Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Lazima itatimiaManeno huumba, hiyo kauli yake ya mwisho asishangae siku ikitimia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima itatimiaManeno huumba, hiyo kauli yake ya mwisho asishangae siku ikitimia
Wordkwa hiyo amechagua ujinga.. tafuta wapiga kura mzee.. ukiwasomesha imekula kwa ccm
Hana muda wa kutafakariKama alibakwa akapata mimba inakuwaje?
usukumani na unyamwezini hatunaga lugha ya kubembeleza,kiazi ni kiazi sio mzizi mnene wenye sukarisukariBado naendelea kufanya utafiti , lakini mpaka dakika hii dalili zinaonyesha kwamba DR JOHN MAGUFULI anaweza kuwa ndiye raia wa Tanzania mwenye ROHO MBAYA ZAIDI KUWAHI KUWEPO TANGU KUUMBWA KWA MBINGU NA ARDHI .
He is too aggressive !
Habari wanaJF,
Leo akiwahutubia wakazi wa Bagamoyo, Mkoani Pwani. Rais Magufuli amesema hakuna Mwanafunzi aliyebeba ujauzito atakayerudi shule katika utawala wake. Akaongeza kuwa hawezi kufanya kazi ya kusomesha wazazi.
" Inaweza kufika kipindi darasa zima linawatoto, Mwalimu akifundisha wao wanatoka nje kwenda kunyonyesha".
Hata kama ni watoto wangu, yani nikupeleke shule alafu upate mimba nikurudishe? Aende akapate mimba aone kama nitamrudisha.
Mimi nimetoa fedha ili mwanafunzi asome bure, halafu leo mtu apate mimba arudi shule? Ndani ya utawala wangu, haitotokea.
Wakati mwingine ukizikiliza hizo NGOs zitakuwa zinalipeleka taifa pabaya. Ndani ya utawala wangu haitotokea. NEVER.
Hizi NGOs kama zinawapenda sana hao watoto zikafungue shule zao za kusomesha wazazi. Serikali haiwezi kuwasomesha.
Hawa wanaotuletea haya mambo hawatupendi ndugu zangu. Wametuletea dawa za kulevya, wameleta ushoga ambao hata ng'ombe hawana.
Huku kuiga iga tutakuja kuiga mambo ambayo hata hayafai. Wanakuja na misaada ambayo ni mali zetu wametuibia.
Nyie wafugaji mmefuga lakini hamjawahi kuona hata mbuzi au nguruwe amekosea huu mchezo. Lakini wao wanataka Watanzania wakosee.
Wakati huo huo, Rais amesema kuwa anawaomba msichukue maeneo ya Magereza, hata mimi nikifungwa siku moja nipate sehemu ya kulima.
Rais Magufuli ametoa eneo la ekari 65 kwa wananchi lililokuwa na mgogoro kati yao na Jeshi la Magereza.
hivi inakuaje msomi wa sekondari anshindwa kukwepa mimba au kulaghaiwa?!..usiniletee habari za kubakwa,utakuta anatiwa mimba na mtu asiyejua definition ya physics!kazi gani kubwa kusomesha wazazi wenzio?labda mkileta changamoto zenu tutawaelewa
Mkuu BRUCE LEE tofautisha kuupigia debe ushoga na uwepo wa ushoga!
Anachofanya mzungu ni kuupigia debe na hivyo ni kuukuza. Sasa unapopigia debe ushoga ni wazi umekusudia kuukuza na sio kuutatua!
Umejenga hoja yako vizuri sana mkuu na binafsi umezidi kuongeza uelewa wangu kaitika hili at first hand.Ndo wawataje wabakaji. Mara nyingi wabakaji wamekuwa wakiachwa tuu wawabebeshe mimba wanafunzi wwngine.
Kwa hili nipo upande wa Rais.
Ukibakwa nenda mahakamani. Mbakaji afungwe wewe uzae na usomeshwe.
Usipopeleka mbakaji jela zaa na hamna kusoma.
Maana kuna wengine wanajitakia kabisa. Ni kiherehere chao.
NB: ukifanya mapenzi na binti umri chini ya 18 Umebaka. Subirini maembe yaive. Kuna Team Wasaka Bikra ndo wanaharibh watoto.
Kwa wanafunzi wasikaribie mazingira hatarishi, watahatarisha Elimu zao.
Kazidisha utani akachanganya na ukali lkn iko siku yatamtokea!Maneno huumba, hiyo kauli yake ya mwisho asishangae siku ikitimia
ulaya hakuna ujinga wa mwanafunzi kubeba mimba,hilo rumba kitaa utaachia mimba ipenyeHao wa ulaya unaosema kuwa wamelichukulia busara wana maendeleo kuliko sisi.....sasa makosa ni yapi?