Rais Magufuli: Sitegemei kutangaza hata siku moja kwamba tunajifungia ndani (Covid19), tutaendelea kuchukua tahadhari zingine za kiafya. Akemea Chanjo

Jamani mimi naomba sana Watanzania waendelee kumsikiliza Rais wetu, anajua mengi na ana watu wamemzunguka wanaojua mengi sana
 
Nmesikitika sana ,nmesikitika sana nikiwa kama Mtaalam wa Afya

Kauli hii ya Kubeza Chanjo

Maana yake anawaaambia wamama sasa wajawazito na watoto, waanze kuzikimbia Chanjo.


Ivi nin hii???
Machanjochanjo hayafai....
Au nasema uongo Ndugu zangu?

😀
 
Akili kichwani mwako,sio kwamba ukivaa barakoa utakamatwa,hujazuiwa kuepuka misongamano,ukitaka kujifungia utajua mwenyewe,hata ukitaka kunawa mikono Mara 1000 kwa siku hakuna atakayekuzuia,sio lazima mpaka Raisi aseme ndo uanze kunawa mikono,watanzania ni watu wa kulalamika sana
 
hapo kwenye machanjomachanjo (tahadhari)
 

Magufuli anawachanganya wananchi.

Nadhani tatizo ni kwamba " ameu-personalize " huu ugonjwa.

Anakosea kuchanganya masuala ya covid-19 na vita yake dhidi ya " mabeberu. "

Nia AIBU chombo kama TEC kuanza kuwatahadharisha wananchi kuhusu maambukizi ya covid-19[au ugonjwa wowote] kabla ya mamlaka za serikali.

cc Nguruvi3
 
Bakwata huwaamini?
 
..Magufuli anawachanganya wananchi.

..nadhani tatizo ni kwamba " ameu-personalize " huu ugonjwa.

..anakosea kuchanganya masuala ya covid-19 na vita yake dhidi ya " mabeberu. "
Hakuna alichochanganya, ameongea kama mtaalamu siyo kisiasa.
 
Nmesikitika sana ,nmesikitika sana nikiwa kama Mtaalam wa Afya

Kauli hii ya Kubeza Chanjo

Maana yake anawaaambia wamama sasa wajawazito na watoto, waanze kuzikimbia Chanjo.


Ivi nin hii???

Ndiyo kawaida ya JPM hiyo.

Akizungumza neno moja la ukweli, ataongeza mengine matatu ya uongo.
 
Kama wazungu wabaya amtolee mama ake Ventilator, asiende hospitali na asijenge hospitali maana hakwepeki.
 
Safi sana Magu kawapiga spana wazungu, HIV miaka 40 hakuna chanjo, kansa miaka 100 hakuna chanjo, malaria miaka 50 no chanjo, korona miezi 6 chanjo tano wazungu wamezoea kuwafanya wengine mazwazwa...hakuna chanjo hapo ni biashara tu inafanyika..
 
Safi sana Magu kawapiga spana wazungu, HIV miaka 40 hakuna chanjo, kansa miaka 100 hakuna chanjo, malaria miaka 50 no chanjo, korona miezi 6 chanjo tano wazungu wamezoea kuwafanya wengine mazwazwa...hakuna chanjo hapo ni biashara tu inafanyika..
JPM amekuwa madarakani miaka 5+, ktk kipindi cha utawala wake Tz tungeweza kutengeneza chanjo za magonjwa mbalimbali ambazo ni salama na tunaziamini.

Tusilaumu tu chanjo walizotengeneza wenzetu, wakati sisi wenyewe hatujatengeneza chanjo ya ugonjwa wowote ule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…