Rais Magufuli: Tetemeko halijaletwa na Serikali, watu wafanye kazi

Na bado mnajipinda kulipa kodi kwa hii serikali ya ajabu ajabu!
 
We umeona mbali na tatizo letu tunapenda kubembelezwa hata pasipo na uwezekano, wajitahidi tu ndugu zetu hata hizo pesa zikichangwa kiasi gani haziwez kucover all their loses bora ujianzie serikali ikija umalizie ubaki na akiba walau
 
SERIKALI HAIJENGI UKUTA - wanasiasa msijinufaishe -mmmmh-
 
Kunywa uji wa chumvi hakuna na ukosefu wa sukari au kipimo cha shida
 
Hayo ndio maneno mazito mkuu!!Kwani unafikiri tamko lolote au neno lolote toka kwa Rais wa nchi linakuwa jepesi?Haya ndio maneno mazito tuliyoyasubiri toka kwa Rais baada ya week nzima ya majanga...Au kwako maneno ya Rais ya aina hii ni maneno mepesi??
 
Waanze kufyatua tofali, wachome mengne watasaidiwa ,walioumia sawa ila kama umetoka mzma nyanyua kuta,tulideka sana watz now tujue kujiongeza
Bwana heee,hivi unajua kwa Tanzania kumiliki nyumba ni shughuli pevu sana,kwa halii ya kiuchumi watu washapatwa na majanga alafu ndo waanze pandisha nyumba inawezekana ila co kirahisi hvy,maana wengine ndo wachangishane ukoo mzima.
 
Yuko sawa ... Kujengea wananchi nyumba sio kazi ya serekali ... Kama ungekuwa hivo tusingejenga miaka yote tungesubiria tujengewe... Kazi ya serekali Ni kutengeneza miundo mbinu ya public kama barabara shule madaraja hospital maji UMEME tutimize wajibu wetu kama watanzania bana khaaaaa... Namkubali magufuli ...# raiskeshasema#
 
Waanze kufyatua tofali, wachome mengne watasaidiwa ,walioumia sawa ila kama umetoka mzma nyanyua kuta,tulideka sana watz now tujue kujiongeza

Ulaaniwe ufe uzame na wewe huko utakapokuwa unasafiri
 
Sasa si ni bora angeendelea tu kukaa kimya? Ningekuwa nimempigia kura ningechomelea mbali ID yangu ya kupigia kura.

Na kesho tutaambiwa kuwa ilikuwa ni utani kwa wakwe zake!
 
Bwana heee,hivi unajua kwa Tanzania kumiliki nyumba ni shughuli pevu sana,kwa halii ya kiuchumi watu washapatwa na majanga alafu ndo waanze pandisha nyumba inawezekana ila co kirahisi hvy,maana wengine ndo wachangishane ukoo mzima.
Hata kufyatua tofali la tope ni shughuli?
 
michango itasaidia kuboresha miundo mbinu na kuwapa mahema ya kujisitiri ila wafanye kazi wanaanze wao serikali itawapa taff watakapo shindwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…