LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,483
Anachokataa Magu ni fungulia mbwa watu wazae at any age...uzazi nao una umri wakeHivi raisi anajua the term "second chance"? Unataka kuniambia katika maisha yake hajawahi kupewa second chance? Hii mimi nadhani busara itumike. Ujauzito sio kwamba ni mwisho wa ndoto za wasichana walio wengi wanaotaka kujiendeleza ki maisha. Wengi unakuta wanapewa mimba na walimu na watu wengine ambao wao hawapewi adhabu. Hii kwa kweli sio sawa. Kama sote tusingepewa second chance no one will be here.