za watoto wa watu NEC college kasepa, hajalipa walimu miezi lukuki.Atakayefanya kama alivyosema RAIS atakuwa MZAZI mpumbavu.Kuna shule za private,kama anauwezo ampeleke mtoto wake private.
Huu ujinga ati mtoto sababu amepata Mimba asisome aupeleke Lumumba na Chato