UnaijiabishaHii yote shauri ya Pasco kung'ang'ania eti "sema neno moja tuu na roho yangu itapata ahueni"
Ona sasa neno gani hilo? Kwani nani kasema tetemeko limeletwa na Ccm?
Halafu hata hilo la kusema watu wafanye kazi wasibweteke hata kama ni ukweli sio wakati wake huu wakiwa msibani.
Mzee aendelee kukaa kimya inatosha
[emoji2] utafuatwa huko kasoro bahariAlikuwa tuition kwa ras simba akijaribu kama ataweza kutapika ngeli kwenye vikao vya baraza la umoja wa mataifa
Halafu serikali ina chaguliwa kutatua shida za watu, na shida zinyewe ndio hizi moja wapoBwana wee.... hata mimi nachoka kabisa, hakuna kinachoeleweka hapo. Nani kasema mafuriko yameletwa na serikali?
Na wanaposema watu wajenge kuta zao wasisubiri misaada ya serikali they don't make any sense. Majawali katoa speech hapo hapo kasema msaada mkubwa wanaohitaji kwa sasa na wanaopokea kwa wingi ili waupeleke kwa wananchi ni vifaa vya ujenzi. Sasa hao wanaopelekewa ni kina nani, watakaochelewa kujijengea?
Kwa sababu kama serikali inatangaza inaleta misaada ( which means vinakuja bure) ya vifaa vya ujenzi kwa nini niwahi kuingia gharama za kujenga?
Okay, au ujumbe ni kwamba tusipende vya bure, okay, kwa hiyo vinavyokuja vitauzwa? Kama vitauzwa basi tusubiri bei yao lazima itakuwa bei ya kutupa kwa sababu wenyewe wamepewa bure! Nothing makes sense here!
ITV wanasema Majaliwa amesema serikali inawashukuru wahisani wa nchi mbali mbali. Misaada iliyotoka ndani je, ni uchafu?
Wanasema Museveni na Kenyatta wametoa misaada, sielewi, hivi hizi ni pesa zao binafsi ama za serikali zao? Ahsante tumwambie nani, Museveni ama Waganda? Maana haya ni madikteta na makabaila, Mu7 na Kenyata, yanaweza kuwa na hela zao mifukoni. Marekani inapotoa misaada hawasemi Barack Obama ametoa misaada, tunaambiwa "KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI"!
Hakuna kinacho make sense hapa, hakuna kinachoeleweka.
Kwa nini nijenge na misaada wanasema inakuja, anakuja kupewa nani, atakaechelewa kujenga?
Mihela.Ulitaka achangie bei gani
Huyo jamaa huwa haonagi aibu.Unaijiabisha
Kule mafund wengi usjekuta kimetengenzwa kile kutafuta kickLeo Sumbawanga nako wamepata majanga ya mvua kubwa ya upepo na barafu. Kuna nyumba zimebomoka na kuezuliwa paa, mifugo imekufa. OMBI langu kwao wakae tuu kimya maaana wasiombee kutana na tetemeko la maneno.
Wewe unaongea tu hayajakukuta, nikuulize kwa nn kwenye msiba watu wanachangishwa rambi rambi?Unaijiabisha
..hajarushiwa madongo yoyote.
..ila naona kama yuko TOO SENSITIVE, anataka asifiwe hata pale alipokosea.
..kitendo chake cha kutoonekana akiwafariji waathirika ndiyo sababu ya kulaumiwa na wanasiasa wenzake.
..mimi ningekuwa mshauri wa Raisi ningemshauri asitumie kipindi hiki kulumbana na wanasiasa.
..huu ni muda wa KUWAFARIJI waathirika wa tetemeko la ardhi. We should focus on waathirika.
..Raisi akianza kujitetea ktk kipindi hiki cha MAOMBOLEZO kwa maneno kama "CCM haijasababisha tetemeko" inaoneka kama mtu anayejali maslahi ya chama na si maslahi ya waathirika.
Lini alikwenda kagera akaambuwa kuwa wanakagera wanataka kujengewa nyumba na serikali? Watu wanahitaji maneno mazuri ya faraja katika kipindi hili! Jiongeze mkuu usiwe kama robot "mr yes man"Mkuu... Kwanini tusitumie akili zetu wakati mwingine? Kuna ubaya gani kimwambia mtu fanya unapoweza serikali itafanya utapoishia? Ulitaka awape maneno ya kutia moyo kuwaridhisha tu!... Unafiki ndio umetufikisha hapa .... Asante Magu si mnafiki.
dah! ndugu yangu!! Kuna mtu anayelala nje na watoto kwa kubweteka!Mbaaya sana hii. Poleni sana mliofikwa na kadhia hii. Bora angendelea kukaa kimya tu!
Unatia aibu.... Ni hasara kwa familia yako maana hawana mlezi!Lini alikwenda kagera akaambuwa kuwa wanakagera wanataka kujengewa nyumba na serikali? Watu wanahitaji maneno mazuri ya faraja katika kipindi hili! Jiongeze mkuu usiwe kama robot "mr yes man"
Hukumwelewa rais rudia kusomaBwana wee.... hata mimi nachoka kabisa, hakuna kinachoeleweka hapo. Nani kasema mafuriko yameletwa na serikali?
Na wanaposema watu wajenge kuta zao wasisubiri misaada ya serikali they don't make any sense. Majawali katoa speech hapo hapo kasema msaada mkubwa wanaohitaji kwa sasa na wanaopokea kwa wingi ili waupeleke kwa wananchi ni vifaa vya ujenzi. Sasa hao wanaopelekewa ni kina nani, watakaochelewa kujijengea?
Kwa sababu kama serikali inatangaza inaleta misaada ( which means vinakuja bure) ya vifaa vya ujenzi kwa nini niwahi kuingia gharama za kujenga?
Okay, au ujumbe ni kwamba tusipende vya bure, okay, kwa hiyo vinavyokuja vitauzwa? Kama vitauzwa basi tusubiri bei yao lazima itakuwa bei ya kutupa kwa sababu wenyewe wamepewa bure! Nothing makes sense here!
ITV wanasema Majaliwa amesema serikali inawashukuru wahisani wa nchi mbali mbali. Misaada iliyotoka ndani je, ni uchafu?
Wanasema Museveni na Kenyatta wametoa misaada, sielewi, hivi hizi ni pesa zao binafsi ama za serikali zao? Ahsante tumwambie nani, Museveni ama Waganda? Maana haya ni madikteta na makabaila, Mu7 na Kenyata, yanaweza kuwa na hela zao mifukoni. Marekani inapotoa misaada hawasemi Barack Obama ametoa misaada, tunaambiwa "KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI"!
Hakuna kinacho make sense hapa, hakuna kinachoeleweka.
Kwa nini nijenge na misaada wanasema inakuja, anakuja kupewa nani, atakaechelewa kujenga?