Rais Magufuli: Tetemeko halijaletwa na Serikali, watu wafanye kazi

Uko sawa Amri jeshi wetu My.John Joseph Pombe Magufuli.
 
Nimemsikia akisema waathirika wa tetemeko la ardhi wafanye kazi wasikae tu kusubiria Serikali iwasaidie, tetemeko halijaletwa na Serikali
kama kiongoz hakupaswa kuzungumza hivyo. Nimekuja kugundua kitu flan the president is proud.

Ila angalau kaongea mioyo yetu imetulia. Ndiye baba yetu kichwa cha nyumba. Akitaamka ni amri tutafanyaje.
 
Hii yote shauri ya Pasco kung'ang'ania eti "sema neno moja tuu na roho yangu itapata ahueni"
Ona sasa neno gani hilo? Kwani nani kasema tetemeko limeletwa na Ccm?
Halafu hata hilo la kusema watu wafanye kazi wasibweteke hata kama ni ukweli sio wakati wake huu wakiwa msibani.
Mzee aendelee kukaa kimya inatosha
 
Wengine tulisema bora akae kimya, akiongea tutapoteana humu.....na kweli yametokea. ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…